< Psalm 56 >

1 [Psalm lal David, Tukun Mwet Philistia Sruokol in acn Gath] Pakomutuk, O God, Tuh mwet lokoalok luk elos ukweyu, Elos kalyeiyu in pacl e nukewa.
Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
2 Mwet su srungayu elos lainyu len fon; Arulana pus mwet anwuk lainyu inge.
Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
3 Ke pacl nga pula sangeng, O LEUM GOD Kulana, Nga filiya lulalfongi luk in kom.
Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
4 Nga lulalfongi God, ac tiana sangeng; Nga kaksakunul ke wulela lal nu sik. Mea mwet ac ku in oru nu sik?
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
5 Mwet lokoalok luk aklokoalokyeyu ke len fon; Pacl nukewa elos suk na ma in akkolukyeyu!
Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
6 Elos tukeni ke nien wikwik Ac tawi ma nukewa nga oru, Ac kena uniyuwi.
Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
7 Kaelos, O God, ke ma koluk lalos inge; Ac kutangulosla in kasrkusrak lom!
Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
8 Kom etu lupan fosrnga luk; Kom etu lupan tung luk. Ya ma inge tia simla in book nutum?
Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
9 Ke len se nga pang nu sum uh, Mwet lokoalok luk elos ac folokelik likiyu. Ma se na nga etu uh pa God El wiyu —
Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
10 Aok, LEUM GOD su nga kaksakin wulela la.
Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
11 Nga lulalfongi in El, ac nga ac fah tiana sangeng. Mea mwet ac ku in oru nu sik?
katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
12 O God, nga ac fah asot nu sum ma su nga wulela kac; Nga ac fah oru mwe kisa in fahkak kulo luk nu sum,
Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
13 Mweyen kom moliyula liki misa Ac sruokyuwi tuh in tia kutangyukla nga. Inge nga fahsr ye mutun God Ke kalem su sang moul nu sin mwet uh.
Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.

< Psalm 56 >