< Psalm 54 >

1 [Psalm lal David tukun mwet tuku Ziph me nu yorol Saul a fahk nu sel la David el wikwik oan in acn selos.] O God, moliyula ke ku lom; Aksukosokyeyu ke ku lulap lom!
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 Lohng pre luk, O God; Porongo kas luk.
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Mwet inse fulat elos tuku in lainyu, Ac mwet sulallal elos srike in uniyuwi — Mwet su tia akfulatye God.
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 Tusruk God El mwet kasru luk. Leum El mwe loango luk.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 Lela tuh God Elan lain mwet lokoalok luk ke ma koluk lalos sifacna. El ac fah kunauselosla mweyen El oaru.
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Nga ac fah engan in oru mwe kisa nu sum, O LEUM GOD; Nga fah sot kulo nu sum Mweyen kom wo.
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 Tuh kom moliyula liki ongoiya luk nukewa, Ac nga liye ke mwet lokoalok luk elos kutangyukla.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

< Psalm 54 >