< Psalm 38 >
1 [Psalm lal David] O LEUM GOD, nimet kaiyu in mulat lom!
Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.
2 Kom kanteyuwi ke pisr nutum, Ac kom puokyuwi.
Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenishukia.
3 Ke sripen kasrkusrak lom, nga muta in keok lulap; Monuk nufon mas ke sripen ma koluk luk.
Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.
4 Nga walomla in sronot lun ma koluk luk, Su arulana toasr nu sik in us.
Maovu yangu yamenifunika kama mzigo usiochukulika.
5 Kinet keik pusrosr ac kulawi Ke sripen ma lalfon nga oru.
Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6 Nga itungyuki ac kuruweni; Nga mwemelil ke len fon.
Nimeinamishwa chini na kushushwa sana, mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.
7 Arulana folla monuk ke mas luk Ac nga apkuran in misa.
Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.
8 Nga totola ac arulana itungyuki; Insiuk keok na, ac nga sasaola ke ngal luk.
Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
9 O Leum, kom etu lah mea nga kena kac; Kom lohng sasao luk nukewa.
Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.
10 Insiuk kihmkim, ku luk wanginla, Ac mutuk ohkla.
Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.
11 Mwet kawuk ac mwet tulan luk elos tila tuku apkuran nu yuruk Ke sripen ruf keik; Finne sou luk, elos tila fahsriyu.
Rafiki na wenzangu wananikwepa kwa sababu ya majeraha yangu; majirani zangu wanakaa mbali nami.
12 Elos su suk in uniyuwi elos filiya kwasrip nu sik, Ac elos su kena akngalyeyu elos fahk mu elos ac kunausyula. Elos tiana tui in orek pwapa koluk lainyu.
Wale wanaotafuta uhai wangu wanatega mitego yao, wale ambao wangetaka kunidhuru huongea juu ya maangamizi yangu; hufanya shauri la hila mchana kutwa.
13 Nga oana sie mwet sulohngkas — nga tia ku in lohng, Nga oana sie mwet kofla kaskas, na nga tia kaskas.
Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia, ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,
14 Nga oana mwet se su tia ku in topuk ma uh Ke sripen el tia ku in lohng.
nimekuwa kama mtu asiyesikia, ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.
15 Tusruktu nga lulalfongi in kom, O LEUM GOD, Kom, Leum God luk, fah topukyu.
Ee Bwana, ninakungojea wewe, Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.
16 Nikmet lela mwet lokoalok luk in engan ke nga sun mwe ongoiya; Nikmet lela elos in tungak ke nga ikori.
Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie, wala wasijitukuze juu yangu mguu wangu unapoteleza.”
17 Nga apkuran in ikori, Ac nga waiok pacl e nukewa.
Kwa maana ninakaribia kuanguka, na maumivu yangu yananiandama siku zote.
18 Nga fahkak ma koluk luk; Tuh ma inge oru nga arulana fosrnga.
Naungama uovu wangu, ninataabishwa na dhambi yangu.
19 Mwet lokoalok luk elos arulana ku in mano; Pukanten mwet srungayu ke wangin sripa.
Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
20 Elos su folokin ma koluk ke ma wo Elos lainyu mweyen nga srike in oru ma suwohs.
Wanaolipa maovu kwa wema wangu hunisingizia ninapofuata lililo jema.
21 Nikmet sisyula, O LEUM GOD; Nikmet fahsr likiyu, God luk.
Ee Bwana, usiniache, usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.
22 Kasreyu inge, O Leum su langoeyu!
Ee Bwana Mwokozi wangu, uje upesi kunisaidia.