< Psalm 26 >
1 [Psalm lal David] O LEUM GOD, akkalemye lah wangin mwetik, Mweyen nga oru ma suwohs Ac nga lulalfongi kom ke insiuk nufon.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2 Tuniyu ac srikeyu, LEUM GOD; Liye insiuk ac nunak luk.
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3 Tuh lungse kawil lom atolyu; Ac oaru lom kolyu pacl e nukewa.
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Nga tia asruoki yurin mwet lusrongten; Wangin ip luk yurin mwet wosounkas.
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
5 Nga tia lungse asruoki nu sin mwet koluk, Ac nga fahsr liki mwet sulallal.
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
6 LEUM GOD, nga ohlla pouk in akkalemye lah nga nasnas na, Ac nga fahsr rauni loang lom.
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 Nga yuk soko on in sang kulo, Ac nga fahkak ke orekma wowo lom nukewa.
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8 LEUM GOD, nga lungsik lohm su kom muta we, Acn su wolana lom oan we.
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
9 Nikmet uniyuwi yurin mwet koluk; Moliyula liki ouiyen misa lun mwet akmas,
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10 Mwet su orekma koluk in pacl e nukewa Ac akola in eis mwe moul kutasrik.
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11 A funu nga, nga oru ma suwoswos. Pakomutuk ac moliyula!
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12 Nga muta in misla liki mwe ongoiya nukewa; Nga fah kaksakin LEUM GOD ke nga muta inmasrlon mwet lal.
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.