< Psalm 124 >

1 [Psalm lal David] LEUM GOD El funu tia wi kut la, lukun fuka? O Israel, kowos in topuk!
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 “LEUM GOD El funu tia wi kut le, Ke mwet lokoalok elos mweun lain kut
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 Kut lukun moul na elos ukumkutla Ke sripen kasrkusrak lulap lalos sesr;
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 Na sronot u pokkutla, Kof u afwinkutla,
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 A kof pulkulak akwalomyekutla.”
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Lela kut in sang kulo nu sin LEUM GOD, Su tia filikutyang nu in poun mwet lokoalok lasr.
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Kut tu kaingla oana sie won su kaingla liki sruf lun mwet sru won; Sruf u musalla a kut sukosokla!
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Kasru lasr tuku sin LEUM GOD, Su orala kusrao ac faclu.
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

< Psalm 124 >