< Oekyuk 28 >

1 LEUM GOD El fahk nu sel Moses,
BWANA akanena na Musa akamwambia,
2 elan sapkin nu sin mwet Israel in sang mwe mongo ma fal in kisakinyuk nu sin God ke pacl pakiyuki nu kac, su fohlo uh akinsewowoyal.
“Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
3 Pa inge mwe mongo ma fal in kisakinyuk nu sin LEUM GOD: kais sie len, kisakin sheep fusr mukul lukwa yac se matwa su wangin kutena ma koluk ke mano.
Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
4 Kisakin soko sheep fusr inge ke lotutang, ac ma soko ngia ke ekela.
Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
5 Ke kais soko sheep inge, sang pac paun in flao luo ma karkarak ke cup akosr ke oil in olive wowo tuh in mwe kisa wheat.
Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
6 Pa inge mwe kisa firir ma eneneyuk in orek ke len nukewa, su tuh mutawauk orek Fineol Sinai — sie mwe kisa mongo ma orek ke e, su fohlo uh akinsewowoye LEUM GOD.
Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
7 Okoala cup akosr ke wain sisken loang uh tuh in weang sheep fusr soko meet ah.
Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
8 Ke ekela, kisakin sheep fusr soko aklukwa in lumah se na ma orek ke mwe kisa ke lotutang, wi kisa wheat ac kisa wain nu kac. Kisakin ma inge oana sie mwe kisa mongo orek ke e, su fohlo uh akinsewowoye LEUM GOD.
Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
9 Ke len Sabbath, kisakin lukwa sheep fusr mukul yac se matwa su wangin kutena ma koluk ke mano, wi paun in flao akosr karak ke oil in olive tuh in mwe kisa wheat, oayapa mwe kisa ke wain.
Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
10 Mwe kisa firir se inge ac orek ke len Sabbath nukewa, in weang pacna mwe kisa lun len nukewa wi mwe kisa wain uh.
Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
11 Ke len se emeet ke malem nukewa, kisakin sie mwe kisa firir nu sin LEUM GOD ke cow mukul fusr lukwa, sheep mukul soko, itkosr sheep fusr mukul yac sie matwa, ac kewana in wangin kutena ma koluk ke mano.
Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
12 In akfalye mwe kisa wheat, sang onkosr paun in flao karyak ke oil in olive in wi kais soko cow mukul, ac paun akosr ke flao in wi sheep mukul soko;
Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
13 ac paun luo ke flao in wi kais soko sheep fusr. Mwe kisa firir inge pa sie mwe kisa mongo ma orek ke e, su fohlo uh akinsewowoye LEUM GOD.
Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
14 Srikasrak nu ke mwe kisa wain uh pa quart luo in wi kais soko cow mukul, quart se tafu in wi sheep mukul soko, ac quart se in wi kais soko sheep fusr. Pa inge oakwuk nu ke mwe kisa firir ke len se emeet ke malem nukewa in yac se.
Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
15 In weang mwe kisa firir lun kais sie len wi mwe kisa wain uh, kisakin soko nani mukul tuh in sie mwe kisa ke ma koluk.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
16 Kufwen Alukela uh ma orek in akfulatye LEUM GOD ac fah orek ke len aksingoul akosr ke malem se meet.
Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
17 Na ke len aksingoul limekosr in malem sac, sie pac kufwa ac fah orek ke lusen len itkosr. In len inge kewa, ma ac mongo uh pa bread wangin mwe pulol kac.
Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
18 Ke len se emeet lun kufwa se inge kowos fah tukeni in alu, ac tia oru kutena orekma.
Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
19 Oru sie mwe kisa firir nu sin LEUM GOD, su sie mwe kisa mongo ma orek ke e. Kisakin cow mukul fusr lukwa, sheep mukul soko, ac sheep fusr mukul itkosr, yac sie matwa — nufonna in wangin kutena ma koluk ke mano.
Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
20 Mwe kisa wheat in orek ke flao karkar ke oil in olive: paun onkosr in wi kais soko cow mukul, paun akosr in wi sheep mukul soko,
Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
21 ac paun luo in wi kais soko sheep fusr.
Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
22 Kisakin pac soko nani mukul in mwe kisa ke ma koluk, ac in ouiya se inge kom fah oru alu in aknasnas ke mwet uh.
na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Oru ma inge in weang mwe kisa firir ma orek ke lotutang nukewa.
Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
24 In lumah sacna, ke len itkosr kowos in kisakin mwe kisa mongo ma orek ke e, su fohlo uh akinsewowoye LEUM GOD. Oru ma inge in weang mwe kisa firir ke len nukewa, ac mwe kisa wain.
Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
25 Ke len se akitkosr kowos in tukeni alu, ac tia oru kutena orekma.
Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
26 Ke len in kisakin fahko se meet lun kosrani, ke kowos sang mwe kisa ke wheat sasu nu sin LEUM GOD, kowos in tukeni in alu, ac tia oru kutena orekma.
Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
27 Oru sie mwe kisa firir, su fohlo uh mwe akinsewowoye LEUM GOD: lukwa cow fusr mukul, soko sheep mukul, ac itkosr sheep fusr mukul yac se matwa — kewana in wangin kutena ma koluk ke mano.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
28 Akfalye srikasrak ke mwe kisa wheat, ma orek ke flao karyak ke oil in olive: paun onkosr in wi kais soko cow mukul, paun akosr in wi sheep mukul soko ah,
Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
29 ac paun luo in wi kais soko sheep fusr.
Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
30 Kisakin pac soko nani mukul in mwe kisa ke ma koluk, ac in ouiya se inge kom fah oru alu in aknasnas ke mwet uh.
na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Kisakin ma inge oayapa mwe kisa wain, in weang mwe kisa firir lun len nukewa ac mwe kisa wheat.
Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”

< Oekyuk 28 >