< Oekyuk 26 >
1 Tukun mas upa sac, LEUM GOD El fahk nu sel Moses ac Eleazar wen natul Aaron,
Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
2 “Oru sie oaoa lulap ke pisen mwet uh ke sou nukewa in kais sie sruf lun Israel, ke mukul nukewa yac longoulyak matwa su fal in wi mweun.”
Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
3 Moses ac Eleazar pangon mukul nukewa in toeni in acn mwesis lun Moab, kutulap in Infacl Jordan, tulanang Jericho. Eltal fahk nu selos,
Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
4 “Kowos in oakla mukul nukewa ma yac longoulyak,” oana LEUM GOD El sapkin nu sel Moses. Pa inge mwet Israel su tuku liki facl Egypt:
Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
5 Sruf lal Reuben pa inge (Reuben pa wounse mukul natul Jacob): sou lulap lal Hanoch, lal Pallu,
Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
6 lal Hezron, ac lal Carmi.
Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
7 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke angngaul tolu tausin itfoko tolngoul.
Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
8 Fwilin tulik natul Pallu pa Eliab,
Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
9 ac wen natul inge: Nemuel, Dathan, ac Abiram. (Dathan ac Abiram pa tuh solla in mwet kol lun mwet uh. Eltal tuh lainul Moses ac Aaron ke eltal srola wela mwet ke u lal Korah ke pacl se elos tunyuna lain LEUM GOD.
Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
10 Infohk uh mangelik ac okomulosla, ac elos misa welul Korah ac mwet lal ke pacl se e uh onela mwet luofoko lumngaul. Lumah se inge tuh sie mwe akul in sensenkakin mwet Israel nukewa.
Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
11 Tusruktu wen natul Korah tiana anwukla.)
Lakini uzao wa Kora haukufa.
12 Sruf lal Simeon pa inge: sou lulap lal Nemuel, lal Jamin, lal Jachin,
Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
13 lal Zerah, ac lal Shaul.
kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
14 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke longoul luo tausin luofoko.
Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
15 Sruf lal Gad pa inge: sou lulap lal Zephon, lal Haggi, lal Shuni,
Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
17 lal Arod, ac lal Areli.
kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
18 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke angngaul tausin lumfoko.
Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
19 Sruf lal Judah pa inge: (Wen luo natul Judah pa Er ac Onan, tuh eltal misa na in acn Canaan.)
Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
20 Sou lulap lal Shelah, lal Perez, ac lal Zerah.
Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
21 Fwilin tulik natul Perez pa tulik natul Hezron, ac tulik natul Hamul.
Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
22 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke itngoul onkosr tausin lumfoko.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
23 Sruf lal Issachar pa inge: sou lulap lal Tola, lal Puah,
Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
24 lal Jashub, ac lal Shimron.
kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke onngoul akosr tausin tolfoko.
Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
26 Sruf lal Zebulun pa inge: sou lulap lal Sered, lal Elon, ac lal Jahleel.
Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
27 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke onngoul tausin lumfoko.
Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
28 Sruf luo lal Joseph, pa Manasseh ac Ephraim, wen luo natul.
Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
29 Sruf lal Manasseh pa inge: Machir wen natul Manasseh pa papa tumal Gilead, ac sou lulap takla inge, takme tokol Gilead, su papa matu tumalos:
Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
30 sou lulap lal Iezer, lal Helek,
Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
31 lal Asriel, lal Shechem,
ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
32 lal Shemida, ac lal Hepher.
kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
33 Zelophehad wen natul Hepher, wangin wen natul, a acn mukena — inelos pa Mahlah, Noah, Hoglah, Milcah, ac Tirzah.
Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
34 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke lumngaul luo tausin ac itfoko.
Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
35 Sruf lal Ephraim pa inge: sou lulap lal Shuthelah, lal Becher, ac lal Tahan.
Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
36 Sou lulap lal Eran mutawauk yorol Shuthelah.
Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
37 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke tolngoul luo tausin ac lumfoko. Sou lulap inge kewa ma tuku kacl Joseph.
Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
38 Sruf lal Benjamin pa inge: sou lulap lal Bela, lal Ashbel, lal Ahiram,
Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
39 lal Shephupham, ac lal Hupham.
kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
40 Sou lulap lal Ard ac lal Naaman mutawauk kacl Bela.
Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
41 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke angngaul limekosr tausin ac onfoko.
Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
42 Sruf lal Dan pa inge: sou lulap lal Shuham.
Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
43 Pisen mukul ke sou lulap se inge oasr ke onngoul akosr tausin ac angfoko.
Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
44 Sruf lal Asher pa inge: sou lulap lal Imnah, lal Ishvi, ac lal Beriah.
Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
45 Sou lulap lal Heber ac lal Malchiel mutawauk kacl Beriah.
Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
46 Oasr acn se natul Asher, inel pa Serah.
Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
47 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke lumngaul tolu tausin ac angfoko.
Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
48 Sruf lal Naphtali pa inge: sou lulap lal Jahzeel, lal Guni,
Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
49 lal Jezer, ac lal Shillem.
kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
50 Pisen mukul ke sou lulap inge kewa oasr ke angngaul limekosr tausin ac angfoko.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
51 Pisen mukul Israel nukewa toeni orala tausin onfoko sie ac itfoko tolngoul.
Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
52 LEUM GOD El fahk nu sel Moses,
BWANA akanena na Musa akamwambia,
53 “Kitalik acn uh nu sin sruf nukewa, fal nu ke pisen mwet ke kais sie sruf.
Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
54 Nu sin sie sruf lulap kom fah sang sie acn yohk tuh in acn selos, ac nu sin sie sruf srisrik kom fah sang sie acn srisrik tuh in acn selos. Sang nu sin sruf nukewa sie acn fal nu ke pisalos.
Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
55 Tusruktu acn an ac fah kitakatelik ke fa; fal nu ke inen papa tumun kais sie sruf.
Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
56 Sruf lulap ac fah usrui acn lulap, ac sruf srisrik ac fah usrui acn srisrik.
Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
57 Sruf lal Levi pa inge: sou lulap lal Gershon, lal Kohath, ac lal Merari.
Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
58 Fwilin tulik natulos pa ke sou lal Libni, lal Hebron, lal Mahli, lal Mushi, ac lal Korah. Kohath pa papa tumal Amram,
Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
59 su tuh payukyak sel Jochebed, acn natul Levi. Jochebed el tuh isusla in acn Egypt, ac el osweang nu sel Amram wen luo: Aaron ac Moses, ac acn se, Miriam.
Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
60 Oasr wen akosr natul Aaron: inelos pa Nadab, Abihu, Eleazar, ac Ithamar.
Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
61 Nadab ac Abihu eltal misa ke sripen eltal tuh orek kisa nu sin LEUM GOD ke sie e tia mutal.
Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
62 Pisen mukul in sruf lal Levi su malem seyak matwa, oasr ke tausin longoul tolu. Elos oaoala sayen mwet Israel nukewa, ke sripen wangin acn itukyang lalos ke acn lun Israel.
Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
63 Sou lulap inge nukewa simla sel Moses ac Eleazar pacl se elos eis oaoa lulap ke mwet Israel in acn mwesis lun Moab, su oan layen nu kutulap ke Infacl Jordan tulanang Jericho.
Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
64 Wangin siefanna mukul lula ke oaoa se meet ma Moses ac Aaron tuh oru yen mwesis Sinai.
Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
65 LEUM GOD El tuh fahk mu elos nukewa ac misa yen mwesis, sayal Caleb wen natul Jephunneh, ac Joshua wen natul Nun.
Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.