< Leviticus 1 >

1 LEUM GOD El pang nu sel Moses liki Lohm Nuknuk Mutal sin LEUM GOD su nien muta lal, ac sang nu sel oakwuk inge,
Mungu alimwita Musa na alisema naye kutoka kweye hema la kukutania, akasema,
2 su ma nu sin mwet Israel ke pacl elos oru kisa lalos. Ke pacl ma sie mwet el kisakin soko kosro natul, ku in cow soko ku sheep soko ku nani soko.
“Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mwanaume yeyote miongoni mwenu akileta sadaka kwa Bwana, aleta kama matoleo katika wanyama wako, iwapo mifugo au katika kundi.”
3 El fin ac sang soko sin cow natul in mwe kisa firir, el ac enenu in use soko cow mukul ma wangin ma koluk ke manol. El ac enenu in use nu ke nien utyak ke Lohm Nuknuk Mutal sin LEUM GOD tuh LEUM GOD Elan insewowo sin mwet sac.
Kama matoleo yake ni ya sadaka ya kutekezwa kutoka katika kundi, atatoa dume asiyekuwa na kasoro. Atamtoa katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania, ili iwe imekubaliwa mbele za Bwana.
4 Mwet sac ac enenu in filiya paol fin sifen cow soko ah, na ac fah pangpang sie mwe kisa in eela ma koluk lal.
Ataweka mikono yake kichwani pa sadaka ya kuteketezwa, na ndipo itakuwa imekubaliwa badala yake kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe.
5 El fah uniya cow mukul soko ah we, ac mwet tol in fwil natul Aaron fah asang srah kac nu sin LEUM GOD, ac fwela siska akosr ke loang se ma oan ke acn in utyak nu in Lohm Nuknuk Mutal.
Ndipo atapaswa kuchinja ng'ombe mbele ya Bwana. Watoto wa Aroni, makuhani wataleta damu na kuinyunyizia katika madhabahu iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema la kukutania.
6 Na el fah sukela kulun cow soko ah, ac luseya ikwa uh,
Ndipo ataichuna sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande.
7 na mwet tol elos fah takunla etong fin loang uh ac akosak.
Kisha wana wa Haruni kuhani wataweka moto katika madhabahu na kuweka kuni ili kuchochea moto.
8 Elos fah filiya ipin kosro ah fin e uh, wi pac sifa ac kiris kac uh.
Wana wa Haruni, makuhani wataweka vipande, kichwa na mafuta, watazipanga juu ya kuni zilizoko juu ya moto ulio madhabahuni.
9 Mwet sac fah ohlla koanonsia ac pukinnien cow uh, na mwet tol se ma oru kisa uh fah esukak ma inge nukewa fin loang uh. Foulin mwe mongo ma kisakinyuk inge mwe insewowo nu sin LEUM GOD.
Lakini matumbo yake na miguu lazima ataiosha kwa maji. Kisha kuhani atateketeza kila kitu kilicho juu ya madhabahu kama sadaka ya kuteketeza. Italeta harufu nzuri sana kwangu; itakuwa sadaka iliyotolewa kwa moto kwa ajili yangu.
10 Mwet se fin kisakin soko sin sheep ku nani natul, ac enenu na in ma mukul soko su wanginna ma koluk ke manol.
Kama sadaka kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza kutoka kundi, kondoo au mbuzi, lazima atoe dume asiye na kasoro.
11 El fah uniya ke layen epang ke loang sac, ac mwet tol fah fwela siska akosr ke loang sac ke srah.
Lazima atamchinja juu ya madhabahu iliyo katika upande wa kaskazini mbele ya Bwana. Wana wa Haruni makuhani, watanyunyiza damu kila upande wa madhabahu.
12 Tukun mwet sac luseya kosro soko ah, na mwet tol se ma orekma ke kisa uh fah filiya ip nukewa inge fin e sac, wi sifa ac kiris kac.
Kisha ataikata katika vipande, pamoja na kichwa na mafuta yake, kuhani atavipanga juu ya kuni zilizo katika moto ulio madhabahuni,
13 Mwet sac enenu in ohlla koanonsia ac pukinnia kewa ke kof, na mwet tol sac fah sang mwe kisa inge nu sin LEUM GOD, ac esukak ma nukewa fin loang uh. Foulin mwe mongo ma kisakinyuk inge mwe insewowo su sin LEUM GOD.
lakini matumbo yake na miguu yake lazima ioshwe kwa maji. Kisha kuhani atatoa yote na kuiteketeza juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa, italeta harufu nzuri kwa ajili ya Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
14 Mwet se fin ac kisakin sie won tuh in mwe kisa firir, enenu na in wuleoa se ku siena wule.
Kama sadaka yake kwa Bwana itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa ni ndege, ndipo ataleta kama sadaka yake aidha ni huwa au kinda la njiwa.
15 Mwet tol fah use nu ke loang uh, furala kwawa ac esukak sifa uh fin loang uh. Srah kac uh ac fah aksororyeyukla nu sisken loang uh.
Kuhani ataileta madhabahuni, atamnyonga kichwa chake, na kuiteketeza juu ya madhabahu. Kisha damu yake itachuruzishwa juu ya pande za madhabahu.
16 El fah eisla tenguna ac koanonsien won sac, ac sisla nu layen kutulap ke loang uh, nu ke nien fil apat uh.
Kisha atakiondoa kibofu chake pamoja na uchafu wake, na kukiweka upande wa mashariki mwa madhabahu, katika sehemu ya majivu.
17 El fah sruokya pao luo ah, ac seya mano sac, tusruktu pao luo ac fah tia ayukla liki mano sac, na el ac esukak nufonna fin loang uh. Foulin mwe mongo ma kisakinyuk inge mwe insewowo nu sin LEUM GOD.
Kisha atapasua mabawa yake, lakini hatagawanya katika vipande viwili. Kisha Kuhani atamtekeza katika madhabahu, juu ya kuni amabazo ziko juu ya moto. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa, na italeta harufu nzuri sana kwa Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.

< Leviticus 1 >