< Joshua 18 >

1 Tukun elos eisla acn inge, mwet Israel nufon tukeni in acn Shiloh, ac tulokunak Lohm Nuknuk sin LEUM GOD in acn we.
Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
2 Tusruktu itkosr sin sruf lun Israel soenna itukyang acn selos.
Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
3 Ouinge Joshua el fahk nu sin mwet Israel, “Kowos ac soano nwe ngac in som eis acn ma LEUM GOD lun papa tomowos El sot lowos inge?
Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
4 Supwama mwet tolu ke kais sie sruf, ac nga ac fah supwalosla elos in som liye acn inge nufon, ac sruloala luman acn su elos lungse tuh in ma lalos, na elos fah foloko nu yuruk.
Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
5 Acn inge ac fah kitakatelik nu ke ip itkosr. Judah el ac fah eis layen nu eir tuh in ma lal, ac Joseph el ac fah eis layen nu epang.
Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
6 Sruloala luman ipin acn itkosr inge ac use nu yuruk, ac nga ac fah aol kowos in susfa kac ye mutun LEUM GOD lasr.
Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
7 Tusruktu, ac fah wangin ip lun mwet Levi inmasrlowos, mweyen orekma mutal lun LEUM GOD ac fah mwe usru lalos. A sruf lun Gad, Reuben, ac Manasseh Kutulap elos eis tari acn lalos layen kutulap in Infacl Jordan. Moses, mwet kulansap lun LEUM GOD, el tuh sang lalos.”
Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
8 Meet liki mwet ah som in sruloala luman acn ingo, Joshua el fahk nu selos, “Kowos som nu in acn ingan nufon, sruloala, na kowos foloko nu yuruk. Na inge, in acn Shiloh, nga ac fah aol kowos in susfa ke acn ingan ye mutun LEUM GOD.”
Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
9 Ouinge mwet ah som nu fin acn inge nufon ac sruloala ac kitalik nu ke ip itkosr wi inen kais sie siti we. Na elos folokla nu yorol Joshua ke nien aktuktuk Shiloh.
Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
10 Na Joshua el kitalik acn uh nu sin sruf lula lun mwet Israel ke susfa ye mutun LEUM GOD in acn Shiloh.
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
11 Acn lun sou in sruf lal Benjamin pa itukyang emeet. Acn lalos ah oan inmasrlon acn lal Judah ac Joseph.
Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
12 Masrol lalos layen nu epang mutawauk Infacl Jordan utyak ke acn oatu se epang in acn Jericho ac fahla roto lac nu fineol uh, ac utyak na nwe sun yen mwesis in Bethaven.
Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
13 Na masrol an fahla nu ke acn oatui se eir in acn Luz (su pangpang pac Bethel), na fahla nu Ataroth Addar su oan fineol eir in Beth Horon Ten.
Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
14 Na masrol sac kuhfla som nu layen eir liki siska roto ke fineol soko ah, ac fahla nu Kiriath Baal (ku Kiriath Jearim), su ma lun sruf lal Judah. Pa inge masrol nu roto.
Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
15 Masrol layen nu eir ah mutawauk sisken acn Kiriath Jearim ac fahla sun unon in kof Nephtoah,
Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
16 sifilpa oatui nu pe eol ma oan ngetang nu Infahlfal Hinnom su oan epang in Infahlfal Rephaim, fahla pac sasla Infahlfal Hinnom eir in pe eol Jebus nwe ke sun acn Enrogel.
Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
17 Insac lac el kuhfwak nu epang, fahsryak nu in acn Enshemesh, som na nwe Geliloth su oan ngetang nu ke Innek In Utyak Nu Adummim, sifilpa oatula nu ke Eot lal Bohan (su wen natul Reuben),
Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
18 ac fahla ut epang in mutun eol se ma ngetang nu Infahlfal Jordan, na oatula nu infahlfal ah.
Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
19 Na masrol sac utyak we lac nwe ke acn oatu tafunyen epang in acn Beth Hoglah, ac safla inalok in Meoa Misa ke kapin Infacl Jordan. Pa inge masrol layen nu eir.
Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
20 Infacl Jordan pa masrol nu kutulap. Pa inge masrol ma akilenya acn su itukyang nu sin sou in sruf lal Benjamin tuh in ma lalos.
Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
21 Pa inge siti lun kais sie sou ke sruf lal Benjamin: Jericho, Beth Hoglah, Emek Keziz,
Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
22 Beth Arabah, Zemaraim, Bethel,
Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
23 Avvim, Parah, Ophrah,
Avimu, Para, Ofra,
24 Chepharammoni, Ophni, ac Geba — siti singoul luo nufon, wi inkul nukewa ma raunela.
Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
25 Oayapa Gibeon, Ramah, Beeroth,
Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
26 Mizpah, Chephirah, Mozah,
Mizpe, Kefira, Moza,
27 Rekem, Irpeel, Taralah,
Rekemu, Iripeeli, Tarala,
28 Zela, Haeleph, siti lun Jebus (acn Jerusalem), Gibeah, ac Kiriath Jearim — siti singoul akosr nufon, wi inkul nukewa ma raunela. Pa inge acn ma itukyang nu sin sou in sruf lal Benjamin tuh in ma lalos.
Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.

< Joshua 18 >