< Joshua 17 >

1 Sie ipin acn roto in Infacl Jordan tuh itukyang nu sin kutu sou in sruf lal Manasseh, su tulik se oemeet natul Joseph. Na Machir, papa tumal Gilead, el wen se oemeet natul Manasseh ac el mwet pwengpeng ke mweun se, pa sis acn Gilead ac Bashan su oan kutulap in Infacl Jordan itukyang lal.
Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
2 Acn roto in Infacl Jordan itukyang nu sin sou lula lal Manasseh: Abiezer, Helek, Asriel, Shechem, Hepher, ac Shemida. Pa inge mukul lula natul Manasseh wen natul Joseph, ac elos sifen kais sie sou.
Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
3 Na Zelophehad, su ma natul Hepher, natul Gilead, natul Machir, natul Manasseh, wangin mukul natul — mutan mukena, ac inelos pa Mahlah, Noah, Hoglah, Milcah, ac Tirzah.
Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
4 Elos som nu yorol Eleazar mwet tol, ac nu yorol Joshua wen natul Nun, ac nu yurin mwet kol ac fahk, “LEUM GOD El tuh sapkin nu sel Moses elan ase ipin acn lasr in oapana ke mukul wiasr inge eis acn lalos.” Na elos sang acn sin mutan inge, in oana ma LEUM GOD El sapkin.
Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
5 Pa inge sripa se sis tuh oasr pac ip singoul itukyang nu sin Manasseh in weang acn Gilead ac Bashan su oan kutulap in Infacl Jordan,
Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
6 mweyen itukyang acn sin mukul oayapa mutan natul Manasseh. Acn Gilead itukyang nu sin mwet lula nukewa in sruf lal Manasseh.
kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
7 Facl sel Manasseh pa som Asher lac nwe sun acn Michmethath, kutulap in acn Shechem. Na masrol sac fahla eir lac nu ke acn lun mwet Entappuah.
Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
8 Acn ma raunela siti Tappuah ma lal Manasseh, tusruktu siti se inge Tappuah ma oan fin masrol an, ma lun tulik natul Ephraim.
( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
9 Na masrol an putati som nwe ke infacl srisrik Kanah. Siti nukewa ma oan eir in infacl srisrik soko ah ma lun tulik natul Ephraim, finne siti inge oan in facl lal Manasseh. Masrol lal Manasseh uh fahla epang sisken infacl srisrik soko ah nwe safla Meoa Mediterranean.
Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
10 Acn eir ma lal Ephraim, ac acn epang ma lal Manasseh, ac masrol lalos nu roto pa Meoa Mediterranean. Ac masrol nu roto epang ke acn lal Manasseh sun acn lal Asher, ac masrol nu kuta epang ke acn lal Manasseh sun acn lal Issachar.
bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
11 Luin acn sel Issachar ac Asher, acn ekasr inge oan loac, tuh ma lal Manasseh: Beth Shan ac Ibleam ac inkul nukewa ma raunela, oayapa acn Dor (su oan sisken Meoa Mediterranean), Endor, Taanach, Megiddo, ac inkul nukewa ma raunela.
Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
12 Tusruktu, mwet Manasseh elos koflana lusak mwet in siti ingo, oru mwet Canaan elos mutana we.
Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
13 Finne pacl se ma mwet Israel elos arulana kui, elos tiana luselosla, tusruktu elos sang orekma upa nu faclos.
Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
14 Na tulik natul Joseph fahk nu sel Joshua, “Efu kom ku ase ipin acn sefanna tuh in ma lasr? Kut arulana pus, mweyen LEUM GOD El akinsewowoye kut.”
Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
15 Ac Joshua el fahk nu selos, “Kowos fin arulana pus, ac fineol Ephraim fin srikla nu suwos, na kowos utyak nu insak uh ac sifacna sakunla nu suwos kutu acn sin mwet Periz ac mwet Rephaim.”
Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
16 Ac elos topuk, “Facl sesr fineol uh tia fal nu sesr, tuh mwet Canaan su muta acn tupasrpasr uh oasr chariot osra natulos, kewana elos su muta Beth Shan ac elos su muta Infahlfal Jezreel ac acn nukewa ma raunela acn ingan.”
Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
17 Joshua el fahk nu sin sruf lal Ephraim ac Manasseh Roto, “Pwaye kowos arulana pus ac ku. Fal in pus liki ipin acn se na lowos.
Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
18 Fineol uh ma lowos. Finne acn ingan insak, kowos ac fah sakunla ac fah ma lowos nufon. Ac nu ke mwet Canaan an, kowos ac fah luselosla, elos finne mwet ku ac oasr chariot osra natulos.”
Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”

< Joshua 17 >