< Joshua 11 >
1 Ke pweng ke kutangla lun Israel inge sonol Tokosra Jabin lun acn Hazor, el sapla nu sel Tokosra Jobab lun mwet Madon, ac nu sin tokosra lun acn Shimron ac acn Achshaph,
Basi ikawa aliposikia haya, Yabini, mfalme wa Hazori, alituma ujumbe kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme Shimroni, na kwa mfalme wa Akshafu.
2 ac nu sin tokosra nukewa fin acn tohktok in acn epang, ac Infahlfal Jordan eir in Lulu Galilee, ac pe eol uh, ac sisken meoa apkuran nu Dor.
Alituma pia ujumbe kwa wafalme walikuwa katika mlima wa kaskazini mwa nchi, katika bonde la Mto Yordani kusini mwa Kinerethi, katika nchi za tambarare, na katika nchi za milima ya Dori kuelekea magharibi.
3 El oayapa supwala kas nu sin mwet Canaan lefahl kutulap ac roto Infacl Jordan, ac nu sin mwet Amor, ac nu sin mwet Hit, ac nu sin mwet Periz, ac nu sin mwet Jebus su muta fineol uh, ac nu sin mwet Hiv su muta pe Fineol Hermon in acn Mizpah.
Pia, alituma ujumbe kwa Wakanaani walioko mashariki na magharibi, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wayebusi katika nchi za milima, na Wahivi karibu na Mlima Hermoni katika nchi ya Mizipa.
4 Elos tuku wi mwet mweun puspis lalos, ac pisalos pus oana puk weacn uh. Oayapa pus horse ac chariot natulos.
Maadui zao wote walitoka pamoja nao, wanajeshi wengi sana, hesabu yao ilikuwa kama mchanga wa pwani. Walikuwa na farasi wengi sana na magari.
5 Tokosra inge nukewa wi mwet mweun lalos elos tukeni tuku ac tulokunak lohm nuknuk selos sisken infacl srisrik Merom, ac akola in mweun lain mwet Israel.
Wafalme wote hawa walikutana katika muda waliokuwa wameupanga, na walipiga kambi katika maji ya Meromu ili kupigana vita na Israeli.
6 LEUM GOD El fahk nu sel Joshua, “Nik kom sangeng selos, tuh pacl se inge lutu, nga fah onelosla nufon ke sripen Israel. Kom fah pakiya alko ke nien horse natulos, ac esukak chariot natulos.”
Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope mbele zao, kwa kuwa muda kama huu kesho ninawatia hao kwa Waisraeli wakiwa wafu. Utaivunja vunja miguu ya farasi zao, na utayachoma moto magari yao.”
7 Na Joshua ac mwet lal nukewa sa na sruokolosi meet liki elos akola sisken infacl srisrik Merom.
Yoshua na watu wote wa vita walitoka na mara wakafika katika maji ya Meromu, na wakawashambulia maadui.
8 LEUM GOD El sang kutangla nu sin Israel fin mwet inge. Mwet Israel lainulos ac ukwalos nwe Misrephoth Maim ac Sidon nu eir, oayapa nwe ke Infahlfal Mizpah nu kutulap. Elos mweunelos nwe ke na wangin sie moul.
Yahweh akawatia maadui katika mkono wa Israeli, na waliwapiga kwa upanga na wakawafuata mpaka Sidoni, Misrefothi - Maimu, na katika bonde la Mizipa upande wa mashariki. Waliwaua wote hakuna hata mmoja aliyeachwa hai.
9 Joshua el oru nu selos oana ma LEUM GOD El sapkin — el pakela alko ke nien horse natulos ac esukak chariot natulos.
Yoshua aliwatendea kama vile Yahweh alivyomwambia. Alivunja miguu ya farasi na magari aliyachoma moto.
10 Na Joshua el forla sruokya acn Hazor, ac uniya tokosra se lun acn we. (In pacl sac acn Hazor pa ku fin mutunfacl ingo kewa.)
Kwa wakati huo, Yoshua alirudi na akauteka mji wa Hazori. Alimwua mfalme wake kwa upanga (Hazori ulikuwa ni kichwa cha falme hizi zote).
11 Elos onelosla nufon mwet in acn sac. Wangin sie mwet lula. Na elos esukak siti sac.
Waliwapiga kwa upanga kila kiumbe chenye uhai kilichokuwa huko, na alivitenga ili viteketezwe, hivyo hapakuwa na kiumbe hai kilichoachwa hai. Na kisha aliuchoma moto Hazori.
12 Joshua el sruokya siti ingo kewa, oayapa tokosra lalos. El onelosla nufon, oana ma Moses, mwet kulansap lun LEUM GOD, el tuh sapkin.
Yoshua aliiteka miji yote ya wafalme hawa. Aliwateka pia wafalme wake wote na akawapiga wote kwa upanga. Aliwateketeza kabisa kwa upanga, kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyoagiza.
13 Tusruktu, mwet Israel elos tia esukak kutena siti su musala fin pwelung matu, sayen Hazor mukena, su Joshua el tuh esukak.
Waisraeli hawakuchoma moto mji wowote miongoni mwa miji iliyojengwa juu ya vilima vya vifuasi vya udongo, isipokuwa Hazori, ndio mji pekee ambao Yoshua aliuchoma kwa moto.
14 Mwet Israel elos eis mwe kasrup ac kosro nut nukewa liki siti inge tuh in ma lalos. A elos uniya mwet nukewa, ac wangin sie lula.
Jeshi la Israeli lilichukua nyara kutoka katika miji pamoja na mifugo kwa ajili yao wenyewe. Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai.
15 LEUM GOD El tuh sang ma sap lal nu sel Moses, mwet kulansap lal, ac Moses el sang nu sel Joshua, ac Joshua el akos. El oru ma nukewa oana ma LEUM GOD El tuh sapkin nu sel Moses.
Kama vile Yahweh alivyomwagiza mtumishi wake Musa, na kwa namna hiyo hiyo, Musa alivyomwagiza Yoshua. Na katika mambo yote ambayo Yahweh alimwamuru Musa kuyafanya, Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja.
16 Joshua el sruokya kewa acn inge, acn fineol uh ac pe eol uh, epang ac eir, oayapa acn Goshen nufon ac acn mwesis nu eir, ac Infahlfal Jordan.
Yoshua alitwaa nchi hiyo yote, nchi ya milima, Negevu yote, nchi yote ya Gosheni, nchi ya vilima vidogo, bonde la Mto Yordani, nchi ya milima ya Israeli, na nchi tambarare.
17 Lupan mutunfacl se inge mutawauk ke Fineol Halak nu eir apkuran nu Edom, fahla nwe ke acn Baalgad nu epang, ke Infahlfal Lebanon su oan eir in Fineol Hermon.
Kutoka Mlima Halaki karibu na Edomu, kuelekea kasikazini hadi Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni chini ya Mlima Hermoni, aliwateka wafalme wake wote na kuwaua.
18 Joshua el tuh mweuni tokosra lun acn inge ke pulan pacl na loes se. Tusruktu, el sruokolosi kewa ac el onelosla.
Yoshua alipigana vita na wafalme wote kwa muda mrefu.
19 Siti sefanna ma tuh orala misla yurin mwet Israel pa Gibeon, su pa inge acn se ma kutu sin mwet Hiv muta we. Siti nukewa saya sruhu ke mweun.
Hakuna hata mji mmoja uliofanya amani na jeshi la Israeli isipokuwa Wahivi walioishi Gibeoni. Israeli ilitwaa miji yote iliyosalia katika vita.
20 LEUM GOD El pirik insien mwet inge tuh elos in lungse mweun lain mwet Israel, elos in mau arulana sikiyukla ac anwuki nufon, in kalem lah wangin pakomuta nu selos. Pa inge ma LEUM GOD El tuh sapkin nu sel Moses.
Kwa kuwa alikuwa ni Yahweh ambaye alikuwa ameifanya kuwa migumu mioyo yao ili wapande na kufanya vita dhidi ya Israeli, ili kwamba aweze kuwaangamiza kabisa, na kutowaonesha huruma, kama alivyomwaagiza Musa.
21 In pacl se inge Joshua el som ac onelosla mwet yohk pisa ac ku su pangpang Anakim su muta fineol uh in acn Hebron, Debir, Anab, ac infulan eol in Judah ac Israel. Joshua el kunauselosla nukewa wi siti selos.
Kisha Yoshua akaja kwa wakati ule na aliiangamiza Anakimu. Aliyafanya haya katika nchi ya milima, huko Hebroni, Debiri, Anabu, na katika nchi yote ya Yuda, na katika nchi yote ya milima ya Israeli. Yoshua aliwaangamiza kabisa pamoja na miji yao.
22 Wangin mwet Anakim lula in facl sin mwet Israel. Tusruktu mwet ekasrna selos lula in acn Gaza, Gath, ac Ashdod.
Hakuna hata mmoja wa watu wa Anakimu aliyeachwa katika nchi ya Israeli, isipokuwa huko Gaza, Gathi na Ashidodi.
23 Joshua el sruokya facl sac nufon in oana ma LEUM GOD El tuh sapkin nu sel Moses. Ac Joshua el sang facl sac tuh in mwe usru nu sin mwet Israel, ac kitalik fal nu ke kais sie sruf lalos. Na mwet uh mongla liki mweun.
Hivyo Yoshua aliiteka nchi yote, kama vile Yahweh alivyomwambia Musa. Yoshua aliwapa Israeli kama urithi, kila kabila lilipewa sehemu yake. Kisha nchi ikapumzika bila vita.