< Job 2 >

1 Ke sun len se ma lipufan inkusrao uh enenu in sifilpa tuku ye mutun LEUM GOD, Satan el sifilpa welulos tuku.
Siku nyingine wana wa Mungu walikuja kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao kujionyesha mbele zake.
2 Na LEUM GOD El siyuk sel, “Kom muta ya tuku?” Na Satan el fahk, “Nga foroht na forma rarauni faclu.”
Bwana akamuuliza Shetani, “Umetoka wapi?” Shetani akamjibu Bwana “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”
3 Na LEUM GOD El siyuk sel, “Ac kom tuh liyal Job, mwet kulansap luk? Wangin sie mwet fin faclu wo ac inse pwaye nu sik oana el. El alu nu sik, ac arulana karinganang elan tia orala kutena ma koluk. Kom tuh kifusyu nwe nga lela nu sum in akupaye nu sel ke wangin, tusruktu Job el srakna inse pwayena nu sik oana meet ah.”
Bwana akamwambia Shetani, “Je, umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Hakuna mtu mwingine duniani aliye kama yeye, mtu asiye na hatia, ni mnyofu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu. Naye bado anadumisha uadilifu wake, ingawa ulinichochea dhidi yake, ili nimwangamize pasipo sababu.”
4 Na Satan el fahk, “Mwet se ac ku na in pilesrala ma nukewa lal elan mau ku in moul.
Shetani akamjibu Bwana, “Ngozi kwa ngozi! Mwanadamu atatoa vyote alivyo navyo kwa ajili ya uhai wake.
5 Tusruktu kom ac fin akkolukyela manol, el ac ngetot nu sum ac selngawikomi!”
Lakini nyoosha mkono wako na kuipiga nyama yake na mifupa yake, naye kwa hakika atakulaani mbele za uso wako.”
6 Ouinge LEUM GOD El fahk nu sel Satan, “Kwal, inge el oan inpoum, tusruktu nimet kom unilya.”
Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, yeye yumo mikononi mwako, lakini lazima umwachie uhai wake.”
7 Na Satan el fahsr lukel LEUM GOD ac oru tuh faf puspis in sikyak ac nokomla nufon manol Job.
Basi Shetani akatoka mbele za Bwana naye akampiga Ayubu kwa majipu mabaya tangu nyayo za miguu yake hadi utosi wa kichwa.
8 Job el som ac muta ke nien sisi kutkut, ac sang ipin ahlu fokelik se srike in koala faf kacl inge.
Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.
9 Na mutan kial ah fahk nu sel, “Kom srakna sruokyana lulalfongi lom an oana meet ah. Efu ku kom tia tari selngawi God ac misa?”
Mke wake akamwambia, “Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!”
10 Na Job el topuk ac fahk, “Kom kaskas oana mwet na lalfon se. Ke God El ase ma wo nu sesr, kut insewowo kac. Na efu ku kut in torkaskas El fin ase ma upa nu sesr?” Job el ne arulana keok, a el tiana torkaskas lain God.
Akamjibu, “Unazungumza kama vile ambavyo mwanamke mpumbavu yeyote angenena. Je, tupokee mema mikononi mwa Mungu, nasi tusipokee na udhia?” Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.
11 Tolu sin mwet kawuk lal Job uh pa Eliphaz sie mwet in siti Teman, Bildad sie mwet Shuah, ac Zophar sie mwet Naamah. Ke elos lohngak lah Job el arulana keok, elos nunkauk elos in som ac akpwaryal.
Basi marafiki watatu wa Ayubu, ndio Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi na Sofari Mnaamathi, waliposikia juu ya taabu yote iliyompata Ayubu, wakajipanga toka manyumbani mwao, nao wakakutana pamoja kwa makubaliano kwenda kumtuliza katika taabu hiyo na kumfariji.
12 Ke elos srakna fahsr loes lukel Job, elos liyalak, tusruktu elos tiana akilenul. A ke pacl se elos akilenulak elos mutawauk in wowoyak ke tung, ac seya nuknuk lalos ke asor, ac sisak fohkfok nu lucng ah nu fin sifalos.
Walipomwona kwa mbali, ilikuwa vigumu kumtambua. Wakaanza kulia kwa sauti kubwa, wakayararua majoho yao na kujirushia mavumbi juu ya vichwa vyao.
13 Na elos pituki welul muta fin fohk uh ke len itkosr ac fong itkosr. Elos tia fahkla kutena kas mweyen elos liye lupan keok lal Job.
Kisha wakaketi chini kwenye udongo pamoja na Ayubu kwa siku saba usiku na mchana. Hakuna yeyote aliyesema naye neno, kwa sababu waliona jinsi mateso yake yalivyokuwa makubwa.

< Job 2 >