< Job 17 >

1 “Inge moul luk uh apkuran in safla. Arulana upa nu sik in momong; Wangin ma lula nu sik sayen kulyuk luk, su akoeyukla soaneyu.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Nga liye lah mwet nukewa arulana aksruksrukeyu.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Nga kaskas pwayena, O God. Nunak munas, lulalfongi kas luk. Wangin mwet ac ku in iweyula fin tia kom.
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Kom kaliya nunak lalos, pwanang elos tia ku in nunkauk kutena ma pwaye; Nimet lela elos in kutangyula inge.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Soakas matu se fahk mu sie mwet fin kiapwela mwet kawuk lal ke sripen mani, Na tulik natul fah eis mwata ac keok kac.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Ac inge mwet uh orekmakin soakas se inge in lainyu; Elos tuku ac acni nu in mutuk.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Asor luk apkuranna in konela mutuk; Pouk ac niuk arulana minini oana lul uh.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Mwet ma sifacna nunku mu elos suwos uh elos lut, Ac elos nukewa kasrkusrak ac fahk mu nga tia lulalfongi God.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Elos su sifacna pangon mu elos mwet suwoswos, Yokyokelikna nunkeya selos mu pwaye selos.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Tusruktu elos nukewa fin tuku ac tu ye mutuk, Nga lukun tia ku in konauk mu oasr siefanna selos lalmwetmet.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 “Len luk uh somla; ako luk uh tia orekla; Ac finsrak luk uh wanginla.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 A mwet kawuk luk uh fahk mu fong uh kalem; Elos fahk mu kalem uh apkuranme, Tusruk nga etu lah nga srakna muta in lohsr.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Finsrak sefanna luk pa facl sin mwet misa, Yen su nga ac fah ona ac motul in lohsr uh. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 Nga ac fah pangon kulyuk uh pa papa tumuk, Ac wet ma ac kangyula uh, Nga ac fah pangon mu nina kiuk ac tamtael luk.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Pia mwe finsrak luk uh? Su ku in liyauk lah oasr oya?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 Finsrak uh ac fah tia ku in wiyu som Ke nga ac oatui nu in facl sin mwet misa.” (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Job 17 >