< Jeremiah 4 >

1 LEUM GOD El fahk, “Mwet Israel, kowos fin lungse forla, kowos forma nu sik. Kowos fin pwaye nu sik ac sisla ma sruloala ma nga srunga ingan,
“Kama utarudi, Israeli- asema BWANA - ikawa kwangu kwamba umerudi. Kama utaondoa hayo mambo yachukizayo mbele yangu na ukaacha kunikimbia mimi tena,
2 na ac tufah fal kowos in fulahk ke Inek. Mutunfacl nukewa fah siyuk sik in akinsewowoyalos, ac elos fah kaksakinyu.”
na ukaapa hivi, 'kama BWANA aishivyo katika kweli, na haki, na katika hukumu.' mataifa yataniomba baraka, na yatanisifu mimi.
3 LEUM GOD El fahk nu sin mwet Judah ac Jerusalem, “Akfisrasryeak fohk ke acn ma soenna imaiyuk. Nimet yukwiya fita sunowos inmasrlon kokul uh.
Kwa kuwa BWANA asema hivi kwa kila mmoja katika Yuda na Yerusalemu; 'Limeni shamba zenu na msipande katika miiba.
4 Kowos mwet Judah ac Jerusalem, kowos in karinganang wuleang su nga, LEUM GOD lowos, orala inmasrlok ac kowos, ac kowos in sifacna kisakinkowosme nu sik. Kowos fin tia oru, na kasrkusrak luk ac tayak oana e, ke sripen ma koluk kowos oru. Ac fah firir ac wangin sie ku in konela.”
Mtahiriwe kwa BWANA na kuondoa govi za mioyo yenu, ninyi wanaume wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu, vinginevyo hasira yangu itawaka kama moto na kuteketeteza, na hakutakuwa na mtu wa kuizima. Hii itatokea kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.
5 Ukya mwe ukuk in sasla facl sac nufon! Sasa in yohk ac kalem! Fahkang nu sin mwet Judah ac Jerusalem In kaing nu ke siti ma potiyukyak ku.
Waambie Yuda na Yerusalemu isikie. Waambie, “pigeni baragumu katika nchi.” Tangazeni, “Kusanyeni pamoja. Twendeni kwenye miji ya Maboma.”
6 Srisrngi inkanek nu Zion! Kaing, kom in moulla! Nimet pahtlac! LEUM GOD El use ongoiya Ac kunausten lulap liki acn epang.
Inueni ishara za bendera na zielekezeni Sayuni, na kimbilieni usalama! Msibaki, kwa kuwa ninaleta majanga kutokea kaskazini na anguko kubwa.
7 Sie su kunausla mutunfacl uh mukuiyak tari, Oana soko lion otyak liki acn in wikwik lal. El tuku in kunausla Judah. Siti lun Judah ac oan musalla, Ac wangin mwet ac muta we.
Simba anakuja kutokea kwenye kichaka chake na yeye atakayeyaharaibu mataifa ameanza kuja. Anaondoka kwenye eneo lake ili aache hofu katika nchi yenu, kuibadili miji yenu kuwa uharibifu, ambapo hakuna hata mmoja atakayeishi. Kwa sababu hii vaeni magunia, lieni na kuomboleza.
8 Ke ma inge nokomang nuknuk yohk eoa, ac tung ac mwemelil Mweyen kasrkusrak upa lun LEUM GOD Tiana forla liki Judah.
Kwa kuwa nguvu ya hasira ya BWANA haijaondoka kwetu.
9 LEUM GOD El fahk, “In len sac, tokosra ac mwet fulat ac fah wanginla pulaik lalos. Mwet tol ac arulana lut, ac mwet palu ac fah oela.”
Ndipo itakapotokea katika siku hiyo - asema BWANA - mioyo ya mfalme na wakuu itakufa. Makuhani watasitaajabu na manabii watashangaa.'”
10 Na nga fahk, “LEUM GOD Fulatlana, kom arulana kiapwela mwet Jerusalem! Kom fahk mu ac fah oasr misla, a cutlass se pa oanna inkwawalos.”
Kwa hiyo nikasema, “Ahaa! BWANA. Kwa hakika umewadanganya watu hawa na Yerusalemu kwa kuwaambia, 'Kutakuwa na amani kwenu.'Wakati upanga unawaangukia dhidi ya maisha yao.”
11 Pacl se ac tuku ke ac fah fwackyang nu sin mwet Jerusalem lah sie eng na fol ac tuku yen mwesis uh nu yorolos. Ac fah tia sie eng srisrik mwe na okla kulun wheat —
Wakati huo itasemwa juu ya mji huu na Yerusalemu kuwa, “Upepo uwakao kutoka katika nyanda za jangwani utachukua njia yake kuelekea kwa binti ya watu wangu. Hautapepetwa wala kuwatakasa.
12 a ac fah sie eng na upa supweyuku sin LEUM GOD. LEUM GOD sifacna pa akkalemye nununku lal nu sin mwet lal.
Upepo ulio na nguvu sana utakaokuja kwa amri yangu, na sasa nitapitisha hukumu dhidi yao.
13 Ngetla liye — mwet lokoalok el tuku oana pukunyeng uh. Chariot in mweun lal oana eng fohru, ac horse natul uh mui liki eagle uh. We nu sesr! Kut ac sikiyukla!
Tazama anavamia kama wingu, na magari yake ni kama dhoruba. Farasi wake wana mbio kuliko tai. Ole wetu kwa kuwa tutaharibiwa!
14 O Jerusalem, ohlla ma koluk liki insiom tuh kom in ku in moul. Kom ac nunku nunak koluk uh nwe ngac?
Itakaseni mioyo yenu kutoka uovu wenu, Yerusalemu, ili kwamba muokolewe. Mawazo yako mabaya yatafikiri juu ya kutenda dhambi mpaka lini?
15 Mwet utuk kas tuku Dan me, ac liki fineol in acn Ephraim, in sulkakinelik pweng koluk.
Kwa kuwa kuna sauti iletayo habari kutoka Dani, na janga lijalo linasikika kutoka vilele vya milima ya Efraimu.
16 Elos tuku in sensenkakin mutunfacl uh, ac in fahk nu sin Jerusalem lah mwet mweun elos tuku liki sie facl loessula. Mwet lokoalok inge fah wowoyak lain siti lun Judah
Yafanyeni mataifa kulifikiria hili: Tazama, na uwatangazie Yerusalemu kuwa wale watekaji wanakuja kutoka katika nchi ya mbali ili kupiga kelel za vita juu ya miji ya Yuda.
17 ac elos fah rauneak Jerusalem oana mwet san elos rauneak ima se, mweyen mwet lal uh orek likkeke lain LEUM GOD. LEUM GOD pa fahk ma inge.
Watakuwa kama walinzi wa shamba liliolimwa dhidi yake pande zote, kwa kuwa amekuwa mpinzani wangu - asema BWANA -
18 Judah, kom sifacna oru ma inge in tuku nu fom. Ouiyen moul lom ac orekma koluk lom pa pwanang keok se inge in fakiskomi sasla insiom.
tabia na matendo yako yamesababisha haya yatokee kwako. Hii itakuwa adhabu yako. Jinsi itakavyokuwa vibaya kwako! itakupiga moyo wako.
19 Nga waiok! Nga tia ku in muteng waiok se inge! Insiuk kihmkimyak ke sangeng! Nga tia ku in misla. Nga lohng mwe ukuk Ac pusren sasa lun mweun.
Moyo wangu! Moyo wangu! Niko katika maumivu ya moyo. Moyo wangu umefadhaika ndani yangu. Siwezi kunyamaza kwa kuwa nasikia sauti za pembe, sauti za vita.
20 Mwe ongoiya uh kalkalwen in sun kut; Facl sac nufon sikiyukla. Lohm nuknuk sesr kunausyukla in kitin pacl na. Mwe lisrlisr uh mihsasa uh.
Anguko baada ya anguko limetangazwa, kwa nchi yote imeharibika mara. Wanaharibu masikani yangu na hema yangu ghafula.
21 Nga ac liye flag lun mweun nwe ngac, Ac lohng pusren mwe ukuk putaka?
Vita hivi vitaendelea mpaka lini? Ni mpaka lini nitasikiliza sauti za pembe?
22 LEUM GOD El fahk, “Mwet luk elos lalfon; Elos tia eteyu. Elos oana tulik lalfon; Wangin etauk lalos. Elos sasla ke oru ma koluk, A tiana etu in oru ma wo.”
Kwa kuwa upumbavu wa watu wangu - hawanijui mimi. Ni watu wajinga wasio na ufahamu. Wanaufahamu wa mambo maovu, tena hawajui kutenda mema.
23 Nga ngetla liye faclu — wangin lumah ac wangin koano. Nga ngetak nu yen engyeng uh — wangin kalem we.
Niliiona nchi, na kuiona! ilikuwa ukiwa na utupu. Kwa kuwa hapakuwa na taa za mbinguni.
24 Nga ngetang nu ke eol uh, tuh na kusrusrsrusr, Ac tohktok uh wacwat.
Nilitazama katka miliima. Tazama, ilikuwa inatetemeka, na vilima vyote vilikuwa vinatikisika.
25 Nga liye lah wangin mwet. Finne won yen engyeng uh — sohkla wanginla.
Nilitazama. Tazama, hapakuwa na mtu, na ndege wote wa angani walikuwa wamekimbia.
26 Acn ma imaiyukla ekla yen mwesis. Siti nukewa kunausyukla Ke sripen kasrkusrak upa lun LEUM GOD. (
Nikaangalia. Tazama, mashamba yalikuwa jangwa na miji imeangushwa mbele za BWANA, mbele ya hasira yake.”
27 LEUM GOD El fahk mu faclu nufon ac fah mwesisla ac wangin ma oan fac, tusruktu El fah tia kunausla nufon.)
Hiki ndicho BWANA asemacho, “Nchi yote itakuwa uharibifu, lakini sitawaharibu wote kabisa.
28 Faclu ac fah mwemelil; Inkusrao fah lohsrla. LEUM GOD El fahk ma inge, Ac El fah tia ekulla nunak lal. El orala tari sulela lal Ac fah tiana ekla liki.
Kwa sababu hii nchi itaomboleza, na mbingu juu zitatiwa giza. Kwa kuwa nimesema haya na kuyakusudia; sitarudi nyuma; Sitaacha kuyatekeleza.
29 Ke kusen kasrusr lun un mwet mweun fin horse ac mwet pisr, Mwet nukewa ac kaingla. Kutu ac kaing nu insak uh, Ac kutu ac fanyak nu inmasrlon eot lulap. Siti nukewa ac pisala, Ac wangin mwet ac sifil muta we.
Kila mji utakimbia kutoka katka kelele za wapandafarasi na wenye pinde; Watakimbilia msituni, Kila mji utapanda hadi mahali pa miamba. Miji itatelekezwa, kwa kuwa hakutakuwa na mtu wa kuishi katika miji hiyo.
30 Jerusalem, kom sikiyukla tari! Mwe mea kom in nukum nuknuk srusra? Mwe mea kom in yunikomla ke mwe naweyuk gold ac sang sroal in akkatoye motom? Kom sifacna oru kom in kato ke wangin! Mwet kawuk lom siskomla Ac kena unikomi!
Sasa umeharibiwa, utafanya nini? Japokuwa unavaa mavazi mekundu, unajipamba na mapambo ya dhahabu, na kuyafanya macho yako yaonekane makubwa na kupakwa wanja, wale wanaume waliokutamani sasa wanakukataa. Badala yake wanajaribu kukuua.
31 Nga lohng sie sao, oana pusren sie mutan akola in isus, Oana pusren tung lun sie mutan oswe tulik se oemeet natul. Pa inge tung lun Jerusalem, ke el suk mongol Ac asroelik paol ac fahk, “Nga ac misa! Elos tuku in uniyuwi!”
Kwa hiyo nasikia sauti ya maumivu, yenye utungu kama ya mwanamke azaaye mtoto wake wa kwanza, sauti ya binti wa Sayuni. Atwetaye kupata pumzi. Ananyosha mikono yake na kusema, 'Ole wangu mimi! ninazimia kwa sababu ya wauaji hawa.'”

< Jeremiah 4 >