< Isaiah 39 >

1 In pacl sac pacna Merodach Baladan, tokosra lun acn Babylonia su wen natul Baladan, el lohng lah Tokosra Hezekiah el mas, na el supwala leta se wi mwe kite se nu sel.
Katika mda ule Merodaki mtoto wa Baladani, mfalme wa Babeli, alituma zawadi na barua kwa Hezekia; maana alisikia Hezekia alikuwa anaumwa na amepona.
2 Hezekiah el paing mwet tutafpo inge nu in lohm sel, ac sang elos in liye lupan mwe kasrup lal inge: silver ac gold lal, mwe akyuye mwe mongo ac ono keng lal, ac kufwen mwe mweun nukewa lal. Wangin kutena ma ke nien filma lal, ku kutena acn in tokosrai lal, su el tia sang elos in liye.
Hezekia alifurahishwa na hivi vitu; alimuonyesha mjumbe nyumba ya ghala la vitu vya thamani- vitu kama fedha, dhahabu, viungo, na mafuta ya thamani, ghala la kuwekea silaha zake, na vitu vyote vilivyopatikana kwenye stoo yake. Hapakuwa na kitu katika nyumba yake, wala ufalme wake wote, Hezekia hakuwaonyesha wao.
3 Tukun ma inge, mwet palu Isaiah el som nu yorol Tokosra Hezekiah ac siyuk, “Mwet inge tuku ya me, ac mea elos fahk nu sum ah?” Hezekiah el topuk, “Elos tuku Babylonia me, sie facl su oan yen loessula.”
Basi Isaya nabii alikuja kwa mfalme Hezekia na kumuuliza, ''Je watu hawa wamekuambia nini? wametoka wapi?, ''Wamekuja kwangu kutoka mbali nchi ya Babeli.''
4 “Mea elos liye inkul sin tokosra?” “Elos liye ma nukewa. Wangin kutena ma in nien filma su nga tia sang elos liye.”
Isaya akamuuliza je ni vitu gani walivyoviona katika nyumba yako? Hezekia akajibu, ''Wameona kila kitu katika nyumba nyangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha.''
5 Na Isaiah el fahk nu sel tokosra, “LEUM GOD Kulana El fahk mu
Basi Isaya akamwambia Hezekia, ''Sikiliza neno la Yahwe wa majeshi:
6 pacl se ac fah tuku ke ma nukewa inkul sum uh, ac ma nukewa ma mwet matu lom elos tuh elosak nwe misenge, ac fah utukla nu Babylonia. Wangin ma ac fah oan.
'Tazama siku inakaribia kuja pale kila kitu katika nyumba yako, vitu ambavyo mababu zako wamevihifadhi mbali mpaka mda huu wa sasa Vitapelekwa Babeli. Hakuna kitakachobakizwa, asema Yahwe.
7 Kutu sin tulik na pwaye ke fwilin tulik nutum ac fah utukla in orekla mwet eunuch tuh elos in kulansap ke inkul sin tokosra lun acn Babylonia.”
Na watoto watazaliwa kutoka kwako, ambao wewe mwenyewe utawazaa- watachukuliwa mbali, na watakuwa matoashi katika jumba la mfalme wa Babeli.''
8 Tokosra Hezekiah el eis mu kalmen ma se inge pa ac fah oasr misla ac wangin lokoalok wacl. Ouinge el fahk, “Wona kas in palu ma kom fahk nu sik sin LEUM GOD inge.”
Basi Hezekia akamwambia Isaya, ''Neno la Yahwe alilolizunumza ni zuri.'' Maana alifikiria, ''Patakuwa na amani na utulivu katika siku zangu.''

< Isaiah 39 >