< Genesis 36 >

1 Pa inge fwilin tulik natul Esau, su oayapa pangpang Edom.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
2 Esau el payuk sin mutan Canaan inge: Adah, acn natul Elon mwet Hit; Oholibamah, acn natul Anah wen natul Zibeon mwet Hiv;
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
3 ac Basemath, acn natul Ishmael ac tamtael lal Nebaioth.
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
4 Adah el oswella Eliphaz. Basemath el oswella Reuel.
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
5 Oholibamah el oswella Jeush, Jalam, ac Korah. Mukul inge nukewa isusyang nu sel Esau in acn Canaan.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
6 Na Esau el us mutan kial, wen natul, acn natul, ac mwet nukewa in lohm sel, wi kosro nukewa natul ac ma lal nukewa ma el eis in acn Canaan, ac som lukel Jacob, tamulel lal, nu ke sie pac acn.
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
7 El som mweyen acn ma el ac Jacob tukeni orekmakin sufalla nu ke enenu laltal. Arulana puseni kosro natultal kewa, pwanang eltal tia ku in tukeni muta.
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
8 Ouinge Esau el som ac muta infulan eol in acn Edom.
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
9 Pa inge fwilin tulik natul Esau, papa tumun mwet Edom.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
10 Inen wen natul Esau pa inge: Eliphaz wen natul Adah, mutan kial Esau. Reuel wen natul Basemath, sie pac mutan kial Esau.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
11 Wen natul Eliphaz pa Teman, Omar, Zepho, Gatam ac Kenaz.
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
12 (Timna el mutan kulansap se kial Eliphaz, wen natul Esau, ac el oswella Amalek nu sel Eliphaz.) Elos inge wen natul Adah, mutan se meet kial Esau.
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
13 Ac wen natul Reuel pa Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah. Elos inge wen natul Basemath, mutan se akluo kial Esau.
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
14 Oholibamah, acn natul Anah wen natul Zibeon, el oswela wen tolu nu sel Esau, inelos pa Jeush, Jalam, ac Korah.
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
15 Pa inge sou lulap ma tuku ke fwilin tulik natul Esau. Eliphaz, wen se omeet natul Esau, pa sifen sou lulap inge: Teman, Omar, Zepho, Kenaz,
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
16 Korah, Gatam, ac Amalek. Elos inge nukewa ma natul Adah, mutan se meet kial Esau.
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
17 Reuel, wen natul Esau, pa sifen sou lulap inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah. Elos inge kewa ma natul Basemath, mutan se akluo kial Esau.
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
18 Sou lulap inge ma tuku kacl Oholibamah, mutan se aktolu kial Esau, su acn natul Anah: Jeush, Jalam, ac Korah.
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
19 Sou lulap inge nukewa tuku ke fwilin tulik natul Esau.
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
20 Pa inge mukul natul Seir mwet Hor, su mwet na pwaye lun acn Edom: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah,
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
21 Dishon, Ezer, ac Dishan. Elos pa sou lulap lun mwet Hor, su wen natul Seir in acn Edom.
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
22 Lotan pa sifen sou lulap lal Hori ac Heman. (Oasr pac tamtael se lal Lotan pangpang Timna.)
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
23 Shobal pa sifen sou lulap lal Alvan, Manahath, Ebal, Shepho, ac Onam.
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
24 Oasr wen luo natul Zibeon, inelos pa Aiah ac Anah. (Pa inge Anah se ma konauk unon in kof fol se in acn mwesis ke pacl se el liyaung donkey natul Zibeon, papa tumal.)
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
25 Oasr mukul se natul Anah, inel pa Dishon, ac mutan se natul pa Oholibamah.
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
26 Ac wen natul Dishon pa Hemdan, Eshban, Ithran, ac Cheran.
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
27 Ezer pa papa tumun sou lulap lun Bilhan, Zaavan, ac Akan.
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
28 Dishan pa papa tumun sou lulap lun Uz ac Aran.
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
29 Pa inge inen sou lulap lun mwet Hor: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah,
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
30 Dishon, Ezer, ac Dishan. Pa inge kais sie sou lulap lun mwet Hor in facl Seir.
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
31 Pa inge tokosra ma leumi acn Edom, meet liki mutawauk in oasr tokosra lun mwet Israel:
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
32 Bela, wen natul Beor, el leum fin acn Edom. Inen siti sel pa Dinhabah.
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
33 Bela el misa, ac Jobab, wen natul Zerah mwet Bozrah, el aolulla in tokosra.
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
34 Jobab el misa, ac Husham, su muta in acn sin mwet Teman, el aolulla in tokosra.
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
35 Husham el misa, ac Hadad wen natul Bedad, su tuh kutangla mwet Midia in acn Moab, el aolulla in tokosra. Inen siti sel pa Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
36 Hadad el misa, ac Samlah, sie mwet Masrekah, el aolulla in tokosra.
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
37 Samlah el misa, ac Shaul mwet Rehoboth, sie siti sisken Infacl Euphrates, el aolulla in tokosra.
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
38 Shaul el misa, ac Baal Hanan, wen natul Achbor, el aolulla in tokosra.
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
39 Baal Hanan wen natul Achbor el misa, ac Hadar el aolulla in tokosra. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial uh pa Mehetabel, acn natul Matred, su acn natul Mezahab.
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
40 Pa inge inen sifen sou lulap lal Esau, ke sou lalos ac inen acn selos: Timna, Alvah, Jetheth,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
41 Oholibamah, Elah, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 Kenaz, Teman, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mbza,
43 Magdiel, ac Iram. Pa inge sou lulap lal Edom. Edom pa Esau, su papa tumun Edom, fal nu ke oakwuk lalos in acn selos.
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.

< Genesis 36 >