< Ezekiel 5 >

1 LEUM GOD El fahk, “Mwet sukawil moul la, eis sie cutlass kosroh ac sang kalla alut lom an ac aunsifom nufon, ac pauniya nufon aunsuf an, ac kitalik nu ke ip tolu.
“Kisha wewe mwana wa adamu, chukua upanga mkali kama wembe wa kinyozi kwa ajili yako mwenyewe, na pitisha hayo makali juu ya kichwa chako na ndevu zako, kisha chukua mizani za kupimia uzito na uzigawanye nywele zako.
2 Esukak sie tafu tolu kac fin block sac ke sruhu tari siti uh. Eis ip se akluo an ac sipsipikya ke cutlass nutum an ke kom fahsr rauni block sac. Na sisalik ip se aktolu nu ke eng uh, ac nga ac fah ukwe ke cutlass nutik uh.
Choma theluthi ya tatu ya hiyo kwa moto katikati ya mji wakati siku za kuzingirwa zitakapokamilika, na chukua theluthi ya nywele na uipige kwa panga na kuuzunguka mji. Kisha tawanya theluthi yake kwenye upepo, na nitasogeza panga karibu ili kufukuza watu.
3 Eis ekasr aunsuf an ac lumwang nu ke pukun nuknuk lom an.
Lakini chukua kiasi kidogo cha nywele na zifunge kwenye pindo za nguo yako.
4 Na eisla kutu sin aunsuf inge, ac sisang nu in e uh in firiryak. Firir kac an ac fahsrelik nu in mutunfacl Israel nufon.”
Kisha chukua tena zile nyewele na zitupe katikati ya moto; na zichome kwenye moto; kutoka hapo utatoka nje kwenda nyumba zote za Israeli.”
5 LEUM GOD Fulatlana El fahk, “Ngetla liye acn Jerusalem. Nga likilya ke infulwen faclu, ac mutunfacl saya nukewa raunella.
Bwana Yahwe asema hivi, “Hii ndio Yerusalemu katikati ya mataifa, nilipomuweka, na ambapo nilipomzunguka kwa nchi zingine.
6 Tusruktu Jerusalem el lain ma sap luk, ac akkalemye lah el koluk liki mutunfacl saya, ac yohk pac seakos lal liki facl ma oan raunella. Jerusalem el fahsr liki ma sap luk, ac srunga oru oakwuk luk.
Lakini anaudhaifu wa kukataa amri zangu zaidi kuliko mataifa yalivyo, na sheria yangu zaidi kuliko mataifa ambayo yanayomzunguka. Watu wamezikataa humuku zangu na kuacha kutembea katika sheria zangu.”
7 Inge, Jerusalem, lohng ma nga, LEUM GOD Fulatlana, ac fahk. Ke sripen kom tia akos ma sap luk ac tiana liyaung oakwuk luk, mwe lokoalok kom orala uh yohk liki na ma mutunfacl raunikomla oru. Kom fahsrna ke ouiya lun facl saya.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, “Kwa sababu mmekuwa kikwazo kuliko mataifa ambayo yanayowazunguka na kuacha kutembea kwenye amri zangu wala kutenda kulingana na amri zangu, wala hata kutenda kulingana na amri za mataifa yanayowazunguka,”
8 Ouinge nga, LEUM GOD Fulatlana, fahk nu sum lah nga ac tuyak lain kom. Nga fah nununkekom ke acn ma mutunfacl nukewa ku in liye.
kwa hiyo Bwana asema hivi, “Tazama! Mimi mwenyewe nitatenda juu yenu. Nitato hukumu kati yenu ili mataifa waone.
9 Ke sripen ma nukewa kom oru su mwe srungayuk ye mutuk, nga fah kai Jerusalem upa liki na ma nga oru meet, ac upa liki pac ma nga ac oru tok.
Nitawafanyia yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena, kwa sababu ya matendo yenu ya kuchukiza.
10 Ke sripa inge, nina ac papa in Jerusalem fah kangla tulik natulos, ac tulik uh ac kangla papa ac nina kialos. Nga fah kalyei kom, ac lusla kutena mwet su srakna moul nu yen nukewa.
Kwa hiyo baba watawala watoto kati yenu, na watoto watawala baba zao, kwa kuwa nitafanya hukumu juu yenu na kuwatawanya kila mahali wote ninyi mliobaki.
11 “Ke ma inge, oana ke nga pa God moul — pa inge kas lun LEUM GOD Fulatlana — mweyen kom akfohkfokyela Tempul sik uh ke ouiya koluk nukewa ac mwe srungayuk kom orala uh, nga ac fah kunauskomla ac tiana pakomutom.
Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hii ilikuwa kwa sababu umapanajisi patakatifu pangu kwa mambo ya machukizo yako yote na kwa matendo yako yote niyachukiayo, kwamba mimi mwenyewe nitakupunguza katika hesabu; jicho langu halitakuhurumia, na sintoacha kukuharibu.
12 Sie tafu tolu sin mwet lom an ac fah misa ke mas ac masrinsral in siti uh. Ac sie tafu tolu ac fah anwuki ke cutlass likin siti uh. Nga fah lusla sie tafu tolu se lula nu ke eng uh, ac ukwalos ke cutlass.
Theluthi yenu mtakufa kwa tauni, na wataliwa na njaa katikati yenu. Theluthi wataanguka kwa upanga likiwazunguka. Kisha nitawatawanya theluthi katika mahali pote, na nitafuatisha upanga kuwafukuza pia.
13 “Kom ac pulakin kuiyen kasrkusrak luk uh nwe ke pacl se nga muti in oru. Ke pacl ma inge nukewa sikyak, kom fah etu na pwaye lah nga LEUM GOD pa kaskas nu sum uh, ke sripen nga arulana kasrkusrak ke soaru lom.
Hivi ndivyo ghadhabu yangu itavyokamilika, na nitasababisha ghadhabu yangu juu yao hata kulala. Nitajiridhisha, na watajua kwamba, mimi Yahwe, nimenena kwa ghadhabu yangu wakati nitakapo kamilisha ghadhabu yangu dhidi yao.
14 Mwet nukewa ke mutunfacl raunikomla uh su fahsr alikikomla, ac fah israsrinkusra ac tia lungse apkuran nu yurum.
Nitakufanya mkiwa kwa mataifa yanayokuzunguka kwenye uso wa kila mtu apitaye karibu.
15 “Ke pacl nga kasrkusrak ac foloyak sum ac kalyei kom, mutunfacl nukewa raunikomla ac fah arulana sangeng. Elos ac liye kom ac niwurwur sum, ac aksruksrukye kom.
Hivyo Yerusalemu itakuwa jambo kwa watu wengine kushutumu na kufanya mzaha, na chukizo kwa mataifa ambayo yanayowazunguka. Nitafanya hukumu dhidi yenu kwa ghadhabu na hasira, na kwa kukemea kwa hasira-Mimi, Yahwe nimesema hivi!
16 Nga fah tulokinya inkanek in mwe mongo nowos, ac oru tuh kowos in misa ke masrinsral. Kowos ac keokkin masrinsral lowos, oana ke osra in pisr kosroh ac fakisya insiowos ac kunauskowosla.
Nitatuma mishale mikali ya njaa juu yenu ambayo itakuwa na maana ya kwamba nitawaharibu. Kwa kuwa nitaongeza njaa juu yenu na kuvunja tegemeo lenu la mkate.
17 Nga ac supwama masrinsral ac kosro lemnak in uniya tulik nutuwos, ac nga fah supwama mas, mwe lokoalok yohk, ac mweun in unikowosla. Nga, LEUM GOD, pa fahk ma inge.”
Nitaleta njaa na majanga dhidi yenu hivyo mtakuwa wagumba. Tauni na damu zitapita kati yako, na nitaleta upanga dhidi yenu-Mimi Yahwe, nimesema hivi.”

< Ezekiel 5 >