< Daniel 8 >

1 In yac aktolu ke pacl Belshazzar el tokosra, nga tuh liye aruruma se akluo.
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Belshaza, mimi Danieli niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata).
2 In aruruma se inge, nga liye mu nga oasr in siti potyak lun Susa in acn Elam. Nga tu sisken Infacl Ulai,
Nilipokuwa nikiangalia katika ndoto, niliona kwamba nilikuwa katika mji wa Shushani wenye ngome katika jimbo la Elamu. Niliona katika ndoto kuwa nilikuwa karibu na mfereji wa Ulai.
3 ac nga liye soko sheep mukul sisken infacl ah, su oasr koac na loeloes lukwa kac. Koac soko ma sikyak tok tuh loes liki ma soko ma sikyak meet.
Nilitazama juu na nikaona mbele yangu kondoo dume lenye mapembe mawili, limesimama pembeni mwa mfereji. Pembe moja lilikuwa refu kuliko jingine, lakini pembe ndefu ilikuwa inakua pole pole kuliko ile fupi na pembe fupi ilirefuka na kuizidi nyingine.
4 Ac nga liye sheep mukul soko ah sang koacl sinukin acn roto, epang, ac eir. Wangin kosro ku in tulokinilya, ku kaingkunla kuiyal. El oru na oana lungse lal, ac arulana orek funmwet.
Niliona kondoo mme akiishambulia magharibi, kisha kaskazini, na baadaye kusini; hakuna mnyama mwingine aliyeweza kusimama mbele yake. Hakuna yeyote aliyeweza kumwokoa yeyote katika mkono wake. Alifanya chochote kile alichokitaka, na alikuwa mtu mkubwa sana.
5 Ke nga srike in suk kalmen ma se inge, na nani soko sasma tuku liki acn roto, upala mui lal ah oru nial tiana pusral acn uh. Oasr koac soko tume inmasrlon atronmutal ma arulana kalem.
Na nilipokuwa natafakari juu ya haya, niliona beberu akitoka magharibi, na kuvuka katika uso wa dunia yote, akikimbia kwa kasi kana kwamba hakuonekana kama aligusa ardhini. Mbuzi huyo alikuwa na pembe kubwa katikati ya macho yake.
6 Nani soko ah yume nwe yurin sheep mukul soko ma nga liye tu sisken infacl ah, ac atuyang nu sel ke kuiyal nufon.
Alienda mpaka kwa kondoo aliyekuwa na pembe mbili, nilikuwa nimemwona kondoo dume amesimama katika ukingo wa mfereji na mbuzi alikimbia kumwelekea kondoo dume kwa hasira kali.
7 Nga liye na ke el uni sheep mukul soko ah. Upala kasrkusrak lal, oru el atuyang nu kacl twe koteya koac lukwa ah. Wangin ku lun sheep mukul soko ah in lainul. Toloki el nu infohk uh ac futfutungyuki el, ac wangin sie su ku in molella.
Niliiona mbuzi ikija karibu na kondoo. Mbuzi alikuwa na hasira na kondoo, alimpiga kondoo na alizivunja pembe zake mbili. Kondoo hakuwa na nguvu za kusimama mbele zake. Mbuzi alimgonga kondoo akaanguka chini na akamkanyaga. Hapakuwa na yeyote wa kumwokoa kutoka katika nguvu zake.
8 Nani soko ah yokyokelik na funmwet lal, tusruktu in pacl se na ma yokelik ku lal uh, na kaptelik koac soko kacl ah, na koac akosr sifilpa kapak aolla, ac kais soko koac inge foralik nu epang, eir, kutulap ac roto.
Ndipo mbuzi alikua akawa mkubwa, lakini alipokuwa na nguvu, pembe kubwa ilivunjwa, na katika sehemu yake zilichipuka na kukua pembe nne kubwa zilizochomoza kuelekea pepo nne za mbingu.
9 Ac soko koac srisrik srunak liki soko sin koac akosr inge, su kuiyal fahsrelik nwe sun acn eir ac kutulap, ac sun pac Fulan Wuleang.
Kutoka katika pembe moja ilichipuka pembe nyingine, ilikuwa ndogo hapo awali, lakini baadaye ilikuwa pembe kubwa upande wa kusini, na mashariki, na katika nchi ya uzuri.
10 Kuiyal yokyokelik nwe ke na el ku pac in mweun lain un mwet mweun lun kusrao, ac mweuni pac itu uh ac sisla kutu selos nu fin fohk uh, ac longolosi.
Pembe ilikuwa kubwa na matokeo yake iliinua vita dhidi ya jeshi la mbinguni. Baadhi ya jeshi na nyota kadhaa zilitupwa chini duniani, na zilikanyagwa.
11 Na koac srisrik soko ah oru nwe ke na el lain pac Fisrak lun un mwet mweun lun kusrao, ac tulokinya kisa ma orek nu sel ke len nukewa, ac aktaekyala Tempul uh.
Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama kamanda wa jeshi la kimungu. Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye, na sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi.
12 Mwet uh orekma koluk in Tempul, ac tila oru mwe kisa ma fal in orek we ke len nukewa uh, ac alu pwaye uh sisila. Koac srisrik soko ah orala nukewa ma el ke oru uh.
Kwasababu ya uasi, pembe ya mbuzi ilipewa jeshi, na sadaka za kuteketezwa zitasitishwa. Pembe itautupa ukweli chini ardhini, na itafanikiwa katika kila jambo ilifanyalo.
13 Na nga lohng sie lipufan uh siyuk sin sie pac, “Ma liyeyuk in aruruma se inge ac orek nwe ngac? Ma koluk lulap inge ac eisla acn sin orek kisa uh nwe ngac? Ac lolongyuki un mwet mweun lun kusrao ac Tempul uh nwe ngac?”
Kisha nilimsikia mtakatifu mmoja akiongea na mtakatifu mwingine akamjibu, “Mambo haya yatadumu kwa muda gani, maono haya ya sadaka ya kuteketezwa, dhambi ile iletayo uharibifu, ukabidhiajia wa sehemu takatifu, na jeshi la mbinguni kukanyagwa?
14 Ac nga lohng lipufan se ngia topuk ac fahk, “Ac orek ouinge ke len sie tausin siofok lumngaul, su orala pacl in kisa luo tausin tolfoko ke eku ac lotu, ma wangin kisa ac orek. Toko, na Tempul uh ac fah sifil akmutalyeyuk.”
Aliniambia, “Itadumu kwa jioni na asubuhi zipatazo 2, 300. Baada ya hapo, mahali patakatifu patawekwa sawa.”
15 Nga srike in suk kalmen aruruma se inge, na in kitin pacl ah na sie ma su oana luman mwet se tume nu sik.
Wakati mimi Danieli, nilipoona maono, nilijaribu kuyaelewa. na hapo mbele yangu alisimama yule aliyeoneakana kama mtu.
16 Nga lohng sie pusra pangme liki Infacl Ulai ac fahk, “Gabriel, fahkak nu sel kalmen aruruma se el liye an.”
Niliisikia sauti ya mtu ikiita katikati ya kingo za mfereji wa Ulai. Alisema, “Gabrieli, msaidie mtu huyu kuelewa maono.”
17 Na Gabriel el kaluku ac tu siskuk, na nga arulana sangengla ac putati nu infohk uh. El fahk nu sik, “Mwet sukawil, ne mwet se na pa kom, a nga ke in kalem sum kalmen aruruma uh. Aruruma sac fahkak ke saflaiyen faclu.”
Basi alikuja karibu na mahali niliposimama. Na alipokuja, niliogopa na nilisujudia hadi chini. Aliniambia,”Fahamu, mwana wa mtu, kwamba maono ni kwa ajili ya wakati wa mwisho.”
18 Ke el kaskas ah, nga putati nu infohk uh ac nikinyula. Tusruk el sruokyuwi, ac tulokinyuyak,
Alipokuwa anaongea na mimi, nilipata usiingizi mzito nikiwa nimelala kifudifudi. Kisha alinishika na kunisimamisha.
19 ac fahk, “Nga akkalemye nu sum ma ac sikyak ke sripen kasrkusrak lun God. Aruruma sac fahkak ke ma ac sikyak ke safla lun ma nukewa.
Akaniambia, “Tazama, nitakuonyesha kile kitachotokea baadaye katika kipindi cha ghadhabu, kwasababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho uliopangwa.
20 “Sheep mukul soko kom liye ma koac lukwa oan kac ah, pa tokosrai lun Media ac Persia.
Na kuhusu kondoo mme uliyemwona, yule mwenye pembe mbili - ni wafalme wawili wa Umedi na Uajemi.
21 Nani soko ah pa tokosrai lun Greece, ac koac soko ma kom tuh liye tume inmasrlon atronmutal ah pa tokosra se emeet uh.
Mbuzi dume ni mfalme wa Ugiriki. Pembe kubwa katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.
22 Koac akosr ma kom tuh liye sikyak tukun koac soko meet ah kaptalik ah, kalmac pa ac fah kitakatelik mutunfacl lulap sac nu ke tokosrai akosr, su ac fah tia ku oana kuiyen tokosrai se meet ah.
Na kuhusu pembe iliyovunjika, ambayo katika nafasi yake pembe zingine nne zilichipuka - hizi ni falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake, lakini hazitakuwa na nguvu kubwa.
23 “Ke ac apkuran in safla pacl lun tokosrai akosr inge, ac koluk lalos uh arulana yokelik pwanang ac enenu in akkeokyeyuk elos, na ac fah oasr sie pac tokosra sikyak su ac arulana likkeke, kutasrik, ac akmas.
Katika siku zijazo za falme hizo, wakati ambapo wahalifu watakuwa wamefikia kikomo chao, mfalme mwenye uso katili, na yeye mwenye akili sana, atainuka.
24 Ku lal ac fah yokyokelik — tusruktu tia ke ku lal sifacna. Yohk ma el ac fah kunausla, ac ma nukewa el oru ac fah wo ouiyal kac. El ac fah pwanang mwet na yohk ku la in kunausyukla, ac mwet lun God uh ac musalla pac.
Nguvu zake zitakuwa kubwa, lakini si kwa nguvu zake mwenyewe. Atakuwa wa kustaajabisha kwa kile atakachokuwa anakiharibu; atafanya na kufanikiwa. Atawaangamiza watu wenye nguvu, watu miongoni wa watakatifu.
25 Ke sripen kutasrik ac orek fwacfa lal uh, el ac fah eis pac wo ouiya ke inkanek kikiap lal. El ac fah sifacna yukunul ke ma el oru, ac kunausla mwet puspis ke inkanek lukma lal. El ac lain pac Tokosra se ma fulat liki nukewa, tusruktu ac kunausyukla el, tuh tia ke ku lun mwet uh.
Ataufanya udanganyifu usitawi chini ya mkono wake kwasababu ya ujanja wake. Atawaangamiza watu wengi bila kutegemea. Atainuka pia hata kinyume cha Mfalme wa wafalme, na atavunjwa, lakini si kwa mkono wowote wa binadamu.
26 Aruruma se kom tuh liye ke pacl in kisa in eku ac lotu ma aketeyuki nu sum ah, ac fah pwayena. Tusrktu mansis kom in tia srumun in pacl inge, mweyen ac fah akpwayeiyuk ke pacl na loes fahsru uh.”
Maono kuhusu jioni na asubuhi ulizoambiwa ni ya kweli. Lakini uyafunge maono haya, kwa kuwa yanahusu siku nyingi za wakati ujao.
27 Nga arulana toasrla ac mas ke len na pus. Na nga fah tukakek ac folokla nu ke orekma ma tokosra el pakiya nu sik, tusruktu nga fohs na ke aruruma sac, ac tia ku in etu kalmac.
Ndipo mimi, Danieli nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa. Kisha nikainuka na nikaenda kufanya kazi za mfalme. Lakini nilikuwa nimetishwa sana na maono, na hapakuwa na mtu yeyote aliyeweza kuyaelewa.

< Daniel 8 >