< Luo Samuel 6 >

1 David el sifilpa orani mwet mweun ma wo emeet in Israel, ac pisalos oasr ke mwet tolngoul tausin.
Basi kwa mara nyingine Daudi akawakusanya wateuli wa Israeli, elfu thelathini.
2 El kololos nu Baalah in acn Judah, tuh elos in use Tuptup in Wuleang lun God liki acn we, su Inen LEUM GOD Kulana oan kac, ac nien muta fulat lal oan fin cherub lukwa ma oan fac.
Daudi akainuka na akaenda na watu wake wote waliokuwa pamoja naye kutoka Baala ulioko Yuda ili alilete sanduku la Mungu, liitwalo kwa jina la Yahwe wa majeshi, akaaye juu ya makerubi.
3 Elos use liki lohm sel Abinadab fin tohktok ah, ac filiya fin sie mwe wiwa sasu. Uzzah ac Ahio, wen natul Abinadab, pa us mwe wiwa soko ah,
Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya mkokoteni mpya. Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. Uza na Ahio, wanawe, wakauongoza mkokoteni.
4 ac Ahio el fahsr meet.
Wakautoa mkokoteni na sanduku la Mungu juu yake nyumbani mwa Abinadabu juu ya kilima. Ahio alikuwa ametangulia mbele ya sanduku.
5 David ac mwet Israel nukewa fahsr tacn ac on ke kuiyalos nufon in akfulatye LEUM GOD. Elos srital ke harp, lyre, drum, rattle, ac cymbal.
Kisha Daudi na nyumba yote ya Israeli wakaanza kucheza mbele ya Yahwe, wakishangilia kwa vyombo vya mziki, vinubi, vinanda, matari, kayamba na matowazi.
6 Ke elos tuku sun acn in kulkul wheat lal Nacon, cow uh tukulkulyak, na Uzzah el saplakyang sruokya Tuptup in Wuleang.
Hata walipofika katika shinikizo la Nasoni, wale ng'ombe wakakwama, Uza akanyosha mkono wake na kulikumbatia sanduku la Mungu, naye akalishikilia.
7 In pacl sacna, LEUM GOD El mulat sel Uzzah ac unilya ke sripen el kahlya Tuptup in Wuleang sac, na Uzzah el misa sisken na Tuptup in Wuleang.
Kisha asira ya Yahweh ikawaka dhidi ya Uza. Mungu akampiga kwa ajili ya dhambi yake. Uza akafa pale pale kando ya sandaku la Mungu.
8 Ouinge acn sac pangpang Perez Uzzah in pacl sac me. David el arulana toasr lah LEUM GOD El sang kaiyuk nu sel Uzzah ke kasrkusrak.
Daudi akakasirika kwa kuwa Yahwe alimpiga Uza, naye akapaita mahali pale Peresi Uza. Eneo hilo linaitwa Peres Uza hata leo.
9 Na David el sangeng sin LEUM GOD ac fahk, “Inge nga ac usla fuka Tuptup in Wuleang tuh in wiyu?”
Daudi akamwogopa Yahweh siku hiyo. Akasema, “Sanduku la Yahwe lawezaje kuja kwangu?”
10 Ouinge el wotela elan tia us welul nu Jerusalem, a el kuhfla liki inkanek ah, usla nu lohm sel Obed Edom, sie mwet in siti lun Gath.
Hivyo Daudi hakuwatayari tena kulichukua sanduku la Yahwe katika mji wa Daudi. Badala yake, akaliweka kando katika nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
11 Tuptup sac oanna we ke malem tolu, ac LEUM GOD El akinsewowoyal Obed Edom ac sou lal.
Sanduku la Yahwe likakaa katika nyumba ya Obedi Edomu Mgiti kwa miezi mitatu. Kwa hiyo Yahwe akambariki yeye na nyumba yake yote.
12 Tokosra David el lohng lah LEUM GOD El akinsewowoye sou lal Obed Edom ac ma lal nukewa ke sripen Tuptup in Wuleang sac. Ouinge David el eis Tuptup in Wuleang sac liki lohm sel Obed, tuh elan usla nu Jerusalem ke engan ac akfulat lulap.
Kisha mfalme Daudi akaambiwa, “Yahwe ameibariki nyumba ya Obedi Edomu na kila kitu alichonacho kwa sababu ya sanduku la Mungu.” Hivyo Daudi akaenda na kulipandisha sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Obedi Edomu hadi mji wa Daudi kwa furaha.
13 Ke mwet us Tuptup in Wuleang elos tufahna fahsryak fahluk onkosr, David el sap elos in tui, ac el oru sie mwe kisa nu sin LEUM GOD ke cow mukul soko ac cow fusr fact soko.
Ikawa waliolibeba sanduku la Yahwe walipochukua hatua sita, akatoa sadaka ng'ombe na ndama aliyenona.
14 El laflafyang ke ipin nuknuk linen se ac tacn ke kuiyal nufon in akfulatye LEUM GOD.
Daudi akacheza mbele ya Yahwe kwa nguvu zake zote; alikuwa amevaa naivera ya kitani pekee.
15 Ouinge David ac mwet Israel nukewa elos sasa ke engan ac uk mwe ukuk ke elos us Tuptup in Wuleang ac fahsryak nu Jerusalem.
Hivyo Daudi na nyumba yote ya Israeli wakalipandisha sanduku la Yahwe kwa vifijo na sauti za tarumbeta.
16 Ke Tuptup sac utuku nu in siti ah, Michal, acn natul Saul, el ngetla liki winto ah, ac liye ke Tokosra David el tacn ac srosro in akfulatye LEUM GOD, na Michal el arulana toasrla sel.
Hata ikawa sanduku la Yahwe lilipofika mjini mwa Daudi, Mikali, binti Sauli, alichungulia dirishani. Akamwona mfalme Daudi akiruka na kucheza mbele ya Yahwe. Akamdharau moyoni mwake.
17 Elos us Tuptup sac ac likiya in Lohm Nuknuk se David el tuh akoela nu kac. Na David el orek kisa ac mwe kisa in akinsewowo nu sin LEUM GOD.
Wakaliingiza sanduku la Yahwe na kuliweka mahali pake, katikati ya hema ambayo Daudi alikuwa ameliwekea. Kisha Daudi akatoa sadaka ya kuteketezwa na matoleo ya amani mbele za Yahwe.
18 Ke el orek kisa tari, el akinsewowoye mwet uh Inen LEUM GOD Kulana,
Ikawa Daudi alipomaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, akawabariki watu kwa jina la Yahwe wa majeshi.
19 ac el kitalik mwe mongo nu selos nukewa. El sang nu sin kais sie mukul ac mutan in Israel kais soko lof in bread, kais sie ipin ikwa manman, ac kutu raisin. Na mwet nukewa folokla nu yen selos.
Kisha akawagawia watu wote, umati wote wa Israeli, wanaume kwa wanawake, kipande cha mkate, nyama na keki ya zabibu. Kisha watu wote wakaondoka; kila mmoja akarudi kwake.
20 Tukun ma inge, ke Tokosra David el som nu yen sel in paing sou lal ah, Michal el illa in osun nu sel ac fahk, “Seyal kutu, tokosra lun Israel el arulana yukunul sifacna misenge! El sifacna ikasulla oana sie mwet lalfon ye mutun tulik mutan kulansap lun mwet pwapa lal!”
Kisha Daudi akarudi ili aibariki familia yake. Mikali, binti Sauli, akatoka ili akutane na Daudi naye akasema, “Jinsi gani mtukufu mfalme wa Israeli alivyokuwa leo, aliyejiacha uchi mbele ya macho ya vijakazi miongoni mwa watumishi wake, kama mmoja wa wapumbavu ambaye bila aibu hujifunua yeye mwenyewe!”
21 David el topuk, “Nga tacn in akfulatye LEUM GOD, su suleyula, ac tia papa tomom ku sou lal, tuh nga in mwet kol nu sin mwet lal, mwet Israel. Ac nga ac sifil pacna tacn in akfulatye LEUM GOD,
Daudi akamjibu Mikali, “Nilifanya hivyo mbele ya Yahwe, aliyenichagua juu ya baba yako na juu ya familia yake yote, aliyeniweka kuwa kiongozi juu ya watu wa Yahwe, juu ya Israeli. Mbele ya Yahwe nitafurahi!
22 ac nga fah akpusiselye lumuk yohk liki inge. Sahp kom nunku mu nga lusrongten, a tulik mutan ingo elos ac arulana akfulatyeyu!”
Nitakuwa nisiye na heshima hata zaidi ya hapa, na nitajishusha mbele za macho yangu mwenyewe. Lakini kwa hawa vijakazi uliowasema, nitaheshimiwa.”
23 Na wanginna tulik Michal, acn natul Saul, el oswela nwe ke na el misa.
Hivyo Mikali, binti Sauli, hakuwa na watato hata alipokufa.

< Luo Samuel 6 >