< Luo Samuel 3 >

1 Arulana paht mweun se inmasrlon mwet mweun kasreyen sou lal Saul ac mwet mweun kasreyal David. In pacl se inge ku lal David yokyokelik, a ku lun mwet lainul sriksrikeni.
Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vilidumu kwa muda mrefu. Daudi akaendelea kuwa imara zaidi na zaidi, wakati nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika zaidi na zaidi.
2 Wen onkosr natul David inge takla ke matwalos, elos isusla in acn Hebron: Amnon — nina kial pa Ahinoam, mutan Jezreel;
Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;
3 Chileab — nina kial pa Abigail, mutan Carmel katinmas kial Nabal; Absalom — nina kial pa Maacah, acn natul Talmai, tokosra lun Geshur;
mzaliwa wake wa pili alikuwa Danieli mwana wa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli; wa tatu, Absalomu mwana wa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;
4 Adonijah — nina kial pa Haggith; Shephatiah — nina kial pa Abital;
wa nne, Adoniya mwana wa Hagithi; wa tano, Shefatia mwana wa Abitali;
5 Ithream — nina kial pa Eglah. Wen natul inge kewa isusla in acn Hebron.
wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi. Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.
6 Ke mweun uh srakna orek inmasrlon mwet mweun lal David ac mwet mweun kasreyen sou lal Saul, Abner el kui na kui inmasrlon mwet mweun lal Saul.
Wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi, Abneri alikuwa anajiimarisha katika nafasi yake kwenye nyumba ya Sauli.
7 Sie len ah, Ishbosheth wen natul Saul, el akkolukyal Abner fahk mu el motul yorol Rizpah, mutan kulansap kial Saul, su acn natul Aiah.
Basi Sauli alikuwa amekuwa na suria, jina lake Rispa binti wa Aiya. Naye Ish-Boshethi akamwambia Abneri, “Kwa nini umekutana kimwili na suria wa baba yangu?”
8 Ma se inge oru Abner el kasrkusrak ac fahk, “Ku kom nunku mu nga ku in oru koluk nu sel Saul? Mea pwaye lah kom pangon mu nga kulansupu mwet Judah? Oemeet me nga nuna pwayena nu sel Saul, papa tomom, oayapa mwet wial ac kawuk lal, ac nga pa pwanang kom tia kutangyukla sel David. A misenge kom akkolukyeyu ke sripen mutan se?
Abneri akakasirika sana kwa sababu ya kile Ish-Boshethi alichosema, naye akamjibu, “Je, mimi ni kichwa cha mbwa, kwa upande wa Yuda? Siku hii ya leo mimi ni mtiifu kwa nyumba ya baba yako Sauli, kwa jamaa yake na rafiki zake. Sijakukabidhi kwa Daudi, lakini bado unanilaumu kwa kosa la kuhusika na huyu mwanamke!
9 Lela God Elan sringilyuwi ngan misa, nga fin tia akpwayeye ma nga fahk inge: nga fah oru oana wulela lun LEUM GOD nu sel David,
Mungu na amshughulikie Abneri, tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile Bwana alichomwahidi kwa kiapo,
10 in eisla tokosrai lukel Saul ac fita lal, ac sang nu sel David tuh elan tokosra fin acn Israel ac Judah, mutawauk e Dan nu epang fahla nwe Beersheba nu eir!”
na kuuhamisha ufalme kutoka kwenye nyumba ya Sauli na kuimarisha kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba.”
11 Ishbosheth el arulana sangeng sel Abner, oru el tia ku in fahkla sie kas.
Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.
12 Abner el supwala mwet utuk kas nu yorol David, su muta Hebron in pacl sac, tuh elos in siyuk, “Su ac leumi facl se inge uh? Kom fin orala sie wulela nu sik, na nga ac fah kasrekom eisla acn Israel nufon lom.”
Ndipo Abneri akatuma wajumbe kwa niaba yake kwa Daudi, kumwambia, “Nchi hii ni ya nani? Fanya mapatano na mimi, nami nitakusaidia kuiweka Israeli yote juu yako.”
13 David el fahk, “Wona. Nga ac orala sie wulela nu sum kom fin orala ma se inge: usalu Michal, acn natul Saul, ke kom ac tuku.”
Daudi akasema, “Vyema, nitafanya mapatano nawe. Lakini nahitaji jambo moja kwako: Usije mbele yangu mpaka umemleta Mikali binti Sauli wakati utakapokuja kuniona.”
14 Ac David el oayapa supwala mwet utuk kas nu yorol Ishbosheth ac fahk, “Folokunulma Michal, mutan kiuk. Nga molella tari ke siofok kulun ma mukul lun mwet Philistia, tuh elan mutan kiuk.”
Kisha Daudi akapeleka wajumbe kwa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, kudai, “Nipe Mikali mke wangu, ambaye nilimposa mwenyewe kwa mahari ya magovi 100 ya Wafilisti.”
15 Na Ishbosheth el sap utuku mutan sac lukel Paltiel, mukul tumal, wen natul Laish.
Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.
16 Paltiel el fahsr na tung tokol nwe ke siti srisrik Bahurim. Tusruktu ke Abner el sap elan folokla, na Paltiel el folokla.
Hata hivyo, mumewe alikwenda pamoja naye, akilia nyuma ya mkewe njia yote hadi Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia Paltieli, “Rudi nyumbani!” Kwa hiyo akarudi.
17 Abner el som nu yurin mwet kol lun Israel ac fahk nu selos, “Kowos tuh kena David elan tokosra lowos ke pacl na loes.
Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.
18 Inge pacl wo lowos. Esam lah LEUM GOD El tuh fahk, ‘Nga ac orekmakunul David, mwet kulansap luk, tuh elan molela mwet luk Israel liki mwet Philistia ac liki mwet lokoalok lalos saya nukewa.’”
Sasa fanyeni hivyo! Kwa maana Bwana alimwahidi Daudi akisema, ‘Kwa kupitia Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka mikononi mwa Wafilisti na kutoka mikononi mwa adui zako wote.’”
19 Abner el kaskas pac nu sin mwet in sruf lal Benjamin, na el som nu Hebron in fahkang nu sel David ma mwet in sruf lal Benjamin ac mwet Israel insesela in oru.
Pia Abneri mwenyewe akazungumza na kabila la Benyamini. Kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi kila kitu ambacho Israeli na nyumba yote ya Benyamini walichotaka kufanya.
20 Ke Abner el tuku nu yorol David in acn Hebron wi mwet longoul, David el orala kufwa se nu selos.
Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake.
21 Abner el fahk nu sel David, “Leuwa, inge nga ac som ac eisani mwet Israel nukewa in mwet lom. Elos ac fah eis kom in tokosra lalos, na kom ac fah leum fin mutunfacl sac nufon, fal nu ke lungse lom.” David el wulela na ku nu sel Abner lah el ac muta in misla, na el supwalla inkanek lal.
Ndipo Abneri akamwambia Daudi, “Niache niende mara moja nikakusanye Israeli yote kwa ajili ya mfalme bwana wangu, ili waweze kufanya mapatano na wewe, ili kwamba uweze kutawala juu ya yote yale ambayo moyo wako unaonea shauku.” Basi Daudi akamuaga Abneri, naye akaenda kwa amani.
22 Tok, Joab ac mwet pwapa saya lal David elos folokla liki mweun, ac elos us ma wap pukanten welulos. Tusruktu Abner el tila muta Hebron yorol David, mweyen David el supwalla wi sie wulela ke misla.
Wakati huo huo, watu wa Daudi na Yoabu walirudi kutoka kwenye kushambulia, nao wakarudi na nyara nyingi mno. Lakini Abneri hakuwa tena pamoja na Daudi huko Hebroni, kwa sababu Daudi alikuwa amemruhusu aende zake, naye akaenda kwa amani.
23 Ke Joab ac mwet lal ah sun acn we, fwackyang nu sel lah Abner el tuku nu yorol Tokosra David, ac supweyukla el tari, wi wulela ke misla.
Yoabu na askari wote aliokuwa nao walipowasili, aliambiwa kwamba Abneri mwana wa Neri alikuwa amekuja kwa mfalme na kwamba mfalme alikuwa amemruhusu aende zake, na kwamba alikwisha ondoka kwa amani.
24 Ouinge Joab el som nu yurin tokosra ac siyuk sel, “Mea se kom orala uh? Abner el tuku nu yurum, ac efu ku kom fuhlella elan som?
Basi Yoabu alikwenda kwa mfalme na kumwambia, “Ni nini hiki ulichofanya? Tazama, Abneri alikuja kwako. Kwa nini ukamwacha aende? Sasa amekwenda!
25 Nga lulalfongi lah kom etu na lah el tuku in na kiapwekom, ac in etu ke ma nukewa kom oru uh ac yen nukewa kom fahsr nu we!”
Wajua Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kuchunguza nyendo zako na kupata kila kitu unachokifanya.”
26 Tukun Joab el som lukel David, el supwala mwet in tuh usalu Abner, ac elos folokunulma liki luf in Kof Sirah. Tusruktu David el tia etu kac.
Ndipo Yoabu akamwacha Daudi na kutuma wajumbe wamfuate Abneri, nao wakamrudisha kutoka kisima cha Sira. Lakini Daudi hakufahamu jambo hili.
27 Ke Abner el sun acn Hebron, Joab el kololla nu sisken mutunpot lun siti sac oana elan ke sramsram lukma nu sel. Na Joab el fakisya insial Abner. Ouinge akmuseyuki Abner mweyen el tuh unilya Asahel, tamulel lal Joab.
Basi Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando ndani ya lango, kama vile kuzungumza naye faraghani. Ili kulipiza kisasi damu ya nduguye Asaheli, Yoabu akamchoma mkuki tumboni palepale, naye akafa.
28 Ke David el lohngak pweng sac, el fahk, “LEUM GOD El etu lah wangin mwetik ac mwet luk ke misa lal Abner.
Baadaye, Daudi aliposikia kuhusu jambo hili, akasema, “Mimi na ufalme wangu kamwe hatuna hatia mbele za Bwana kuhusu damu ya Abneri mwana wa Neri.
29 Lela tuh folokinyen ma koluk se inge in oan facl Joab ac sou lal nufon. Lela in oasr mukul se in fwil nukewa in sou lal weak mas koluk, ku musen leper, ku elahn mutan, ku misa ke mweun, ku sufal mongo nal.”
Damu yake na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake! Kamwe asikosekane yeyote katika nyumba ya Yoabu mwenye kidonda chenye usaha, au ukoma au mwenye kuegemea fimbo au aangukaye kwa upanga au kupungukiwa na chakula.”
30 Ouinge Joab ac Abishai tamulel lal, eltal foloksak ac unilya Abner ke sripen el tuh unilya Asahel tamulel se laltal, ke mweun in acn Gibeon.
(Yoabu na Abishai ndugu yake walimuua Abneri kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao katika vita huko Gibeoni.)
31 Na David el sap Joab ac mwet lal ah in salik nuknuk lalos, ac nokomang nuknuk yohk eoa in akkalemye asor lalos kacl Abner. Ke pacl in pukmas, Tokosra David sifacna el fahsr tukun box in mas sac.
Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote aliokuwa pamoja nao, “Rarueni nguo zenu na mvae nguo za gunia na mtembee mkiomboleza mbele ya Abneri.” Mfalme Daudi mwenyewe akatembea nyuma ya jeneza.
32 Abner el pukpuki Hebron, ac tokosra el tung ke pusra lulap ke kulyuk ah, ac mwet nukewa wi pac tung.
Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia watu wote wakalia.
33 David el onkin on in eoksra soko inge kacl Abner: “Efu ku Abner elan misa oana mwet lalfon se?
Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
34 Paol tia kapiri, Ac nial tiana losyukeni. El misa oana misa lun sie mwet anwuki sin mwet koluk!” Na mwet uh sifilpa tung kacl.
Mikono yako haikufungwa, miguu yako haikufungwa pingu. Ulianguka kama yeye aangukaye mbele ya watu waovu.” Nao watu wote wakamlilia tena.
35 In len sac nufon, mwet uh srike in oru David elan kangla kutu mongo, tuh el na orala sie wulela na ku mu, “Lela Leum God Elan sringilyuwi ngan misa nga fin kangla kutena ma meet liki fongeni!”
Kisha watu wote wakaja kumsihi Daudi ale chochote kulipokuwa kungali bado mchana; lakini Daudi akaapa, akisema, “Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama nikionja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”
36 Ke mwet uh elos liye ma inge elos insewowo kac. Aok, ma nukewa tokosra el oru, mwet uh insewowo kac.
Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza.
37 Mwet lal David nukewa ac mwet Israel nukewa kalem kac lah wangin ip lal Tokosra David ke misa lal Abner.
Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.
38 Ac tokosra el fahk nu sin mwet pwapa lal, “Mea, kowos tia akilen lah sie mwet kol fulat lun Israel el misa misenge?
Kisha mfalme akawaambia watu wake, “Je, hamfahamu kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka katika Israeli leo?
39 Nga finne tokosra su sulosolla sin Leum God, tuh nga pulakin munas misenge. Wen ekasr natul Zeruiah inge upala lokoalok lalos in nunak luk. Lela LEUM GOD Elan kalyaelos fal nu ke orekma koluk elos oru inge!”
Nami leo ingawa ni mfalme mpakwa mafuta, mimi ni dhaifu, nao hawa wana wa Seruya wananizidi nguvu. Bwana na amlipize mtenda maovu sawasawa na matendo yake maovu!”

< Luo Samuel 3 >