< Luo Tokosra 8 >
1 Na Elisha el tuh fahk nu sin mutan se ma muta Shunem, su el tuh akmoulyauk wen se natu ah, lah LEUM GOD El ac supwama sracl se nu fin acn uh ke lusen yac itkosr, ac mutan sac in som liki acn uh wi sou lal, ac muta in siena acn saya.
Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
2 Mutan sac tuh wi na ma fwackyang nu sel ah, na el ac sou lal ah som muta Philistia ke yac itkosr.
Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
3 Ke safla yac itkosr ah, el foloko nu Israel, ac el som nu yorol tokosra ac siyuk tuh lohm sel ac acn sel in folokyang nu sel.
Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
4 Ke el utyak, tokosra el sramsram nu sel Gehazi, mwet kulansap lal Elisha. Tokosra el lungse etu ke mwenmen lal Elisha.
Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
5 Ke pacl se Gehazi el srumun nu sel tokosra ke luman ma Elisha el oru ke el akmoulyauk sie mwet misa, na mutan sac sang pac siyuk lal nu sel tokosra. Gehazi el fahk nu sel, “Leum fulat, pa ingan mutan sac, ac pa ingan wen se natul ma Elisha el akmoulyauk ah!”
Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
6 Ke tokosra el kusen siyuk kac, mutan sac el akkeyala ma Gehazi el fahk. Na tokosra el pangonma sie mwet pwapa lal ac fahkang elan folokonang ma nukewa lun mutan sac nu sel, weang pac molin fokin ima ke acn sel ke lusen yac itkosr ma el muta ke siena facl.
Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
7 Elisha el som nu Damascus ke pacl se ma Tokosra Benhadad lun Syria el mas. Ke fwackyang nu sel tokosra lah Elisha el oasr we,
Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
8 tokosra el fahk nu sel Hazael, sie sin mwet pwapa lal ah, “Us sie mwe lung an sang nu sin mwet palu sac, ac sap elan lolngok nu sin LEUM GOD lah nga ac kwela ku tia.”
Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
9 Na Hazael el nwakla kain in ma wo nukewa in acn Damascus nu fin camel angngaul, ac som nu yorol Elisha. Ke Hazael el sonol el fahk, “Tokosra Benhadad, mwet kulansap lom, el supweyume ngan tuh siyuk sum lah el ac ku in kwela liki mas lal ah ku tia.”
Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
10 Elisha el topuk, “LEUM GOD El akkalemye nu sik mu el ac misa. Tusruktu folokot nu yorol ac fahk nu sel mu el ac kwela.”
Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
11 Na Elisha el ngetang na suilya ke sie ngetnget na fosrnga, nwe ke na Hazael el sensenak. Kitin pacl ah na soror sroninmutal Elisha.
Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
12 Hazael el siyuk, “Leum luk, efu ku kom tung?” Elisha el topuk, “Mweyen nga etu ke ma na koluk kom ac oru nu sin mwet Israel uh. Kom ac esukak pot ku lalos, onela mukul fusr wowo natulos ke cutlass, sringil tulik natulos nwe ke elos misa, ac tiyala insien mutan pitutu lalos.”
Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
13 Hazael el siyuk, “Ku fuka tuh ngan ku in oru ma na yohk angan? Nga tia mwet pwaye se!” Elisha el topuk, “LEUM GOD El akkalemye nu sik lah kom pa ac tokosra lun Syria.”
Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
14 Hazael el folokla nu yorol Benhadad, su siyuk sel, “Mea Elisha el fahk?” Hazael el topuk, “El fahk nu sik mu pwayena lah kom ac kwela.”
Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
15 Tusruktu ke len se tok ah, Hazael el eis blanket se, isongya in kof ah, na sang nokomla mutal tokosra, nwe el malak misa. Na Hazael el aolulla Benhadad in tokosra lun acn Syria.
Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
16 In yac aklimekosr ke Joram, wen natul Ahab, el tokosra lun Israel, Jehoram wen natul Jehoshaphat el tokosrala lun Judah.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
17 Jehoram el yac tolngoul luo in pacl sac, ac el leum in acn Jerusalem ke yac oalkosr.
Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
18 Mutan kial ah ma natul Ahab, ac Jehoram el oru oana sou lal Ahab — el fahsr tukun ouiya koluk lun tokosra lun Israel. El oru ma koluk lain LEUM GOD,
Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
19 tusruktu LEUM GOD El tia lungse kunausla acn Judah, mweyen El tuh wulela nu sel David, mwet kulansap lal, mu fwilin tulik natul ac fah leumi mwet lal nwe tok.
Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
20 In pacl in leum lal Jehoram, acn Edom tuyak lain acn Judah, ac mutawauk in sifacnala.
Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
21 Ouinge Jehoram el us chariot lal nukewa ac som nu Zair, yen mwet mweun lun Edom elos raunelosla we. In fong sac, el ac mwet leum lun chariot uh mahsrikla twe kaingla, ac mwet mweun lal ah fahsrelik nu yen selos.
Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
22 In pacl sac me, acn Edom tila oan ye ku lun Judah. Ac in pacl sac pacna, siti Libnah tuyak pac ac orek alein nu sin Judah.
Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
23 Ma nukewa saya ma Jehoram el orala simla oasr in [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Judah.]
Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
24 Jehoram el misa ac pukpuki inkulyuk lun tokosra in Siti sel David, ac Ahaziah, wen natul, el aolul in tokosra.
Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 In yac aksingoul luo ke pacl Joram wen natul Ahab el tokosra lun Israel, Ahaziah wen natul Jehoram el tokosrala lun Judah
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
26 ke el yac longoul luo, ac el leum in Jerusalem ke yac se. Nina kial pa Athaliah, acn se natul Tokosra Ahab, su ma natul Tokosra Omri lun Israel.
Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
27 Ahaziah el ac sou nu sel Tokosra Ahab ke sripen nina kial, ac el oru ma koluk lain LEUM GOD oana ke sou lal Tokosra Ahab tuh oru.
Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
28 Tokosra Ahaziah el welul Tokosra Joram lun Israel in mweun lainul Tokosra Hazael lun Syria. Mwet mweun lalos sroani mweun in acn Ramoth in Gilead, ac Joram el kineta ke mweun ah.
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
29 El folokla nu in siti Jezreel in tuh mahla kinet kacl ah, ac Ahaziah el som nu we in osun nu sel.
Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.