< Luo Tokosra 24 >

1 Ke pacl se Jehoiakim el tokosra, Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia el utyak ac mweuni acn Judah. Akkohsyeyuk Jehoiakim, ac el muta ye oakwuk lal Nebuchadnezzar ke yac tolu, na toko el tuyak lainul.
Wakati wa utawala wa Yehoyakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoyakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza.
2 LEUM GOD El supwala un mwet lokoalok su us mwe anwuk liki acn Babylonia, Syria, Moab, ac Ammon in lainul Jehoiakim, ac in kunausla acn Judah, oana El tuh fahkak nu sin mwet palu, mwet kulansap lal, mu El ac oru.
Bwana akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la Bwana lililosemwa na watumishi wake manabii.
3 Ma inge orekla ke sap lun LEUM GOD, tuh Elan lusla mwet Judah liki ye mutal ke sripen ma koluk nukewa su Tokosra Manasseh el tuh oru,
Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana na agizo la Bwana, ili kuwaondoa kutoka machoni pake kwa sababu ya dhambi za Manase na yote aliyoyafanya,
4 ac yokna ke sripen mwet wangin mwata nukewa ma el tuh uniya. LEUM GOD El tia ku in nunak munas nu sel Manasseh ke ma inge.
ikiwa ni pamoja na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia, naye Bwana hakuwa radhi kusamehe.
5 Ma nukewa ma Jehoiakim el orala simla oasr in [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Judah.]
Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
6 Jehoiakim el misa, ac Jehoiachin wen natul, el aolul in tokosra.
Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.
7 Tokosra lun Egypt ac un mwet mweun lal tia sifilpa illa liki acn Egypt, mweyen tokosra Babylonia pa leumi acn nukewa su tuh oan ye Egypt meet, tuku e ke Infacl Euphrates lac nwe ke masrol lun Egypt nu epang.
Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ameitwaa himaya yake yote, kuanzia Kijito cha Misri hadi Mto Frati.
8 Jehoiachin el yac singoul oalkosr ke el tokosrala lun Judah, ac el leum in Jerusalem ke malem tolu. Nina kial pa Nehushta acn natul Elnathan, sie mwet Jerusalem.
Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu.
9 Jehoiachin el fahsr tukun ouiya lun papa tumal, ac oru ma koluk lain LEUM GOD.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.
10 Ke pacl in leum lal ah, mwet kol fulat lal Tokosra Nebuchadnezzar elos us un mwet mweun lun Babylonia som in lain acn Jerusalem ac kuhlusya siti uh.
Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi.
11 Ke pacl se elos kuhlusya acn we, Nebuchadnezzar sifacna el tuku nu Jerusalem,
Nebukadneza mwenyewe akaupandia mji wakati maafisa wake walipokuwa wameuzunguka kwa jeshi.
12 ac Tokosra Jehoiachin ac nina kial, tulik natul, mwet pwapa lal, ac mwet fulat inkul sin tokosra, elos srasrapo nu sin mwet Babylonia. In yac akoalkosr ke pacl in leum lal Nebuchadnezzar, el usalla Jehoiachin elan mwet sruoh.
Yehoyakini mfalme wa Yuda, mama yake, wahudumu wake, wakuu na maafisa wake wote wakajisalimisha kwa Nebukadneza. Katika mwaka wa nane wa utawala wa mfalme wa Babeli, akamchukua Yehoyakini kuwa mfungwa.
13 El usla mwe kasrup nukewa in Tempul ac in lohm sin tokosra nu Babylon, ac el fukulya nufon ahlu gold su Tokosra Solomon el tuh orala in orekmakinyuk in Tempul, oana ke LEUM GOD El tuh fahkak meet.
Kama vile Bwana alivyokuwa amesema, Nebukadneza akaondoa hazina yote kutoka Hekalu la Bwana na kutoka jumba la mfalme, akavichukua vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana.
14 Nebuchadnezzar el usla nu in sruoh fisrak nukewa, mwet kol nukewa, mwet usrnguk ke orekma, weang pac mwet orekma ke osra — mwet singoul tausin nufon sin mwet Jerusalem pa el usla uh. Mwet sukasrup mukena pa lula in acn Judah.
Akawachukua watu wa Yerusalemu wote kwenda uhamishoni: yaani maafisa wote na mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu waliobaki katika nchi.
15 Nebuchadnezzar el usalla Jehoiachin mwet sruoh nu Babylon, wi pac nina kial, mutan nukewa kial, mwet pwapa lal, ac mwet fulat lun Judah.
Nebukadneza akamchukua mateka Yehoyakini hadi Babeli. Pia akawachukua utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake, na viongozi wote wa nchi.
16 Nebuchadnezzar el usla mwet yohk sripa nukewa lun Judah nu Babylonia — mwet itkosr tausin nufon — ac sie tausin mwet usrnguk ke orekma weang mwet orekma ke osra, ac mwet inge nukewa mwet na fas mano, wo nu ke mweun.
Mfalme wa Babeli pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, na watu wenye ustadi na mafundi elfu moja.
17 Nebuchadnezzar el sraklalak Mattaniah, su ac papa se tumal Jehoiachin, elan tokosra lun Judah, ac el ekulla inel nu ke Zedekiah.
Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake Yehoyakini, kuwa mfalme mahali pake, na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.
18 Zedekiah el yac longoul sie ke el tokosrala lun Judah, ac el leum in Jerusalem yac singoul sie. Nina kial pa Hamutal acn natul Jeremiah, su sie mwet in siti Libnah.
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
19 Tokosra Zedekiah el oru ma koluk lain LEUM GOD, oana ma Tokosra Jehoiakim el oru.
Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
20 LEUM GOD El arulana kasrkusrak sin mwet Jerusalem ac Judah, pwanang El luselosla liki ye mutal.
Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

< Luo Tokosra 24 >