< Luo Tokosra 18 >

1 In yac aktolu ke pacl Hoshea wen natul Elah el tokosra lun Israel, Hezekiah wen natul Ahaz, el tokosrala lun Judah
Ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 ke el yac longoul limekosr, ac el leum in Jerusalem ke yac longoul eu. Nina kial pa Abijah, acn natul Zechariah.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake alikuwa anaitwa Abija; alikuwa binti wa Zekaria.
3 Hezekiah el oru ma su akinsewowoye LEUM GOD, oana ouiya lal Tokosra David, papa matu tumal.
Alifanya yaliyo mema usoni pa Yahwe, kufuata mfano wa yote ambayo Daudi, babu yake, aliyoyafanya.
4 El kunausla acn in alu lun mwet pegan, kunausya sru eot, ac pakiya ma sruloala ke god mutan Asherah. El oayapa kotkoteya serpent bronze soko su pangpang Nehushtan ma Moses el tuh orala. Mwet Israel elos srakna akosak mwe keng in akfulatye serpent soko inge nwe in pacl sac.
Alipaondoa mahali pa juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ambayo Musa aliyokuwa ameifanya, kwa sababu siku zile wana wa Israeli walikuwa wakichoma ubani katika hiyo; ilikuwa inaitwa “Nehushtani.”
5 Hezekiah el lulalfongi LEUM GOD lun Israel. Wangin tokosra lun mwet Judah meet lukel ku tok lukel oana el.
Hezekia alimwamini Yahwe, Mungu wa Israeli, hivyo basi baada ya yeye hapakuwa kama yeye miongoni mwa wafalme wote wa Yuda, wala miongoni mwa wafalme ambao walikuwa kabla yake.
6 El inse pwaye nu sin LEUM GOD, ac wangin pacl el tia aksol. El arulana karinganang ma sap nukewa su LEUM GOD El sang nu sel Moses.
Aliambatana na Yahwe. Hakuacha kumfuata lakini alizifuata amri zake, ambazo Yahwe alimwamuru Musa.
7 Ouinge LEUM GOD El welul, ac wo ouiyal in ma nukewa el oru. El tuyak lain Tokosra Fulat lun Assyria, ac tiana eisalang nu sel.
Hivyo Yahwe alikuwa na Hezekia, kila alipokwenda alifanikiwa. Akaasi dhidi ya mfalme wa Ashuru na hakumtumikia.
8 El kutangla mwet Philistia ac utyak eisla ma lalos in acn srisrik nwe ke siti lulap, weang acn Gaza ac acn ma raunela.
Akawashambulia Wafilisti hadi Gaza na mipaka inayoizunguka, kutoka mnara wa walinzi hadi hadi mji wenye ngome.
9 In yac akakosr ke pacl Hezekiah el tokosra — su yac akitkosr ma Hoshea el leumi acn Israel — Tokosra Fulat Shalmaneser lun Assyria el utyak mweuni acn Israel ac kuhlusya Samaria.
Katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa saba wa Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru akapanda hadi Samaria na kuizunguka.
10 Ke yac aktolu ma kuhlusyuki acn we, Samaria ikori. Ma inge sikyak ke yac akonkosr ma Hezekiah el tokosra, ac yac akeu ma Hoshea el tokosra.
Mwishoni mwa miaka mitatu wakaichukua, katika mwaka wa sita wa Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli; hivi ndivyo Samaria ilivyotekwa.
11 Tokosra Fulat lun Assyria el usla mwet Israel in mwet sruoh in acn Assyria, ac oakiya kutu selos in siti Halah, ac kutu apkuran nu ke Infacl Habor in acn Gozan, ac kutu in siti lun Media.
Basi mfalme wa Ashuru akawachukua Israeli kwenda Ashuru na kuwaweka kwenye Hala, na katika mto Habori katika Gozani, na katika mji wa Wamedi.
12 Acn Samaria ikori, mweyen mwet Israel elos tia akos LEUM GOD lalos, a elos kunausla wulela ma El orala yorolos, ac seakos ma sap nukewa ma Moses mwet kulansap lun LEUM GOD el tuh sang nu selos. Elos tiana lungse porongo, ac tiana akos.
Alifanya hivi kwasababu hakutii sauti ya Yahwe Mungu wao, lakini walikiuka makubaliano ya agano lake, yote yale ambayo Musa yule mtumishi wa Yahwe aliwaamuru. Walikataa kuyasikiliza au kuyafanya.
13 In yac aksingoul akosr ke Tokosra Hezekiah el leum, Tokosra Fulat Sennacherib lun Assyria el mweuni siti ma potiyukyak lun Judah ac eisla acn inge.
Kisha katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senakerebu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote yenye boma na kuwateka mateka.
14 Hezekiah el sapla nu sel Sennacherib su muta Lachish, ac fahk, “Tafongla ma nga oru. Nunak munas, tui ac tia mweuniyu, ac nga ac fah akfalye lupa na kom fahk nga in moli.” Ac Tokosra Fulat el topuk mu Hezekiah elan supwala longoul tausin paun in silver ac luo tausin paun in gold.
Basi Hezekia mfalme wa Yuda akatuma neno kwenda kwa mfalalme wa Yuda akatuma neno kwa mfalme wa Ashuru, ambaye alikuwa Lachishi, akisema, “Nimekuudhi. Nichukue. Popote utakaponiweka nitavumulia”. Mfalme wa Ashuru akamtaka Hezekia mfalme wa Yuda kulipa talanta mia tatu za fedha na talanta thelathini za dhahabu.
15 Na Hezekiah el supwala silver nukewa ma oan in Tempul ac ma oan in nien filma saok inkul sin tokosra.
Hivyo Hezekia akampatia fedha zote ambazo zilikuwa zimepatikana kwenye nyumba ya Yahwe na kawenye hazina nyumba ya mfalme.
16 El oayapa takusla gold nukewa ma sang yunela srungul ke Tempul, ac gold ma el sifacna sang nawela sukan srungul, ac supwala ma inge nufon nu sel Sennacherib.
Kisha Hezekia akaikata ile dhahabu kutoka kwenye milango ya hekalu la Yahwe na kutoka juu ya nguzo; akampatia dhahabu mfalme wa Ashuru.
17 Na Tokosra Fulat lun Assyria el supwala un mwet mweun na yohk se lal liki acn Lachish nu Jerusalem in tuh mweunel Hezekiah, su kolyuk sin mwet tolu ma fulat emeet sin mwet leum lun mwet mweun lal. Ke elos sun acn Jerusalem elos tui ke innek soko ma mwet owo nuknuk orekma we sisken na laf soko ma use kof ke lulu se ma oan lucng ah.
Lakini mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu kutoka Lakishi kwenda kwa Hezekia huko Yerusalemu. Wakasafiri hadi kwenye mabarabara na kufika nje ya Yerusalemu. Wakakaribia karibu na mfereji wa birika la juu, kwenye barabara kuu ya shamba la dobi, na kusimama hapo.
18 Na elos sapla solal Tokosra Hezekiah ac tolu sin mwet leum lal, ac som in osun nu selos. Elos inge pa Eliakim, wen natul Hilkiah su mwet liyaung inkul sin tokosra; Shebna, mwet sim ke inkul lun tokosra; ac Joah wen natul Asaph, su liyaung ma simusla.
Wakati walipokuwa wamemwita Mfalme Hezekia, Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa kiongozi wa nyumba ya mfalme na Shebna mwandishi, na Joa mwana wa Asafu, anayeandika kumbukumbu, wakatoka nje kwenda kuwalaki
19 Sie sin mwet fulat lun acn Assyria inge fahkang nu selos lah Tokosra Fulat el ke etu lah mea Tokosra Hezekiah el kukin uh.
Basi yule amiri jeshi mkuu akawaambia wamwambie Hezekia kile alichosema mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, amesema: “Nini chanzo cha ujasiri wako?
20 El fahk ouinge, “Ku kom nunku mu kas uh ku in sang lain ku lulap ac pisrla ke mweun? Su kom lulalfongi mu ac kasrekom lain acn Assyria?
Unaongea maneno yasiyo na maana, kusema lipo neno na nguvu ya vita. Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu?
21 Kom lulalfongi mu Egypt ac kasrekom, tuh fin ouinge, ac oana ke kom sikalkin loa soko — ac kaptelik twe kanteya poum. Pa ingan luman tokosra Egypt nu sin mwet su tupan kasru sel uh.”
Tazama, unatumainia kutembelea fimbo ya mwanzi huu uliopondeka wa Misri, lakini kama mtu akiutegemea, utamchapa kwenye mkono wake na kuutoboa. Hicho ndicho Farao mfalme wa Misri kwa ymtu yeyote ambaye anayemtumainia.
22 Ac mwet leum sac lun Assyria tafwela ac fahk, “Ku kom ac fahk nu sik lah kom ac lulalfongi na LEUM GOD lom an? Nien alu ac loang lun LEUM GOD pa Hezekiah el kunausla ke el tuh fahk nu sin mwet Judah ac Jerusalem elos in alu ke loang se in Jerusalem ah mukena.
Lakini kama ukiniambia, 'Tunamwamini Yahwe Mungu watu; je si yeye ambaye mahali pa juu na madhabahu Hezekia amezichukua, na kumwambia Yuda na kwa Yerusalemu, 'Lazima uabudu mbele ya hii madhabahu katika Yerusalemu'?
23 Nga ac oru sie pwapa nu sum ke inen Tokosra Fulat. Nga ac sot nu sum tausin luo ke horse kom fin ku in konauk pisen mwet ma ac fal in kasrusr fac!
Basi kwa hiyo, nataka kukufanyia ahadi nzuri kutoka kwa bwana wangu mfalme wa Ashuru. Nitakupatia farasi elfu mbili, kama unaweza kuwatafuta kuwaendesha kwa ajili yao.
24 Finne mwet ma srik emeet wal la sin mwet leum lun Assyria, kom tia fal in lain, sruk kom lulalfongi mu mwet Egypt ac supwama chariot ac mwet kasrusr fin horse nu sum!
Wanawezaje kumpinga hata nahodha mmoja wa watumishi walio wadogo? Mmeweka tumaini lenu katika Misri kwa magari ya farasi na waendesha farasi!
25 Ya kom nunku mu nga mweuni facl sum an ac kunausla sayen kasru sin LEUM GOD? LEUM GOD sifacna El fahk nu sik mu ngan mweuni ac kunausla acn uh.”
Je nimesafiri kwenda huko juu bila Yahwe kupapigania hapa mahali na kupaharibu? Yahwe ameniambia, 'Ishambulie hii nchi na uiharibu.”'
26 Na Eliakim, Shebna, ac Joah fahk nu sin mwet leum sac, “Kaskas nu sesr ke kas Aramaic. Kut kalem kac. Nimet kas Hebrew, mweyen mwet nukewa fin pot uh elos lohng pac ma kom fahk an.”
Kisha Elikana mwana wa Hilkia, na Shebna, na Joa wakamwambia amiri jeshi mkuu, “Tafadhali ongea na watumishi wako katika lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaielewa. Usiongee nasi katika lugha ya Yuda katika masikio ya watu ambao wako ukutani.”
27 Ac el topuk, “Ku komtal nunku mu komtal na ac tokosra mukena pa Tokosra Fulat el supweyume ngan fahk ma inge nu se uh? Mo, nga tuku in fahk pac nu sin mwet ma muta fin pot an, su ac fah kang fohkoltal ac nim kifwaltal, oana komtal.”
Lakini yule amiri jeshi mkuu akawaambia, “Je bwana wangu amenituma kwa bwana wako na kuwachukua kuongea haya maneno? Je hajanituma kwa hawa watu ambao wameketi kwenye ukuta, ambao watakula kinyesi chao na kunywa mkojo wao wenyewe?”
28 Na mwet leum se inge tuyak ac sala ke kas Hebrew ac fahk, “Lohng ma Tokosra Fulat lun Assyria el fahk nu sumtal inge.
Kisha yule amiri jeshi mkuu akasimama na akapiga kelele kubwa kwa lugha ya Kiyahudi, akisema, “Sikilizeni neno la mfalme mkuu, mfale wa Ashuru.
29 El mu komtal in taran Hezekiah elan tia kiapwekomtalla. Hezekiah el tia ku in molikomtalla.
Mfalme asema, 'Msimwache Hezekia akawadanganya, kwa kuwa hataweza kuwaokoa kwenye nguvu yangu.
30 Ac nimet lela elan kifus komtal in filiya lulalfongi lomtal in LEUM GOD, mu El ac molikomtalla ac tulokinya mwet mweun lasr uh in tia sruokya siti sumtal an.
Msimwache Hezekia akawatumainisha katika Yahwe, akisema, “Yahwe atatuokoa hakika, na huu mji hautawekwa kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru.'”
31 Nimet lohng ma Hezekiah el fahk. Tokosra Fulat lun Assyria el sapkin nu sumtal in illa liki siti an ac srasrapo nu sel. Na el ac fah lela tuh kais sie sumtal in mongo ke fokin ima grape lal ac fokinsak fig sunal, ac nim kof ke luf in kof lal sifacna,
Msikilize Hezekia, kwa kuwa hivi ndivyo mfalme wa Ashuru asemavyo: 'Fanyeni amani pamoja nami na njooni kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwenye mzabibu wake mwenyewe na kutoka kwenye mtini wake mwenyewe, na kunywa kutoka kwenye maji kwenye maji ya birika lake mwenyewe.
32 nwe ke Tokosra Fulat el sifilpa oakikomtal uh in sie facl su apkuran in oana facl sumtal, yen ma oasr ima in grape we in orek wain, ac oasr pac wheat in orek bread — sie facl oasr olive, ac oil in olive ac honey we. Komtal fin oru ma el sapkin inge komtal ac tia misa, a komtal ac moulna. Nimet lela Hezekiah elan kiapwekomtal mu LEUM GOD El ac molikomtalla.
Mtafanya hivyo hadi nitakapokuja na kuwachukua kwenda kwenye nchi kama nchi yenu, nchi ya nafaka na divai, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu, nchi ya miti ya mizaituni na asali, ili muweze kuishi na sio kufa.' Msimsikilize Hezekia wakati atakapojaribu kuwashawishi, akisema, 'Yahwe atatuokoa.'
33 Ku oasr god lun kutena facl ma molela facl selos liki Tokosra Fulat lun Assyria?
Je miungu yeyote ya watu inayewaokoa kutoka kwenye nchi ya mfalme wa Ashuru?
34 God lun Hamath ac Arpad eltal oasr ya inge? Ac pia god lun Sepharvaim, Hena, ac Ivvah? Ku oasr sie nu molela acn Samaria?
Iko wapi miungu ya Hamathi na Arpadi? iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena, na Iva? Je imeiokoa Samaria kutoka mkono wangu?
35 Pia pacl ma god lun facl nukewa inge molela facl selos liki Tokosra Fulat lasr uh? Na mea oru komtal nunku mu LEUM GOD El ac ku in molela Jerusalem uh?”
Miongoni mwa miungu yote ya nchi, je kuna mungu ambaye ameiokoa nchi yake kutoka kwenye nguvu yangu? Inawezekanaje Yahwe akaiokoa Yerusalemu kutoka kwenye uwezo wangu?”
36 Mwet uh mihselik, oana ma Tokosra Hezekiah el tuh fahk nu selos, ac elos tiana fahkla sie kas.
Lakini watu wakabaki kimya na hawakujibu, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru, “Msimjibu.”
37 Na Eliakim, Shebna, ac Joah eltal asor ac seya nuknuk laltal, ac eltal folokla ac fahkang nu sin tokosra ma mwet leum se lun Assyria el fahk ac.
Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa juu ya nyumba ya mfalme; Shebna yule mwandishi; na Joa mwana wa Asafu, mtunza kumbukumbu, akaja kwa Hezekia pamoja na nguo zao zilizoraruliwa, na kumpatia taarifa ya maneno ya yule amiri mkuu.

< Luo Tokosra 18 >