< Luo Chronicle 21 >

1 Jehoshaphat el misa ac pukpuki inkulyuk lun mwet leum in Siti sel David, ac Jehoram wen natul, el aolulla in tokosra.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 Jehoram wen natul Jehoshaphat, tokosra lun Judah, oasr tamulel onkosr wial: Azariah, Jehiel, Zechariah, Azariahu, Michael, ac Shephatiah.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 Papa tumalos ah sang nu selos lupa na yohk ke silver, gold, ac kutu pac ma saok. El oayapa sang tuh kais sie selos in leumi siti ma kuhlusyukyak in acn Judah. Tuh ke sripen Jehoram pa matu emeet, Jehoshaphat el sang in el pa aolul.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 Ke Jehoram el ku na pwaye fin tokosrai sac, el sap in anwuki tamulel lal ah kewa, oayapa kutu mwet pwapa fulat lun Israel.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Jehoram el tokosrala ke el yac tolngoul luo, ac el leum in Jerusalem ke lusen yac oalkosr.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 El fahsr tukun ouiya koluk lal Tokosra Ahab ac tokosra pac saya lun Israel, mweyen el payuk sin sie sin acn natul Ahab. El orekma koluk lain LEUM GOD,
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 tusruktu LEUM GOD El tia lungse kunausla tokosra in sou lal David, mweyen El tuh orala wulela se nu sel David mu tulik natul pa ac tokosra nwe tok.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 In pacl Jehoram el tokosra, acn Edom tuyak lain ac Judah, ac srengla lukelos ac srukak sie tokosra lalos sifacna.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Ouinge Jehoram ac captain lun mwet mweun lal ah elos kasrusr ke chariot ac som mweuni mwet Edom. Mwet mweun lun Edom raunelosla, tusruktu mwet Judah elos konoiak inkanek in kaingla ke fong.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 In pacl sac me, mwet Edom tila muta ye ku lun mwet Judah. In pacl sacn pacna, siti Libnah tuyak pac lain acn Judah, mweyen Jehoram el pilesru LEUM GOD lun mwet matu lal.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 El musai pac nien alu lun mwet pegan infulan eol in Judah, ac el kol mwet Judah ac mwet Jerusalem in oru ma koluk lain LEUM GOD.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 Mwet palu Elijah el supwala leta se nu sel Jehoram, ac pa inge ma simla loac: “LEUM GOD lal David, papa matu tomom, el lain kom mweyen kom tia fahsr ke ouiya lun Tokosra Jehoshaphat, papa tomom, ku Tokosra Asa, papa matu tomom.
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 A kom fahsr ke lumah lun tokosra Israel ac kolla mwet Judah ac mwet Jerusalem tuh elos in tia inse pwaye nu sin LEUM GOD, oana Ahab ac mwet kol tokol tuh kol mwet Israel in tia pwaye nu sin LEUM GOD. Kom oayapa uniya tamulel lom, sruhk elos wo liki kom.
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 Ke sripa inge, LEUM GOD El ac sang kalya upa nu sin mwet lom ac tulik nutum ac mutan kiom, ac El ac fah kunausla ma nukewa lowos.
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 Ac kom sifacna ac fah keok ke mas lun insiom, ac mas se inge ac fah yokyokelik ke len na len.”
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 Kutu mwet Philistia ac mwet Arabia muta apkuran nu yen ma mwet Ethiopia muta we sisken meoa. LEUM GOD El oru tuh elos in som mweunel Jehoram.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 Elos utyak nu in acn Judah, ac usla mwe kasrup nukewa inkul sin tokosra, wi mutan nukewa kial oayapa tulik mukul nukewa natul sayal Ahaziah, su fusr oemeet sin tulik natul uh.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 Na tukun ma inge nukewa, LEUM GOD El sang nu sin tokosra mas upa ke insial su el arulana keok kac.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 Mas se lal inge yokyokelikna apkuran in yac luo, na el keoki nwe ke el misa. Mwet lal ah tiana tanak e in eoksra kacl, oana ke elos oru nu sin mwet matu lal meet ah.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Jehoram el mutawauk in tokosra ke el yac tolngoul luo, ac el leum in Jerusalem ke yac oalkosr. Wanginna mwet asor ke el misa. Elos piknilya in Siti sel David, tusruktu tia ke inkulyuk lun mwet leum.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< Luo Chronicle 21 >