< Sie Chronicle 8 >

1 Oasr wen limekosr natul Benjamin. Takin matwalos pa inge, matu nu ke srik: Bela, Ashbel, Aharah,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Nohah, ac Rapha.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Fwil natul Bela pa: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abishua, Naaman, Ahoah,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Shephuphan, ac Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Sifen kais sie sou in fwil natul Ehud su muta in Geba lilliyak elos, na elos som muta in sruoh in acn Manahath.
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Elos pa: Naaman, Ahijah, ac Gera. Gera, su papa tumal Uzza ac Ahihud, pa kololos ke mukuila sac.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Shaharaim el sisla mutan luo kial: Hushim ac Baara. Tok ke el muta in facl Moab,
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 el payuk nu sel Hodesh, su oswela wen itkosr natul: elos pa Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sachia, ac Mirmah. Wen natul inge nufon elos sifen kais sie sou.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Oasr pac wen luo natul yorol Hushim: elos pa Abitub ac Elpaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Oasr wen tolu natul Elpaal: elos pa Eber, Misham, ac Shemed. Shemed pa musaela siti Ono ac Lod, oayapa inkul ma raunela acn ingan.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Beriah ac Shema pa sifen sou ma som twe oakwuki in siti Aijalon ac lusak mwet su muta in siti Gath.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Inen kutu mwet in fwil natul Beriah pa: Ahio, Shashak, Jeremoth,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Zebadiah, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Michael, Ishpah, ac Joha.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Inen kutu mwet in fwil natul Elpaal pa: Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Ishmerai, Izliah, ac Jobab.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Inen kutu mwet in fwil natul Shimei pa: Jakim, Zichri, Zabdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Zillethai, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaiah, Beraiah, ac Shimrath.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Inen kutu mwet in fwil natul Shashak pa: Ishpan, Eber, Eliel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abdon, Zichri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananiah, Elam, Anthothijah,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Iphdeiah, ac Penuel.
Ifdeya na Penueli.
26 Inen kutu mwet in fwil natul Jeroham pa: Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jaareshiah, Elijah, ac Zichri.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Pa ingan inen mwet su sifen kais sie sou oayapa mwet fulat in fwil lalos uh, su muta in Jerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Jeiel el musaela acn Gibeon ac oakwuki we. Inen mutan kial uh pa Maacah,
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 ac wen se meet natul pa Abdon. Inen wen natul saya pa: Zur, Kish, Baal, Ner, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ahio, Zechariah,
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 ac Mikloth, su papa tumal Shimeah. Fwil natulos uh muta Jerusalem apkuran nu yurin sou su ma pac in sou lulap lalos.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner pa papa tumal Kish, ac Kish pa papa tumal Tokosra Saul. Oasr wen akosr natul Saul: elos pa Jonathan, Malchishua, Abinadab, ac Ishbosheth.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Jonathan pa papa tumal Mephibosheth, su papa tumal Micah.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Oasr wen akosr natul Micah: elos pa Pithon, Melech, Tarea, ac Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahaz pa papa tumal Jehoaddah, ac Jehoaddah pa papa tumun wen tolu: elos pa Alemeth, Azmaveth, ac Zimri. Zimri pa papa tumal Moza.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Moza pa papa tumal Binea, su papa tumal Raphah, su papa tumal Eleasah; ac Eleasah pa papa tumal Azel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Oasr wen onkosr natul Azel: elos pa Azrikam, Bocheru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, ac Hanan.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Oasr wen tolu natul Eshek, tamulel lal Azel: elos pa Ulam, Jeush, ac Eliphelet.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Wen natul Ulam elos mwet mweun pwengpeng ac elos oalel ke pisr. Pisen wen natul ac wen pac natulos sun siofok lumngaul nufon. Mwet nukewa ma takinyukla inelos lucng ingan, elos ma in sruf lal Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< Sie Chronicle 8 >