< Sie Chronicle 24 >

1 Pa inge u ma tuku ke fita lal Aaron. Oasr wen akosr natul Aaron: elos pa Nadab, Abihu, Eleazar ac Ithamar.
Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Nadab ac Abihu eltal misa meet liki papa tumaltal, ac wangin tulik natultal, na pa Eleazar ac Ithamar eltal mwet tol.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
3 Tokosra David el oakiya wen natul Aaron nu ke kais sie u, fal nu ke orekma kunalos. Mwet luo ma kasrel ke oakwuk se inge pa Zadok in fwil natul Eleazar, ac Ahimelech in fwil natul Ithamar.
Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
4 Mwet in fwil natul Eleazar elos oakwuki nu ke u singoul onkosr, ac mwet in fwil natul Ithamar elos oakwuki nu ke u oalkosr. Orek ouinge ke sripen pus mukul su sifen sou in fwil natul Eleazar.
Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
5 In fwil natul Eleazar ac fwil natul Ithamar kewa, oasr mwet pwapa nu ke orekma lun Tempul oayapa mwet kol ke moul in ngun, na pa elos eis kunalos ke susfa.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
6 Mwet in fwil natul Eleazar ac natul Ithamar elos kais sie fahsr susfa. Na toko simla inelos yurin mwet sim lun mwet Levi, su el pa Shemaiah wen natul Nethanel. Mwet loh ke ma inge pa tokosra ac mwet pwapa lal, oayapa Zadok mwet tol, Ahimelech wen natul Abiathar, ac sifen sou lun mwet tol, ac sifen sou lun mwet Levi.
Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
7 Fa se meet an oayang nu sel Jehoiarib, akluo nu sel Jedaiah,
Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
8 aktolu nu sel Harim, akakosr nu sel Seorim,
ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
9 aklimekosr nu sel Malchijah, akonkosr nu sel Mijamin,
ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
10 akitkosr nu sel Hakkoz, akoalkosr nu sel Abijah,
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
11 akeu nu sel Jeshua, aksingoul nu sel Shecaniah,
ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
12 aksingoul sie nu sel Eliashib, aksingoul luo nu sel Jakim,
ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
13 aksingoul tolu nu sel Huppah, aksingoul akosr nu sel Jeshebeab,
ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
14 aksingoul limekosr nu sel Bilgah, aksingoul onkosr nu sel Immer,
ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
15 aksingoul itkosr nu sel Hezir, aksingoul oalkosr nu sel Happizzez,
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
16 aksingoul eu nu sel Pethahiah, aklongoul nu sel Jehezkel,
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
17 aklongoul sie nu sel Jachin, aklongoul luo nu sel Gamul,
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
18 aklongoul tolu nu sel Delaiah, ac aklongoul akosr nu sel Maaziah.
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
19 Simla inen mwet inge fal nu ke kunokon ma itukyang nu selos in kulansap lalos in tempul. Ma inge oakiyuki nu selos sel Aaron, papa matu tumalos, ke el akos ma LEUM GOD lun Israel El sapkin.
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
20 Pa inge kutu pac sifen sou ke fita lal Levi: Jehdeiah, fita natul Amram kacl Shebuel;
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
21 Isshiah, fita natul Rehabiah;
Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
22 Jahath, fita natul Izhar kacl Shelomith;
Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
23 Jeriah, Amariah, Jehaziel, ac Jekameam, wen natul Hebron, takla fal nu ke matwalos;
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
24 Shamir, fita natul Uzziel kacl Micah;
Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
25 Zechariah, fita natul Uzziel kacl Isshiah, tamulel lal Micah;
Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
26 Mahli, Mushi, ac Jaaziah, fita natul Merari.
Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
27 Oasr wen tolu natul Jaaziah: elos pa Shoham, Zaccur, ac Ibri.
Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
28 Oasr wen luo natul Mahli: sie pa Eleazar, tuh wangin wen natul,
Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
29 ac sie pa Kish, su wen natul pa Jerahmeel.
Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
30 Oasr wen tolu natul Mushi: elos pa Mahli, Eder, ac Jeremoth. Pa ingan mwet in sou lun mwet Levi.
Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
31 Kais sie sifen sou, wi sie sin tamulel fusr lal, elos ac susfa nu ke kunokon lalos, in oana ke sou lalos kacl Aaron elos tuh oru. Ac Tokosra David, Zadok, Ahimelech, ac kais sie sifen sou lun mwet tol ke sruf Levi elos tuh mwet loh kac.
Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

< Sie Chronicle 24 >