< Sie Chronicle 1 >

1 Adam pa papa tumal Seth, ac Seth pa papa tumal Enosh, ac Enosh pa papa tumal Kenan.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan pa papa tumal Mahalalel, ac Mahalalel pa papa tumal Jared.
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Jared pa papa tumal Enoch, su papa tumal Methuselah. Methuselah pa papa tumal Lamech,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 su papa tumal Noah. Oasr wen tolu natul Noah: Shem, Ham, ac Japheth.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Wen natul Japheth pa Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, ac Tiras. Tulik natulos kais sie ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Fwil natul Gomer pa mwet in acn Ashkenaz, Riphath, ac Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Fwil natul Javan pa mwet in acn Elishah, Spain, Cyprus, ac Rhodes.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Wen natul Ham pa Cush, Egypt, Libya, ac Canaan. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Fwil natul Cush pa mwet in acn Seba, Havilah, Sabtah, Raamah, ac Sabteca. Fwil natul Raamah pa mwet in acn Sheba ac Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 (Oasr wen se natul Cush su pangpang Nimrod, ac el pa mwet se emeet su watwen ke mweun fin fahlu.)
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Fwil natul Egypt pa mwet in acn Lydia, Anam, Lehab, Naphtuh,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Pathrus, Casluh, ac Crete. (Mwet in acn Crete pa papa tumun mwet Philistia.)
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Wen se meet natul Canaan pa Sidon, ac wen se akluo pa Heth. Tulik natultal kais sie, ac fwil nukewa tokoltal, elos ekin papa matu tumaltal ingan.
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Fwil natul Canaan pa mwet Jebus, mwet Amor, mwet Girgash,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 mwet Hiv, mwet Ark, mwet Sin,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 mwet Arvad, mwet Zemar, ac mwet Hamath.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Wen natul Shem pa Elam, Asshur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether, ac Meshek. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos, elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arpachshad pa papa tumal Shelah, su papa tumal Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Oasr wen luo natul Eber: inen sie pa Peleg, ke sripen in pacl lal ah mwet fin faclu tuh fahsrelik. Inen tulik se wial ah pa Joktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Fwil natul Joktan pa mwet in acn Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havilah, ac Jobab.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Pa inge fwil natul Shem fahla nwe kacl Abram: Shem, Arpachshad, Shelah,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eber, Peleg, Reu
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 ac Abram (su oayapa pangpang Abraham).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Oasr wen luo natul Abraham: elos pa Isaac ac Ishmael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Wen natul Ishmael elos sifen sruf singoul luo inge: Nebaioth (el pa wounse se), Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, ac Kedemah.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Oasr mutan kulansap se kial Abraham su inel pa Keturah, ac el oswela wen onkosr natul Abraham: elos pa Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, ac Shuah. Oasr wen luo natul Jokshan: elos pa Sheba ac Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Oasr wen limekosr natul Midian: elos pa Ephah, Epher, Hanoch, Abida, ac Eldaah.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abraham pa papa tumal Isaac. Oasr wen luo natul Isaac: elos pa Esau ac Jacob.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Wen natul Esau pa Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam, ac Korah.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Eliphaz pa papa tumun sruf inge: Teman, Omar, Zephi, Gatam, Kenaz, Timna, ac Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Reuel pa papa tumun sruf inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Wen natul Seir pa Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer, ac Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Wen natul Lotan pa Hori ac Homam. Tamtael lal Lotan pa Timna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Wen natul Shobal pa Alvan, Manahath, Ebal, Shephi, ac Onam. Wen natul Zibeon pa Aiah ac Anah.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Wen natul Anah pa Dishon, ac wen natul Dishon pa Hamran, Eshban, Ithran, ac Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Wen natul Ezer pa Bilhan, Zaavan, ac Jaakan. Ac wen natul Dishan pa Uz ac Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Pa inge inen tokosra su leum fin acn Edom meet liki oasr tokosra lun mwet Israel: Bela, wen natul Beor, su siti sel uh pa Dinhabah.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Ke Bela el misa, Jobab wen natul Zerah in acn Bozrah el aolul.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Ke Jobab el misa, Husham, sie mwet in acn Teman, el aolul.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Ke Husham el misa, Hadad wen natul Bedad, su kutangla mwet Midian in facl Moab, el aolul. Inen siti sel pa Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Ke Hadad el misa, Samlah, sie mwet in acn Masrekah, el aolul.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Ke Samlah el misa, Shaul, sie mwet in acn Rehoboth sisken Infacl Euphrates, el aolul.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Ke Shaul el misa, Baal Hanan wen natul Achbor el aolul.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Ke Baal Hanan el misa, Hadad el aolul. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial pa Mehetabel acn natul Matred, ac Matred acn natul Mezahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Na Hadad el misa. Inen sruf in acn Edom pa Timna, Alvah, Jetheth,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibamah, Elah, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, ac Iram.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< Sie Chronicle 1 >