< 에스라 2 >
1 옛적에 바벨론 왕 느부갓네살에게 사로잡혀 바벨론으로 갔던 자의 자손 중에서 놓임을 받고 예루살렘과 유다 도로 돌아와 각기 본성에 이른 자
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 곧 스룹바벨과 예수아와 느헤미야와 스라야와 르엘라야와 모르드개와 빌산과 미스발과 비그왜와 르훔과 바아나 등과 함께 나온 이스라엘 백성의 명수가 이러하니
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
6 바핫모압 자손 곧 예수아와 요압 자손이 이천팔백십이 명이요
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
16 아델 자손 곧 히스기야 자손이 구십팔 명이요
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Wanaume wa Anathothi: 128.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 기랴다림과 그비라와 브에롯 자손이 칠백사십삼 명이요
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Wanaume wa Magbishi: 156.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 로드와 하딧과 오노 자손이 칠백이십오 명이요
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 제사장들은 예수아의 집 여다야 자손이 구백칠십삼 명이요
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
40 레위 사람은 호다위야 자손 곧 예수아와 갓미엘 자손이 칠십사 명이요
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 노래하는 자들은 아삽 자손이 일백이십팔 명이요
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 문지기의 자손들은 살룸과 아델과 달문과 악굽과 하디다와 소배 자손이 모두 일백삼십구 명이였더라
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 느디님 사람들은 시하 자손과 하수바 자손과 답바옷 자손과
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 게로스 자손과 시아하 자손과 바돈 자손과
Keros, Siaha, Padoni.
45 르바나 자손과 하가바 자손과 악굽 자손과
Lebana, Hagaba, Akubu,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
50 아스나 자손과 므우님 자손과 느부심 자손과
Asna, Meunimu, Nefusimu:
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 바슬룻 자손과 므히다 자손과 하르사 자손과
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 바르고스 자손과 시스라 자손과 데마 자손과
Barkosi, Sisera, Tema:
55 솔로몬의 신복의 자손은 소대 자손과 하소베렛 자손과 브루다 자손과
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 야알라 자손과 다르곤 자손과 깃델 자손과
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 스바댜 자손과 하딜 자손과 보게렛하스바임 자손과 아미 자손이니
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 모든 느디님 사람과 솔로몬의 신복의 자손이 삼백구십이 명이었더라
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 델멜라와 델하르사와 그룹과 앗단과 임멜에서 올라온 자가 있으나 그 종족과 보계가 이스라엘에 속하였는지는 증거할 수 없으니
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 저희는 들라야 자손과 도비야 자손과 느고다 자손이라 도합이 육백오십이 명이요
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 제사장 중에는 하바야 자손과 학고스 자손과 바르실래 자손이니 바르실래는 길르앗 사람 바르실래의 딸 중에 하나로 아내를 삼고 바르실래의 이름으로 이름한 자라
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 이 사람들이 보계 중에서 자기 이름을 찾아도 얻지 못한고로 저희를 부정하게 여겨 제사장의 직분을 행치 못하게 하고
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 방백이 저희에게 명하여 우림과 둠밈을 가진 제사장이 일어나기 전에는 지성물을 먹지 말라 하였느니라
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 온 회중의 합계가 사만 이천삼백육십 명이요
Jumla ya kundi 42, 360,
65 그 외에 노비가 칠천삼백삼십칠 명이요 노래하는 남녀가 이백 명이요
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 약대가 사백삼십오요 나귀가 육천칠백이십이었더라
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 어떤 족장들이 예루살렘 여호와의 전 터에 이르러 하나님의 전을 그곳에 다시 건축하려고 예물을 즐거이 드리되
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 역량대로 역사하는 곳간에 드리니 금이 육만 일천 다릭이요 은이 오천 마네요 제사장의 옷이 일백 벌이었더라
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 이에 제사장들과 레위 사람들과 백성 몇과 노래하는 자들과 문지기들과 느디님 사람들이 그 본성들에 거하고 이스라엘 무리도 그 본성들에 거하였느니라
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.