< 시편 89 >

1 (에스라인 에단의 마스길) 내가 여호와의 인자하심을 영원히 노래하며 주의 성실하심을 내 입으로 대대에 알게 하리이다
Nitimba sifa za matendo ya uaminifu wa agano milele. Nitatangaza kweli yako kwa vizazi vijavyo.
2 내가 말하기를 인자하심을 영원히 세우시며 주의 성실하심을 하늘에서 견고히 하시리라 하였나이다
Maana nimesema, “Uaminifu wa agano umeimarishwa milele; na kweli yako umeiimarisha mbinguni.”
3 주께서 이르시되 내가 나의 택한 자와 언약을 맺으며 내 종 다윗에게 맹세하기를
“Nimefanya agano na wateule wangu, nimeapa kiapo kwa Daudi mtumishi wangu.
4 내가 네 자손을 영원히 견고히 하며 네 위를 대대에 세우리라 하였다 하셨나이다 (셀라)
Nitauimarisha uzao wako milele, na nitauimarisha utawala wako vizazi vyote.” (Selah)
5 여호와여, 주의 기사를 하늘이 찬양할 것이요 주의 성실도 거룩한 자의 회중에서 찬양하리이다
Mbingu husifu maajabu yako, Yahwe; kweli yako inasifiwa katika kusanyiko la watakatifu.
6 대저 궁창에서 능히 여호와와 비교할 자 누구며 권능 있는 자 중에 여호와와 같은 자 누구리이까?
Maana ni nani katika mbingu aweza kulinganishwa na Yahwe? Ambaye kati ya wana wa miungu ni kama Yahwe?
7 하나님은 거룩한 자의 회중에서 심히 엄위하시오며 둘러 있는 모든 자 위에 더욱 두려워할 자시니이다
Ni Mungu anaye heshimiwa sana katika baraza la watakatifu naye ni wakutisha kati ya wote wanao mzunguka.
8 여호와 만군의 하나님이여, 주와 같이 능한 자 누구리이까 여호와여, 주의 성실하심이 주를 둘렀나이다
Yahwe, Mungu wa majeshi, ni nani aliye na nguvu kama wewe, Yahwe? Kweli yako inakuzunguka.
9 주께서 바다의 흉용함을 다스리시며 그 파도가 일어날 때에 평정케 하시나이다
Wewe huitawala bahari yenye nguvu; mawimbi yainukapo, wewe huyatuliza.
10 주께서 라합을 살륙 당한 자 같이 파쇄하시고 주의 원수를 주의 능력의 팔로 흩으셨나이다
Ulimwangamiza Rahabu kama mmoja aliye uliwa. Uliwatawanya adui zako kwa mkono wako wenye nguvu.
11 하늘이 주의 것이요 땅도 주의 것이라 세계와 그 중에 충만한 것을 주께서 건설하셨나이다
Mbingu ni zako wewe, na nchi pia. Uliiumba dunia na vyote vilivyomo.
12 남북을 주께서 창조하셨으니 다볼과 헤르몬이 주의 이름을 인하여 즐거워하나이다
Uliumba kaskazini na kusini. Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.
13 주의 팔에 능력이 있사오며 주의 손은 강하고 주의 오른손은 높으시니이다
una mkono wa uweza na mkono wenye nguvu, na mkono wako wa kuume uko juu.
14 의와 공의가 주의 보좌의 기초라 인자함과 진실함이 주를 앞서 행하나이다
Haki na hukumu ni msingi wa kiti chako. Uaminifu wa agano lako na uaminifu huja mbele zako.
15 즐거운 소리를 아는 백성은 유복한 자라 여호와여, 저희가 주의 얼굴 빛에 다니며
Wamebarikiwa watu wakuabuduo wewe! Yahwe, wanatembea katika nuru ya uso wako.
16 종일 주의 이름으로 기뻐하며 주의 의로 인하여 높아지오니
Siku zote wanafurahia katika jina lako, na katika haki yako wanakutukuza wewe.
17 주는 저희 힘의 영광이심이라 우리 뿔이 주의 은총으로 높아지오리니
Wewe ni fahari ya nguvu zao, na kwa nguvu zako tu washindi.
18 우리 방패는 여호와께 속하였고 우리 왕은 이스라엘의 거룩한 자에게 속하였음이니이다
Maana ngao zetu ni za kwako Yahwe; mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.
19 주께서 이상 중에 주의 성도에게 말씀하시기를 내가 돕는 힘을 능력 있는 자에게 더하며 백성 중에서 택한 자를 높였으되
Muda mrefu uliopita ulizungumza na waaminfu wako katika maono; ulisema, “Nimeweka taji juu ya mwenye nguvu; nimemuinua aliyechaguliwa kutoka kati ya watu.
20 내가 내 종 다윗을 찾아 나의 거룩한 기름으로 부었도다
Nimemchagua Daudi mtumishi wangu; kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka yeye.
21 내 손이 저와 함께 하여 견고히 하고 내 팔이 그를 힘이 있게 하리로다
Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
22 원수가 저에게서 강탈치 못하며 악한 자가 저를 곤고케 못하리로다
Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
23 내가 저의 앞에서 그 대적을 박멸하며 저를 한하는 자를 치려니와
Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
24 나의 성실함과 인자함이 저와 함께 하리니 내 이름을 인하여 그 뿔이 높아지리로다
Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
25 내가 또 그 손을 바다 위에 세우며 오른손을 강들 위에 세우리니
Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito.
26 저가 내게 부르기를 주는 나의 아버지시요, 나의 하나님이시요, 나의 구원의 바위시라 하리로다
Yeye ataniita, 'Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu.'
27 내가 또 저로 장자를 삼고 세계 열왕의 으뜸이 되게 하며
Nitamjalia kuwa kama mzaliwa wangu wa kwanza, aliye inuliwa zaidi juu ya wafalme wa nchi.
28 저를 위하여 나의 인자함을 영구히 지키고 저로 더불어 한 나의 언약을 굳게 세우며
Nitaongeza uaminifu wa agano langu kwake milele; na agano langu pamoja naye litakuwa salama.
29 또 그 후손을 영구케 하여 그 위를 하늘의 날과 같게 하리로다
Nitaufanya uzao wake kudumu milele na kiti chake cha enzi kitadumu kama mbingu zilizo juu.
30 만일 그 자손이 내 법을 버리며 내 규례대로 행치 아니하며
Ikiwa watoto wake wataziacha sheria zangu na kutokutii amri zangu,
31 내 율례를 파하며 내 계명을 지키지 아니하면
na kama watazivunja sheria zangu na kutokuzishika amri zangu,
32 내가 지팡이로 저희 범과를 다스리며 채찍으로 저희 죄악을 징책하리로다
ndipo nitauadhiu uasi wao kwa fimbo na uovu wao kwa makofi.
33 그러나 나의 인자함을 그에게서 다 거두지 아니하며 나의 성실함도 폐하지 아니하며
Lakini sitauondoa kwake upendo wangu thabiti wala kutokuwa mwaminifu kwa ahadi yangu.
34 내 언약을 파하지 아니하며 내 입술에서 낸 것도 변치 아니하리로다
Sitavunja agano langu wala kubadilisha maneno ya midomoni mwangu.
35 내가 나의 거룩함으로 한번 맹세하였은즉 다윗에게 거짓을 아니할 것이라
Mara moja na kwa yote, nimeapa kwa utakatifu wangu sitamdanganya Daudi:
36 그 후손이 장구하고 그 위는 해같이 내 앞에 항상 있으며
uzao wake utaendelea milele na kiti chake cha enzi kama vile jua mbele yangu.
37 또 궁창의 확실한 증인 달 같이 영원히 견고케 되리라 하셨도다
Kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu mawinguni.” (Selah)
38 그러나 주께서 주의 기름 부음 받은 자를 노하사 물리쳐 버리셨으며
Lakini wewe umemtupa na kumkataa; umemkasirikia mfalme mpakwa mafuta wako.
39 주의 종의 언약을 미워하사 그 관을 땅에 던져 욕되게 하셨으며
Wewe umelikataa agano la mtumishi wako. Umeinajisi taji yake ardhini.
40 저의 모든 울타리를 파괴하시며 그 보장을 훼파하셨으므로
Umevunja kuta zake zote. Umeharibu ngome yake.
41 길로 지나는 자들에게 다 탈취를 당하며 그 이웃에게 욕을 당하나이다
Wapita njia wote wamemuibia, amekuwa kitu chenye kinyaa kwa majirani zake.
42 주께서 저의 대적의 오른손을 높이시고 저희 모든 원수로 기쁘게 하셨으며
Umeinua mkono wa kuume wa adui zake; umewafurahisha adui zake wote.
43 저의 칼날을 둔하게 하사 저로 전장에 서지 못하게 하셨으며
Umeyageuza makali ya upanga wake. Na hukumfanya asimame awapo vitani.
44 저의 영광을 그치게 하시고 그 위를 땅에 엎으셨으며
Umeimaliza fahari yake; umekitupa ardhini kiti chake cha enzi.
45 그 소년의 날을 단촉케 하시고 저를 수치로 덮으셨나이다 (셀라)
Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. (Selah)
46 여호와여, 언제까지니이까? 스스로 영원히 숨기시리이까? 주의 노가 언제까지 불붙듯 하시겠나이까?
Mpaka lini, Yahwe? utajificha, milele? Mpaka lini hasira yako itawaka kama moto?
47 나의 때가 얼마나 단촉한지 기억하소서 주께서 모든 인생을 어찌 그리 허무하게 창조하셨는지요
Oh, fikiria jinsi muda wangu ulivyo mfupi, na ni kwa ajili gani umewaumba wana wote wa wanadamu wasio na manufaa!
48 누가 살아서 죽음을 보지 아니하고 그 영혼을 음부의 권세에서 건지리이까 (셀라) (Sheol h7585)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
49 주여, 주의 성실하심으로 다윗에게 맹세하신 이전 인자하심이 어디 있나이까?
Bwana, yako wapi matendo yako ya zamani ya uaminifu wa agano ambayo ulimwapia Daudi katika kweli yako?
50 주는 주의 종들의 받은 훼방을 기억하소서 유력한 모든 민족의 훼방이 내 품에 있사오니
Kumbuka, Bwana, watumishi wako walivyodhihakiwa na vile nilivyo vumilia moyoni mwangu matusi mengi dhidi ya mataifa.
51 여호와여, 이 훼방은 주의 원수가 주의 기름부음 받은 자의 행동을 훼방한 것이로소이다
Maadui zako wanavurumiza matusi, Yahwe; wanadhihaki nyayo za mpakwa mafuta wako.
52 여호와를 영원히 찬송할지어다! 아멘, 아멘
Atukuzwe Yahwe milele. Amina na Amina. Kitabu cha Nne

< 시편 89 >