< 시편 89 >

1 (에스라인 에단의 마스길) 내가 여호와의 인자하심을 영원히 노래하며 주의 성실하심을 내 입으로 대대에 알게 하리이다
Utenzi wa Ethani Mwezrahi. Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele; kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako ujulikane kwa vizazi vyote.
2 내가 말하기를 인자하심을 영원히 세우시며 주의 성실하심을 하늘에서 견고히 하시리라 하였나이다
Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
3 주께서 이르시되 내가 나의 택한 자와 언약을 맺으며 내 종 다윗에게 맹세하기를
Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu, nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
4 내가 네 자손을 영원히 견고히 하며 네 위를 대대에 세우리라 하였다 하셨나이다 (셀라)
‘Nitaimarisha uzao wako milele na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’”
5 여호와여, 주의 기사를 하늘이 찬양할 것이요 주의 성실도 거룩한 자의 회중에서 찬양하리이다
Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako, uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
6 대저 궁창에서 능히 여호와와 비교할 자 누구며 권능 있는 자 중에 여호와와 같은 자 누구리이까?
Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
7 하나님은 거룩한 자의 회중에서 심히 엄위하시오며 둘러 있는 모든 자 위에 더욱 두려워할 자시니이다
Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana, anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
8 여호와 만군의 하나님이여, 주와 같이 능한 자 누구리이까 여호와여, 주의 성실하심이 주를 둘렀나이다
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka.
9 주께서 바다의 흉용함을 다스리시며 그 파도가 일어날 때에 평정케 하시나이다
Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
10 주께서 라합을 살륙 당한 자 같이 파쇄하시고 주의 원수를 주의 능력의 팔로 흩으셨나이다
Wewe ulimponda Rahabu kama mmojawapo wa waliochinjwa; kwa mkono wako wenye nguvu, uliwatawanya adui zako.
11 하늘이 주의 것이요 땅도 주의 것이라 세계와 그 중에 충만한 것을 주께서 건설하셨나이다
Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako, uliuwekea ulimwengu msingi pamoja na vyote vilivyomo.
12 남북을 주께서 창조하셨으니 다볼과 헤르몬이 주의 이름을 인하여 즐거워하나이다
Uliumba kaskazini na kusini; Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
13 주의 팔에 능력이 있사오며 주의 손은 강하고 주의 오른손은 높으시니이다
Mkono wako umejaa uwezo; mkono wako una nguvu, mkono wako wa kuume umetukuzwa.
14 의와 공의가 주의 보좌의 기초라 인자함과 진실함이 주를 앞서 행하나이다
Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi; upendo na uaminifu vinakutangulia.
15 즐거운 소리를 아는 백성은 유복한 자라 여호와여, 저희가 주의 얼굴 빛에 다니며
Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe, wanaotembea katika mwanga wa uwepo wako, Ee Bwana.
16 종일 주의 이름으로 기뻐하며 주의 의로 인하여 높아지오니
Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.
17 주는 저희 힘의 영광이심이라 우리 뿔이 주의 은총으로 높아지오리니
Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao, kwa wema wako unatukuza pembe yetu.
18 우리 방패는 여호와께 속하였고 우리 왕은 이스라엘의 거룩한 자에게 속하였음이니이다
Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana, na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
19 주께서 이상 중에 주의 성도에게 말씀하시기를 내가 돕는 힘을 능력 있는 자에게 더하며 백성 중에서 택한 자를 높였으되
Ulizungumza wakati fulani katika maono, kwa watu wako waaminifu, ukasema: “Nimeweka nguvu kwa shujaa, nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
20 내가 내 종 다윗을 찾아 나의 거룩한 기름으로 부었도다
Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
21 내 손이 저와 함께 하여 견고히 하고 내 팔이 그를 힘이 있게 하리로다
Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
22 원수가 저에게서 강탈치 못하며 악한 자가 저를 곤고케 못하리로다
Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
23 내가 저의 앞에서 그 대적을 박멸하며 저를 한하는 자를 치려니와
Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
24 나의 성실함과 인자함이 저와 함께 하리니 내 이름을 인하여 그 뿔이 높아지리로다
Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
25 내가 또 그 손을 바다 위에 세우며 오른손을 강들 위에 세우리니
Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.
26 저가 내게 부르기를 주는 나의 아버지시요, 나의 하나님이시요, 나의 구원의 바위시라 하리로다
Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
27 내가 또 저로 장자를 삼고 세계 열왕의 으뜸이 되게 하며
Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
28 저를 위하여 나의 인자함을 영구히 지키고 저로 더불어 한 나의 언약을 굳게 세우며
Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.
29 또 그 후손을 영구케 하여 그 위를 하늘의 날과 같게 하리로다
Nitaudumisha uzao wake milele, kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
30 만일 그 자손이 내 법을 버리며 내 규례대로 행치 아니하며
“Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
31 내 율례를 파하며 내 계명을 지키지 아니하면
kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
32 내가 지팡이로 저희 범과를 다스리며 채찍으로 저희 죄악을 징책하리로다
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
33 그러나 나의 인자함을 그에게서 다 거두지 아니하며 나의 성실함도 폐하지 아니하며
lakini sitauondoa upendo wangu kwake, wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
34 내 언약을 파하지 아니하며 내 입술에서 낸 것도 변치 아니하리로다
Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
35 내가 나의 거룩함으로 한번 맹세하였은즉 다윗에게 거짓을 아니할 것이라
Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
36 그 후손이 장구하고 그 위는 해같이 내 앞에 항상 있으며
kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
37 또 궁창의 확실한 증인 달 같이 영원히 견고케 되리라 하셨도다
kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
38 그러나 주께서 주의 기름 부음 받은 자를 노하사 물리쳐 버리셨으며
Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
39 주의 종의 언약을 미워하사 그 관을 땅에 던져 욕되게 하셨으며
Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
40 저의 모든 울타리를 파괴하시며 그 보장을 훼파하셨으므로
Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
41 길로 지나는 자들에게 다 탈취를 당하며 그 이웃에게 욕을 당하나이다
Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
42 주께서 저의 대적의 오른손을 높이시고 저희 모든 원수로 기쁘게 하셨으며
Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
43 저의 칼날을 둔하게 하사 저로 전장에 서지 못하게 하셨으며
Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
44 저의 영광을 그치게 하시고 그 위를 땅에 엎으셨으며
Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
45 그 소년의 날을 단촉케 하시고 저를 수치로 덮으셨나이다 (셀라)
Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
46 여호와여, 언제까지니이까? 스스로 영원히 숨기시리이까? 주의 노가 언제까지 불붙듯 하시겠나이까?
Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
47 나의 때가 얼마나 단촉한지 기억하소서 주께서 모든 인생을 어찌 그리 허무하게 창조하셨는지요
Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka. Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
48 누가 살아서 죽음을 보지 아니하고 그 영혼을 음부의 권세에서 건지리이까 (셀라) (Sheol h7585)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
49 주여, 주의 성실하심으로 다윗에게 맹세하신 이전 인자하심이 어디 있나이까?
Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni, ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
50 주는 주의 종들의 받은 훼방을 기억하소서 유력한 모든 민족의 훼방이 내 품에 있사오니
Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
51 여호와여, 이 훼방은 주의 원수가 주의 기름부음 받은 자의 행동을 훼방한 것이로소이다
dhihaka ambazo kwazo adui zako wamenisimanga, Ee Bwana, ambazo kwazo wamesimanga kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
52 여호와를 영원히 찬송할지어다! 아멘, 아멘
Msifuni Bwana milele!

< 시편 89 >