< 시편 54 >

1 (다윗의 마스길. 영장으로 현악에 맞춘 노래. 십인이 사울에게 이르러 말하기를 다윗이 우리 곳에 숨지 아니하였나이까 하던 때에) 하나님이여, 주의 이름으로 나를 구원하시고 주의 힘으로 나를 판단하소서
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 하나님이여, 내 기도를 들으시며 내 입의 말에 귀를 기울이소서
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 외인이 일어나 나를 치며 강포한 자가 내 생명을 수색하며 하나님이 자기 앞에 두지 아니하였음이니이다 (셀라)
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 하나님은 나의 돕는 자시라 주께서 내 생명을 붙드는 자와 함께 하시나이다
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 주께서 내 원수에게 악으로 갚으시리니 주의 성실하심으로 저희를 멸하소서
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 내가 낙헌제로 주께 제사하리이다 여호와여, 주의 이름에 감사하오리니 주의 이름이 선하심이니이다
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 대저 주께서 모든 환난에서 나를 건지시고 내 원수가 보응 받는 것을 나로 목도케 하셨나이다
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

< 시편 54 >