< 시편 47 >

1 (고라 자손의 시. 영장으로 한 노래) 너희 만민들아 손바닥을 치고 즐거운 소리로 하나님께 외칠지어다!
Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
2 지존하신 여호와는 엄위하시고 온땅에 큰 임군이 되심이로다
Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
3 여호와께서 만민을 우리에게 열방을 우리 발아래 복종케하시며
Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
4 우리를 위하여 기업을 택하시나니 곧 사랑하신 야곱의 영화로다
Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
5 하나님이 즐거이 부르는 중에 올라가심이여, 여호와께서 나팔소리 중에 올라가시도다
Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
6 찬양하라! 하나님을 찬양하라! 찬양하라! 우리 왕을 찬양하라!
Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7 하나님은 온 땅의 왕이심이라 지혜의 시로 찬양할지어다
Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
8 하나님이 열방을 치리하시며 하나님이 그 거룩한 보좌에 앉으셨도다
Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
9 열방의 방백들이 모임이여 아브라함의 하나님의 백성이 되도다 세상의 모든 방패는 여호와의 것임이여 저는 지존하시도다
Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.

< 시편 47 >