< 시편 38 >

1 (다윗의 기념케 하는 시) 여호와여, 주의 노로 나를 책하지 마시고 분노로 나를 징계치 마소서
Yahwe, usinikemee katika hasira yako; usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 주의 살이 나를 찌르고 주의 손이 나를 심히 누르시나이다
Kwa kuwa mishale yako hunichoma, na mkono wako huniangusha chini.
3 주의 진노로 인하여 내 살에 성한 곳이 없사오며 나의 죄로 인하여 내 뼈에 평안함이 없나이다
Mwili wangu wote unaumwa kwa sababu ya hasira yako; kwa sababu ya dhambi zangu mifupa yangu haina afya.
4 내 죄악이 내 머리에 넘쳐서 무거운 짐 같으니 감당할 수 없나이다
Kwa maana maovu yangu yamenielemea; yamekuwa mzigo mzito kwangu.
5 내 상처가 썩어 악취가 나오니 나의 우매한 연고로소이다
Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6 내가 아프고 심히 구부러졌으며 종일토록 슬픈 중에 다니나이다
Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
7 내 허리에 열기가 가득하고 내 살에 성한 곳이 없나이다
Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.
8 내가 피곤하고 심히 상하였으매 마음이 불안하여 신음하나이다
Nimedhohofika na kulemewa sana; ninaugua kwa sababu ya dhiki yangu.
9 주여 나의 모든 소원이 주의 앞에 있사오며 나의 탄식이 주의 앞에 감추이지 아니하나이다
Bwana, wewe unaielewa shauku ya ndani kabisa ya moyo wangu, na kuugua kwangu hakujifichika kwako.
10 내 심장이 뛰고 내 기력이 쇠하여 내 눈의 빛도 나를 떠났나이다
Moyo wangu unapwita pwita, nguvu zangu zinaniisha, macho yangu yanafifia.
11 나의 사랑하는 자와 나의 친구들이 나의 상처를 멀리하고 나의 친척들도 멀리 섰나이다
Marafiki na ndugu zangu wamenitenga kwa sababu ya hali; majirani zangu hukaa mbali nami.
12 내 생명을 찾는 자가 올무를 놓고 나를 해하려는 자가 괴악한 일을 말하여 종일토록 궤계를 도모하오나
Wale wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego kwa ajili yangu. Wao ambao hutafuta kunidhuru huongea maneno ya uharibifu na husema maneno ya uongo siku nzima.
13 나는 귀먹은 자 같이 듣지 아니하고 벙어리 같이 입을 열지 아니하오니
Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
14 나는 듣지 못하는 자 같아서 입에는 변박함이 없나이다
Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.
15 여호와여, 내가 주를 바랐사오니 내 주 하나님이 내게 응락하시리이다
Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
16 내가 말하기를 두렵건대 저희가 내게 대하여 기뻐하며 내가 실족할 때에 나를 향하여 망자존대할까 하였나이다
Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
17 내가 넘어지게 되었고 나의 근심이 항상 내 앞에 있사오니 내 죄악을 고하고 내 죄를 슬퍼함이니이다
Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.
18 내 원수가 활발하며 강하고 무리하게 나를 미워하는 자가 무수하오며
Ninatubu makosa yangu; ninahuzunika kwa dhambi zangu.
19 또 악으로 선을 갚는 자들이 내가 선을 좇는 연고로 나를 대적하나이다
Lakini maadui zangu ni wengi; wale wanichukiao ni wengi.
20 여호와여, 나를 버리지 마소서 나의 하나님이여, 나를 멀리하지 마소서
Wao wananilipa mabaya kwa mema; wanavurumiza shutuma kwangu ingawa nimefuata lililo jema.
Usinitelekeze, Yahwe, Mungu wangu, usikae mbali nami.
Njoo haraka unisaidie, Bwana, wokovu wangu.

< 시편 38 >