< 시편 26 >

1 (다윗의 시) 내가 나의 완전함에 행하였사오며 요동치 아니하고 여호와를 의지하였사오니 여호와여, 나를 판단하소서
Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
2 여호와여, 나를 살피시고 시험하사 내 뜻과 내 마음을 단련하소서
Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 주의 인자하심이 내 목전에 있나이다 내가 주의 진리 중에 행하여
Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 허망한 사람과 같이 앉지 아니하였사오니 간사한 자와 동행치도 아니하리이다
Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 내가 행악자의 집회를 미워하오니 악한 자와 같이 앉지 아니하리이다
Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 여호와여, 내가 무죄하므로 손을 씻고 주의 단에 두루 다니며
Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7 감사의 소리를 들리고 주의 기이한 모든 일을 이르리이다
kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8 여호와여, 내가 주의 계신 집과 주의 영광이 거하는 곳을 사랑하오니
Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9 내 영혼을 죄인과 함께 내 생명을 살인자와 함께 거두지 마소서
Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
10 저희 손에 악특함이 있고 그 오른손에 뇌물이 가득하오나
ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11 나는 나의 완전함에 행하오리니 나를 구속하시고 긍휼히 여기소서
Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12 내 발이 평탄한 데 섰사오니 회중에서 여호와를 송축하리이다
Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

< 시편 26 >