< 시편 23 >

1 (다윗의 시) 여호와는 나의 목자시니 내가 부족함이 없으리로다
Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
2 그가 나를 푸른 초장에 누이시며 쉴만한 물 가으로 인도하시는도다
Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
3 내 영혼을 소생시키시고 자기 이름을 위하여 의의 길로 인도하시는도다
hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 내가 사망의 음침한 골짜기로 다닐지라도 해를 두려워하지 않을것은 주께서 나와 함께 하심이라 주의 지팡이와 막대기가 나를 안위하시나이다
Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
5 주께서 내 원수의 목전에서 내게 상을 베푸시고 기름으로 내 머리에 바르셨으니 내 잔이 넘치나이다
Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
6 나의 평생에 선하심과 인자하심이 정녕 나를 따르리니 내가 여호와의 집에 영원히 거하리로다
Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.

< 시편 23 >