< 시편 148 >

1 할렐루야! 하늘에서 여호와를 찬양하며 높은 데서 찬양할지어다!
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 그의 모든 사자여 찬양하며 모든 군대여 찬양할지어다!
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 해와 달아 찬양하며 광명한 별들아 찬양할지어다!
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 하늘의 하늘도 찬양하며 하늘 위에 있는 물들도 찬양할지어다!
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 그것들이 여호와의 이름을 찬양할 것은 저가 명하시매 지음을 받았음이로다
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 저가 또 그것들을 영영히 세우시고 폐치 못할 명을 정하셨도다
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7 너희 용들과 바다여 땅에서 여호와를 찬양하라!
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 불과 우박과 눈과 안개와 그 말씀을 좇는 광풍이며
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9 산들과 모든 작은 산과 과목과 모든 백향목이며
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10 짐승과 모든 가축과 기는 것과 나는 새며
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11 세상의 왕들과 모든 백성과 방백과 땅의 모든 사사며
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12 청년 남자와 처녀와 노인과 아이들아
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 다 여호와의 이름을 찬양할지어다 그 이름이 홀로 높으시며 그 영광이 천지에 뛰어나심이로다
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 저가 그 백성의 뿔을 높이셨으니 저는 모든 성도 곧 저를 친근히 하는 이스라엘 자손의 찬양거리로다 할렐루야!
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.

< 시편 148 >