< 시편 137 >

1 우리가 바벨론의 여러 강변 거기 앉아서 시온을 기억하며 울었도다
Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza tulipokumbuka Sayuni.
2 그 중의 버드나무에 우리가 우리의 수금을 걸었나니
Kwenye miti ya huko tulitundika vinubi vyetu,
3 이는 우리를 사로잡은 자가 거기서 우리에게 노래를 청하며 우리를 황폐케 한 자가 기쁨을 청하고 자기들을 위하여 시온노래 중 하나를 노래하라 함이로다
kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
4 우리가 이방에 있어서 어찌 여호와의 노래를 부를꼬
Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
5 예루살렘아! 내가 너를 잊을진대 내 오른손이 그 재주를 잊을지로다
Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 내가 예루살렘을 기억지 아니하거나 내가 너를 나의 제일 즐거워하는 것보다 지나치게 아니할진대 내 혀가 내 입천장에 붙을지로다
Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu kama sitakukumbuka wewe, kama nisipokufikiri Yerusalemu kuwa furaha yangu kubwa.
7 여호와여, 예루살렘이 해 받던 날을 기억하시고 에돔 자손을 치소서 저희 말이 훼파하라, 훼파하라 그 기초까지 훼파하라 하였나이다
Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu, siku ile Yerusalemu ilipoanguka. Walisema, “Bomoa, Bomoa mpaka kwenye misingi yake!”
8 여자 같은 멸망할 바벨론아! 네가 우리에게 행한대로 네게 갚는 자가 유복하리로다
Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:
9 네 어린 것들을 반석에 메어치는 자는 유복하리로다
yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga na kuwaponda juu ya miamba.

< 시편 137 >