< 시편 128 >

1 (성전에 올라가는 노래) 여호와를 경외하며 그 도에 행하는 자마다 복이 있도다
Amebarikiwa kila mtu amchaye Yahwe, atembeaye katika njia zake.
2 네가 네 손이 수고한대로 먹을 것이라 네가 복되고 형통하리로다
Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
3 네 집 내실에 있는 네 아내는 결실한 포도나무 같으며 네 상에 둘린 자식은 어린 감람나무 같으리로다
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
4 여호와를 경외하는 자는 이같이 복을 얻으리로다
Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
5 여호와께서 시온에서 네게 복을 주실지어다 너는 평생에 예루살렘의 복을 보며
Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.
6 네 자식을 볼지어다 이스라엘에게 평강이 있을지로다
Uishi uwaone wana wa wanao. Amani iwe na Israli.

< 시편 128 >