< 시편 126 >
1 (성전에 올라가는 노래) 여호와께서 시온의 포로를 돌리실 때에 우리가 꿈꾸는 것 같았도다
Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
2 그 때에 우리 입에는 웃음이 가득하고 우리 혀에는 찬양이 찼었도다 열방 중에서 말하기를 여호와께서 저희를 위하여 대사를 행하셨다 하였도다
Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
3 여호와를 위하여 대사를 행하셨으니 우리는 기쁘도다
Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
4 여호와여, 우리의 포로를 남방 시내들 같이 돌리소서
Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
5 눈물을 흘리며 씨를 뿌리는 자는 기쁨으로 거두리로다
Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
6 울며 씨를 뿌리러 나가는 자는 정녕 기쁨으로 그 단을 가지고 돌아 오리로다
Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.