< 시편 119 >
1 행위 완전하여 여호와의 법에 행하는 자가 복이 있음이여
Heri wale walio waadilifu katika njia zao, wanaoenenda katika sheria ya Bwana.
2 여호와의 증거를 지키고 전심으로 여호와를 구하는 자가 복이 있도다
Heri wale wanaozishika shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wao wote.
3 실로 저희는 불의를 행치 아니하고 주의 도를 행하는도다
Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.
4 주께서 주의 법도로 명하사 우리로 근실히 지키게 하셨나이다
Umetoa maagizo yako ili tuyatii kwa ukamilifu.
5 내 길을 굳이 정하사 주의 율례를 지키게 하소서
Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara katika kuyatii maagizo yako!
6 내가 주의 모든 계명에 주의할 때에는 부끄럽지 아니하리이다
Hivyo mimi sitaaibishwa ninapozingatia amri zako zote.
7 내가 주의 의로운 판단을 배울 때에는 정직한 마음으로 주께 감사하리이다
Nitakusifu kwa moyo mnyofu ninapojifunza sheria zako za haki.
8 내가 주의 율례를 지키오리니 나를 아주 버리지 마옵소서
Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.
9 청년이 무엇으로 그 행실을 깨끗케 하리이까? 주의 말씀을 따라 삼갈 것이니이다
Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani? Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
10 내가 전심으로 주를 찾았사오니 주의 계명에서 떠나지 말게 하소서
Ninakutafuta kwa moyo wangu wote, usiniache niende mbali na amri zako.
11 주께서 나를 가르치셨으므로 내가 주의 규례에서 떠나지 아니하였나이다
Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.
12 주의 말씀의 맛이 내게 어찌 그리 단지요 내 입에 꿀보다 더하니이다
Sifa ni zako, Ee Bwana, nifundishe maagizo yako.
13 주의 말씀은 내 발에 등이요 내 길에 빛이니이다
Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.
14 나의 고난이 막심하오니 여호와여, 주의 말씀대로 나를 소성케 하소서
Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.
15 나의 생명이 항상 위경에 있사오나 주의 법은 잊지 아니하나이다
Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.
16 내가 주의 말씀을 지키려고 발을 금하여 모든 악한 길로 가지 아니하였사오며
Ninafurahia maagizo yako, wala sitalipuuza neno lako.
17 주의 의로운 규례를 지키기로 맹세하고 굳게 정하였나이다
Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi; nitalitii neno lako.
18 주의 법도로 인하여 내가 명철케 되었으므로 모든 거짓 행위를 미워하나이다
Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.
19 주의 법도를 지키므로 나의 명철함이 노인보다 승하니이다
Mimi ni mgeni duniani, usinifiche amri zako.
20 여호와여, 구하오니 내 입의 낙헌제를 받으시고 주의 규례로 나를 가르치소서
Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote.
21 주께서 세상의 모든 악인을 찌끼 같이 버리시니 그러므로 내가 주의 증거를 사랑하나이다
Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
22 주의 증거로 내가 영원히 기업을 삼았사오니 이는 내 마음의 즐거움이 됨이니이다
Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika sheria zako.
23 내가 주께 범죄치 아니하려 하여 주의 말씀을 내 마음에 두었나이다
Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.
24 내가 두 마음 품는 자를 미워하고 주의 법을 사랑하나이다
Sheria zako ni furaha yangu, nazo ni washauri wangu.
25 악인이 나를 해하려고 올무를 놓았사오나 나는 주의 법도에서 떠나지 아니하였나이다
Nimelazwa chini mavumbini, yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
26 너희 행악자여 나를 떠날지어다 나는 내 하나님의 계명을 지키리로다
Nilikueleza njia zangu ukanijibu, nifundishe sheria zako.
27 주의 말씀대로 나를 붙들어 살게 하시고 내 소망이 부끄럽지 말게 하소서
Nijulishe mafundisho ya mausia yako, nami nitatafakari maajabu yako.
28 주의 율례에서 떠나는 자는 주께서 다 멸시하셨으니 저희 궤사는 허무함이니이다
Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni, uniimarishe sawasawa na neno lako.
29 나를 붙드소서 그리하시면 내가 구원을 얻고 주의 율례에 항상 주의하리이다
Niepushe na njia za udanganyifu, kwa neema unifundishe sheria zako.
30 내가 주의 율례를 길이 끝까지 행하려고 내 마음을 기울였나이다
Nimechagua njia ya kweli, nimekaza moyo wangu katika sheria zako.
31 주는 나의 은신처요 방패시라 내가 주의 말씀을 바라나이다
Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana, usiniache niaibishwe.
32 나는 주의 종이오니 깨닫게 하사 주의 증거를 알게 하소서
Nakimbilia katika njia ya maagizo yako, kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.
33 내가 공과 의를 행하였사오니 나를 압박자에게 붙이지 마옵소서
Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako, nami nitayashika mpaka mwisho.
34 주의 인자하신 대로 주의 종에게 행하사 주의 율례로 내게 가르치소서
Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako na kuitii kwa moyo wangu wote.
35 내 눈이 주의 구원과 주의 의로운 말씀을 사모하기에 피곤하니이다
Niongoze kwenye njia ya amri zako, kwa kuwa huko napata furaha.
36 찬송을 받으실 여호와여, 주의 율례를 내게 가르치소서
Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.
37 그러므로 내가 주의 계명을 금 곧 정금보다 더 사랑하나이다
Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
38 내 육체가 주를 두려워함으로 떨며 내가 또 주의 판단을 두려워하나이다
Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.
39 저희가 주의 법을 폐하였사오니 지금은 여호와의 일하실 때니이다
Niondolee aibu ninayoiogopa, kwa kuwa sheria zako ni njema.
40 주의 증거가 기이하므로 내 영혼이 이를 지키나이다
Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako! Hifadhi maisha yangu katika haki yako.
41 그러므로 내가 범사에 주의 법도를 바르게 여기고 모든 거짓 행위를 미워하나이다
Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie, wokovu wako sawasawa na ahadi yako,
42 주의 종을 보증하사 복을 얻게 하시고 교만한 자가 나를 압박하지 못하게 하소서
ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.
43 내 대적이 주의 말씀을 잊어버렸으므로 내 열성이 나를 소멸하였나이다
Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.
44 사람의 압박에서 나를 구속하소서 그리하시면 내가 주의 법도를 지키리이다
Nitaitii amri yako daima, naam, milele na milele.
45 주의 명하신 증거는 의롭고 지극히 성실하도소이다
Nitatembea nikiwa huru, kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
46 나의 행보를 주의 말씀에 굳게 세우시고 아무 죄악이 나를 주장치 못하게 하소서
Nitasema sheria zako mbele za wafalme wala sitaaibishwa,
47 저희가 주의 법을 지키지 아니하므로 내 눈물이 시냇물 같이 흐르나이다
kwa kuwa ninazifurahia amri zako kwa sababu ninazipenda.
48 주의 얼굴로 주의 종에게 비취시고 주의 율례로 나를 가르치소서
Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu, nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
49 내가 주의 계명을 사모하므로 입을 열고 헐떡였나이다
Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako, kwa sababu umenipa tumaini.
50 여호와여, 주는 의로우시고 주의 판단은 정직하시니이다
Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
51 주의 말씀을 열므로 우둔한 자에게 비취어 깨닫게 하나이다
Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka, hata hivyo sitaiacha sheria yako.
52 주의 이름을 사랑하는 자에게 베푸시던 대로 내게 돌이키사 나를 긍휼히 여기소서
Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani, nazo zinanifariji.
53 주의 입의 모든 규례를 나의 입술로 선포하였으며
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
54 환난과 우환이 내게 미쳤으나 주의 계명은 나의 즐거움이니이다
Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu popote ninapoishi.
55 주의 말씀을 묵상하려고 내 눈이 야경이 깊기 전에 깨었나이다
Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako, nami nitatii sheria yako.
56 여호와여, 내가 전심으로 부르짖었사오니 내게 응답하소서 내가 주의 율례를 지키리이다
Hili limekuwa zoezi langu: nami ninayatii mausia yako.
57 주의 인자하심을 따라 내 소리를 들으소서 여호와여 주의 규례를 따라 나를 살리소서
Ee Bwana, wewe ni fungu langu, nimeahidi kuyatii maneno yako.
58 내가 주께 부르짖었사오니 나를 구원하소서 내가 주의 증거를 지키리이다
Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote, nihurumie sawasawa na ahadi yako.
59 주의 의는 영원한 의요 주의 법은 진리로소이다
Nimezifikiri njia zangu na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.
60 주의 증거는 영원히 의로우시니 나로 깨닫게 하사 살게 하소서
Nitafanya haraka bila kuchelewa kuzitii amri zako.
61 내가 미천하여 멸시를 당하나 주의 법도를 잊지 아니하였나이다
Hata waovu wanifunge kwa kamba, sitasahau sheria yako.
62 주의 말씀이 심히 정미하므로 주의 종이 이를 사랑하나이다
Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.
63 내가 모든 재물을 즐거워함 같이 주의 증거의 도를 즐거워하였나이다
Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao, kwa wote wanaofuata mausia yako.
64 내가 새벽 전에 부르짖으며 주의 말씀을 바랐사오며
Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako, nifundishe maagizo yako.
65 구원이 악인에게서 멀어짐은 저희가 주의 율례를 구하지 아니함이니이다
Mtendee wema mtumishi wako Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
66 나의 고난을 보시고 나를 건지소서 내가 주의 법을 잊지 아니함이니이다
Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri, kwa kuwa ninaamini amri zako.
67 여호와여, 주의 긍휼이 크오니 주의 규례를 따라 나를 소성케 하소서
Kabla sijapata shida nilipotea njia, lakini sasa ninalitii neno lako.
68 주의 말씀을 지키지 아니하는 궤사한 자를 내가 보고 슬퍼하였나이다
Wewe ni mwema, unalotenda ni jema, nifundishe maagizo yako.
69 내가 주의 법도를 묵상하며 주의 도에 주의하며
Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo, nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.
70 나를 핍박하는 자와 나의 대적이 많으나 나는 주의 증거에서 떠나지 아니하였나이다
Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.
71 내가 전부터 주의 증거를 궁구하므로 주께서 영원히 세우신 것인줄을 알았나이다
Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza maagizo yako.
72 내가 주의 법도 사랑함을 보옵소서 여호와여, 주의 인자하신 대로 나를 소성케 하소서
Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.
73 주는 나의 원한을 펴시고 나를 구속하사 주의 말씀대로 나를 소성케 하소서
Mikono yako ilinifanya na kuniumba, nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.
74 악을 좇는 자가 가까이 왔사오니 저희는 주의 법에서 머니이다
Wakuchao wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
75 여호와여, 주께서 가까이 계시오니 주의 모든 계명은 진리니이다
Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki, katika uaminifu wako umeniadhibu.
76 여호와여, 나의 부르짖음이 주의 앞에 이르게 하시고 주의 말씀대로 나를 깨닫게 하소서
Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu, sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.
77 방백들이 무고히 나를 핍박하오나 나의 마음은 주의 말씀만 경외하나이다
Huruma yako na inijie ili nipate kuishi, kwa kuwa naifurahia sheria yako.
78 내 심령이 주의 증거를 지켰사오며 내가 이를 지극히 사랑하나이다
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
79 주의 말씀의 강령은 진리오니 주의 의로운 모든 규례가 영원하리이다
Wale wakuchao na wanigeukie mimi, hao ambao wanazielewa sheria zako.
80 여호와여, 내가 주의 구원을 바라며 주의 계명을 행하였나이다
Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako, ili nisiaibishwe.
81 주의 법을 사랑하는 자에게는 큰 평안이 있으니 저희에게 장애물이 없으리이다
Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako, lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.
82 내가 거짓을 미워하며 싫어하고 주의 법을 사랑하나이다
Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifajiri lini?”
83 주의 율례를 즐거워하며 주의 말씀을 잊지 아니하리이다
Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako.
84 내가 주의 법도와 증거를 지켰사오니 나의 모든 행위가 주의 앞에 있음이니이다
Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?
85 주의 의로운 규례를 인하여 내가 하루 일곱번씩 주를 찬양하나이다!
Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.
86 사람이 많은 탈취물을 얻은 것처럼 나는 주의 말씀을 즐거워하나이다
Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.
87 주께서 율례를 내게 가르치시므로 내 입술이 찬송을 발할지니이다
Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia, lakini sijaacha mausia yako.
88 내 혼을 살게 하소서 그리하시면 주를 찬송하리이다 주의 규례가 나를 돕게 하소서
Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria za kinywa chako.
89 내가 주의 법도를 택하였사오니 주의 손이 항상 나의 도움이 되게 하소서
Ee Bwana, neno lako ni la milele, linasimama imara mbinguni.
90 여호와여, 내가 주의 구원을 사모하였사오며 주의 법을 즐거워하나이다
Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote, umeiumba dunia, nayo inadumu.
91 잃은 양 같이 내가 유리하오니 주의 종을 찾으소서 내가 주의 계명을 잊지 아니함이니이다
Sheria zako zinadumu hadi leo, kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.
92 주의 종을 후대하여 살게 하소서 그리하시면 주의 말씀을 지키리이다
Kama nisingefurahia sheria yako, ningeangamia katika taabu zangu.
93 나의 간구가 주의 앞에 달하게 하시고 주의 말씀대로 나를 건지소서
Sitasahau mausia yako kamwe, kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.
94 주의 모든 계명이 의로우므로 내 혀가 주의 말씀을 노래할지니이다
Uniokoe, kwa maana mimi ni wako, kwa kuwa nimetafuta mausia yako.
95 내 눈을 열어서 주의 법의 기이한 것을 보게 하소서
Waovu wanangojea kuniangamiza, bali mimi ninatafakari sheria zako.
96 나는 땅에서 객이 되었사오니 주의 계명을 내게 숨기지 마소서
Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo, lakini amri zako hazina mpaka.
97 주의 규례를 항상 사모함으로 내 마음이 상하나이다
Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu. Ninaitafakari mchana kutwa.
98 교만하여 저주를 받으며 주의 계명에서 떠나는 자를 주께서 꾸짖으셨나이다
Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima.
99 내가 주의 증거를 지켰사오니 훼방과 멸시를 내게서 떠나게 하소서
Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.
100 방백들도 앉아 나를 훼방하였사오나 주의 종은 주의 율례를 묵상하였나이다
Nina ufahamu zaidi kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako.
101 주의 증거는 나의 즐거움이요 나의 모사니이다
Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya, ili niweze kutii neno lako.
102 내 영혼이 진토에 붙었사오니 주의 말씀대로 나를 소성케 하소서
Sijaziacha sheria zako, kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.
103 내가 나의 행위를 고하매 주께서 내게 응답하셨으니 주의 율례를 내게 가르치소서
Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu, matamu kuliko asali katika kinywa changu!
104 나로 주의 법도의 길을 깨닫게 하소서 그리하시면 내가 주의 기사를 묵상하리이다
Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.
105 나의 영혼이 눌림을 인하여 녹사오니 주의 말씀대로 나를 세우소서
Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.
106 거짓 행위를 내게서 떠나게 하시고 주의 법을 제게 은혜로이 베푸소서
Nimeapa na nimethibitisha, kwamba nitafuata sheria zako za haki.
107 내가 성실한 길을 택하고 주의 규례를 내 앞에 두었나이다
Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
108 내가 주의 증거에 밀접하였사오니 여호와여, 나로 수치를 당케 마소서
Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu, nifundishe sheria zako.
109 주께서 내 마음을 넓히시오면 내가 주의 계명의 길로 달려 가리이다
Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote, sitasahau sheria yako.
110 여호와여, 주의 율례의 도를 내게 가르치소서 내가 끝까지 지키리이다
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
111 나로 깨닫게 하소서 내가 주의 법을 준행하며 전심으로 지키리이다
Sheria zako ni urithi wangu milele, naam ni furaha ya moyo wangu.
112 나로 주의 계명의 첩경으로 행케 하소서 내가 이를 즐거워함이니이다
Nimekusudia moyoni mwangu kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.
113 내 마음을 주의 증거로 향하게 하시고 탐욕으로 향치 말게 하소서
Ninachukia watu wa nia mbili, lakini ninapenda sheria yako.
114 내 눈을 돌이켜 허탄한 것을 보지 말게 하시고 주의 도에 나를 소성케 하소서
Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu, nimeweka tumaini langu katika neno lako.
115 주를 경외케 하는 주의 말씀을 주의 종에게 세우소서
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya, ili niweze kushika amri za Mungu wangu!
116 나의 두려워하는 훼방을 내게서 떠나게 하소서 주의 규례는 선하심이니이다
Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi; usiache matumaini yangu yakavunjwa.
117 내가 주의 법도를 사모하였사오니 주의 의에 나를 소성케 하소서
Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.
118 여호와여, 주의 말씀대로 주의 인자하심과 주의 구원을 내게 임하게 하소서
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
119 그리하시면 내가 나를 훼방하는 자에게 대답할 말이 있사오리니 내가 주의 말씀을 의뢰함이니이다
Waovu wa nchi unawatupa kama takataka, kwa hivyo nazipenda sheria zako.
120 진리의 말씀이 내 입에서 조금도 떠나지 말게 하소서 내가 주의 규례를 바랐음이니이다
Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe, ninaziogopa sheria zako.
121 내가 주의 율법을 항상 영영히 끝없이 지키리이다
Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu.
122 내가 주의 법도를 구하였사오니 자유롭게 행보할 것이오며
Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.
123 또 열왕 앞에 주의 증거를 말할 때에 수치를 당치 아니하겠사오며
Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.
124 나의 사랑하는 바 주의 계명을 스스로 즐거워하며
Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako na unifundishe maagizo yako.
125 또 나의 사랑하는 바 주의 계명에 내 손을 들고 주의 율례를 묵상하리이다
Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu ili niweze kuelewa sheria zako.
126 주의 종에게 하신 말씀을 기억하소서 주께서 나로 소망이 있게 하셨나이다
Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia, kwa kuwa sheria yako inavunjwa.
127 이 말씀은 나의 곤란 중에 위로라 주의 말씀이 나를 살리셨음이니이다
Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu, naam, zaidi ya dhahabu safi,
128 교만한 자가 나를 심히 조롱하였어도 나는 주의 법을 떠나지 아니 하였나이다
na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
129 여호와여, 주의 옛 규례를 내가 기억하고 스스로 위로하였나이다
Sheria zako ni za ajabu, hivyo ninazitii.
130 주의 율법을 버린 악인들을 인하여 내가 맹렬한 노에 잡혔나이다
Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
131 나의 나그네 된 집에서 주의 율례가 나의 노래가 되었나이다
Nimefungua kinywa changu na kuhema, nikitamani amri zako.
132 여호와여, 내가 밤에 주의 이름을 기억하고 주의 법을 지켰나이다
Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote wale wanaolipenda jina lako.
133 내 소유는 이것이니 곧 주의 법도를 지킨 것이니이다
Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako, usiache dhambi yoyote initawale.
134 여호와는 나의 분깃이시니 나는 주의 말씀을 지키리라 하였나이다
Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako.
135 내가 전심으로 은혜를 구하였사오니 주의 말씀대로 나를 긍휼히 여기소서
Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako.
136 내가 내 행위를 생각하고 주의 증거로 내 발을 돌이켰사오며
Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
137 주의 계명을 지키기에 신속히 하고 지체치 아니하였나이다
Ee Bwana, wewe ni mwenye haki, sheria zako ni sahihi.
138 악인의 줄이 내게 두루 얽혔을지라도 나는 주의 법을 잊지 아니하였나이다
Sheria ulizoziweka ni za haki, ni za kuaminika kikamilifu.
139 내가 주의 의로운 규례를 인하여 밤중에 일어나 주께 감사하리이다
Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu wanayapuuza maneno yako.
140 나는 주를 경외하는 모든 자와 주의 법도를 지키는 자의 동무라
Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda.
141 여호와여, 주의 인자하심이 땅에 충만하였사오니 주의 율례로 나를 가르치소서
Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa, sisahau mausia yako.
142 여호와여, 주의 말씀대로 주의 종을 선대하셨나이다
Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
143 내가 주의 계명을 믿었사오니 명철과 지식을 내게 가르치소서
Shida na dhiki zimenipata, lakini amri zako ni furaha yangu.
144 고난 당하기 전에는 내가 그릇 행하였더니 이제는 주의 말씀을 지키나이다
Sheria zako ni sahihi milele, hunipa ufahamu ili nipate kuishi.
145 주는 선하사 선을 행하시오니 주의 율례로 나를 가르치소서
Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote, nami nitayatii maagizo yako.
146 교만한 자가 거짓을 지어 나를 치려 하였사오나 나는 전심으로 주의 법도를 지키리이다
Ninakuita; niokoe nami nitazishika sheria zako.
147 저희 마음은 살쪄 지방 같으나 나는 주의 법을 즐거워하나이다
Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada; nimeweka tumaini langu katika neno lako.
148 고난 당한 것이 내게 유익이라 이로 인하여 내가 주의 율례를 배우게 되었나이다
Sikufumba macho yangu usiku kucha, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
149 주의 입의 법이 내게는 천천 금은보다 승하니이다
Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako, Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.
150 주의 손이 나를 만들고 세우셨사오니 나로 깨닫게 하사 주의 계명을 배우게 하소서
Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.
151 주를 경외하는 자가 나를 보고 기뻐할 것은 내가 주의 말씀을 바라는 연고니이다
Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu, na amri zako zote ni za kweli.
152 여호와여, 내가 알거니와 주의 판단은 의로우시고 주께서 나를 괴롭게 하심은 성실하심으로 말미암음이니이다
Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.
153 구하오니 주의 종에게 하신 말씀대로 주의 인자하심이 나의 위안이 되게 하시며
Yaangalie mateso yangu, uniokoe, kwa kuwa sijasahau sheria yako.
154 주의 긍휼히 여기심이 내게 임하사 나로 살게 하소서 주의 법은 나의 즐거움이니이다
Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.
155 교만한 자가 무고히 나를 엎드러뜨렸으니 저희로 수치를 당케 하소서 나는 주의 법도를 묵상하리이다
Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.
156 주를 경외하는 자로 내게 돌아오게 하소서 그리하시면 저희가 주의 증거를 알리이다
Ee Bwana, huruma zako ni kuu, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.
157 내 마음으로 주의 율례에 완전케 하사 나로 수치를 당치 않게 하소서
Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako.
158 나의 영혼이 주의 구원을 사모하기에 피곤하오나 나는 오히려 주의 말씀을 바라나이다
Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
159 나의 말이 주께서 언제나 나를 안위하시겠나이까 하면서 내 눈이 주의 말씀을 바라기에 피곤하니이다
Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako; Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.
160 내가 연기 중의 가죽병 같이 되었으나 오히려 주의 율례를 잊지 아니하나이다
Maneno yako yote ni kweli, sheria zako zote za haki ni za milele.
161 주의 종의 날이 얼마나 되나이까 나를 핍박하는 자를 주께서 언제나 국문하시리이까?
Watawala wamenitesa bila sababu, lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.
162 주의 법을 좇지 아니하는 교만한 자가 나를 해하려고 웅덩이를 팠나이다
Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.
163 주의 모든 계명은 신실하니이다 저희가 무고히 나를 핍박하오니 나를 도우소서
Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.
164 저희가 나를 세상에서 거의 멸하였으나 나는 주의 법도를 버리지 아니하였사오니
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
165 주의 인자하심을 따라 나로 소성케 하소서 그리하시면 주의 입의 증거를 내가 지키리이다
Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.
166 여호와여, 주의 말씀이 영원히 하늘에 굳게 섰사오며
Ee Bwana, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,
167 주의 성실하심은 대대에 이르나이다 주께서 땅을 세우셨으므로 땅이 항상 있사오니
Ninazitii sheria zako, kwa sababu ninazipenda mno.
168 천지가 주의 규례대로 오늘까지 있음은 만물이 주의 종이 된 연고니이다
Nimetii mausia yako na sheria zako, kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.
169 주의 법이 나의 즐거움이 되지 아니하였더면 내가 내 고난 중에 멸망하였으리이다
Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako, nipe ufahamu sawasawa na neno lako.
170 내가 주의 법도를 영원히 잊지 아니하오니 주께서 이것들로 나를 살게 하심이니이다
Maombi yangu na yafike mbele zako, niokoe sawasawa na ahadi yako.
171 나는 주의 것이오니 나를 구원하소서 내가 주의 법도를 찾았나이다
Midomo yangu na ibubujike sifa, kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.
172 악인이 나를 멸하려고 엿보오나 나는 주의 증거를 생각하겠나이다
Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, kwa kuwa amri zako zote ni za haki.
173 내가 보니 모든 완전한 것이 다 끝이 있어도 주의 계명은 심히 넓으니이다
Mkono wako uwe tayari kunisaidia, kwa kuwa nimechagua mausia yako.
174 내가 주의 법을 어찌 그리 사랑하는지요 내가 그것을 종일 묵상하나이다
Ee Bwana, ninatamani wokovu wako, na sheria yako ni furaha yangu.
175 주의 계명이 항상 나와 함께 하므로 그것이 나로 원수보다 지혜롭게 하나이다
Nijalie kuishi ili nipate kukusifu, na sheria zako zinitegemeze.
176 내가 주의 증거를 묵상하므로 나의 명철함이 나의 모든 스승보다 승하며
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.