< 시편 104 >

1 내 영혼아 여호와를 송축하라 여호와 나의 하나님이여, 주는 심히 광대하시며 존귀와 권위를 입으셨나이다
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana, umejivika utukufu na enzi.
2 주께서 옷을 입음 같이 빛을 입으시며 하늘을 휘장 같이 치시며
Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi, amezitandaza mbingu kama hema
3 물에 자기 누각의 들보를 얹으시며 구름으로 자기 수레를 삼으시고 바람 날개로 다니시며
na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, na hupanda kwenye mbawa za upepo.
4 바람으로 자기 사자를 삼으시며 화염으로 자기 사역자를 삼으시며
Huzifanya pepo kuwa wajumbe wake, miali ya moto watumishi wake.
5 땅의 기초를 두사 영원히 요동치 않게 하셨나이다
Ameiweka dunia kwenye misingi yake, haiwezi kamwe kuondoshwa.
6 옷으로 덮음같이 땅을 바다로 덮으시매 물이 산들 위에 섰더니
Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, maji yalisimama juu ya milima.
7 주의 견책을 인하여 도망하여 주의 우뢰 소리를 인하여 빨리 가서
Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, kwa sauti ya radi yako yakatoroka,
8 주의 정하신 처소에 이르렀고 산은 오르고 골짜기는 내려 갔나이다
yakapanda milima, yakateremka mabondeni, hadi mahali pale ulipoyakusudia.
9 주께서 물의 경계를 정하여 넘치지 못하게 하시며 다시 돌아와 땅을 덮지 못하게 하셨나이다
Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
10 여호와께서 샘으로 골짜기에서 솟아나게 하시고 산 사이에 흐르게 하사
Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.
11 들의 각 짐승에게 마시우시니 들나귀들도 해갈하며
Huwapa maji wanyama wote wa kondeni, punda-mwitu huzima kiu yao.
12 공중의 새들이 그 가에서 깃들이며 나무가지 사이에서 소리를 발하는도다
Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji, huimba katikati ya matawi.
13 저가 가축을 위한 풀과 사람의 소용을 위한 채소를 자라게 하시며 땅에서 식물이 나게 하시고
Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
14 사람의 마음을 기쁘게 하는 포도주와 사람의 얼굴을 윤택케 하는 기름과 사람의 마음을 힘있게 하는 양식을 주셨도다
Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
15 여호와의 나무가 우택에 흡족함이여 곧 그의 심으신 레바논 백향목이로다
divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake, na mkate wa kutia mwili nguvu.
16 새들이 그 속에 깃을 들임이여 학은 잣나무로 집을 삼는도다
Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri, mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
17 높은 산들은 산양을 위함이여 바위는 너구리의 피난처로다
Humo ndege hufanya viota vyao, korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.
18 여호와께서 달로 절기를 정하심이여 해는 그 지는 것을 알도다
Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu, majabali ni kimbilio la pelele.
19 주께서 흑암을 지어 밤이 되게 하시니 삼림의 모든 짐승이 기어 나오나이다
Mwezi hugawanya majira, na jua hutambua wakati wake wa kutua.
20 젊은 사자가 그 잡을 것을 쫓아 부르짖으며 그 식물을 하나님께 구하다가
Unaleta giza, kunakuwa usiku, wanyama wote wa mwituni huzurura.
21 해가 돋으면 물러가서 그 굴혈에 눕고
Simba hunguruma kwa mawindo yao, na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
22 사람은 나와서 노동하며 저녁까지 수고하는도다
Jua huchomoza, nao huondoka, hurudi na kulala katika mapango yao.
23 여호와여, 주의 하신 일이 어찌 그리 많은지요 주께서 지혜로 저희를 다 지으셨으니 주의 부요가 땅에 가득하니이다
Kisha mwanadamu huenda kazini mwake, katika kazi yake mpaka jioni.
24 저기 크고 넓은 바다가 있고 그 속에 동물 곧 대소 생물이 무수하니이다
Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi! Kwa hekima ulizifanya zote, dunia imejaa viumbe vyako.
25 선척이 거기 다니며 주의 지으신 악어가 그 속에서 노나이다
Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele, imejaa viumbe visivyo na idadi, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
26 이것들이 다 주께서 때를 따라 식물 주시기를 바라나이다
Huko meli huenda na kurudi, pia Lewiathani, uliyemuumba acheze ndani yake.
27 주께서 주신즉 저희가 취하며 주께서 손을 펴신즉 저희가 좋은 것으로 만족하다가
Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
28 주께서 낯을 숨기신즉 저희가 떨고 주께서 저희 호흡을 취하신즉 저희가 죽어 본 흙으로 돌아가나이다
Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
29 주의 영을 보내어 저희를 창조하사 지면을 새롭게 하시나이다
Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
30 여호와의 영광이 영원히 계속할지며 여호와는 자기 행사로 인하여 즐거워하실지로다
Unapopeleka Roho wako, wanaumbwa, nawe huufanya upya uso wa dunia.
31 저가 땅을 보신즉 땅이 진동하며 산들에 접촉하신즉 연기가 발하도다
Utukufu wa Bwana na udumu milele, Bwana na azifurahie kazi zake:
32 나의 평생에 여호와께 노래하며 나의 생존한 동안 내 하나님을 찬양하리로다
yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
33 나의 묵상을 가상히 여기시기를 바라나니 나는 여호와로 인하여 즐거워하리로다
Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
34 죄인을 땅에서 소멸하시며 악인을 다시 있지 못하게 하실지로다 내 영혼이 여호와를 송축하라 할렐루야
Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Bwana.
Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia na waovu wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, msifu Bwana. Msifuni Bwana.

< 시편 104 >