< 시편 1 >

1 복있는 사람은 악인의 꾀를 좇지 아니하며 죄인의 길에 서지 아니하며 오만한 자의 자리에 앉지 아니하고
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 오직 여호와의 율법을 즐거워하여 그 율법을 주야로 묵상하는 자로다
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 저는 시냇가에 심은 나무가 시절을 좇아 과실을 맺으며 그 잎사귀가 마르지 아니함 같으니 그 행사가 다 형통하리로다
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 악인은 그렇지 않음이여 오직 바람에 나는 겨와 같도다
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 그러므로 악인이 심판을 견디지 못하며 죄인이 의인의 회중에 들지 못하리로다
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 대저 의인의 길은 여호와께서 인정하시나 악인의 길은 망하리로다
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< 시편 1 >