< 잠언 6 >

1 내 아들아 네가 만일 이웃을 위하여 담보하며 타인을 위하여 보증하였으면
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 네 입의 말로 네가 얽혔으며 네 입의 말로 인하여 잡히게 되었느니라
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 내 아들아 네가 네 이웃의 손에 빠졌은즉 이같이 하라 너는 곧 가서 겸손히 네 이웃에게 간구하여 스스로 구원하되
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 네 눈으로 잠들게 하지 말며 눈꺼풀로 감기게 하지 말고
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 노루가 사냥군의 손에서 벗어나는 것 같이 새가 그물 치는 자의 손에서 벗어나는 것 같이 스스로 구원하라
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 게으른 자여 개미에게로 가서 그 하는 것을 보고 지혜를 얻으라
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 개미는 두령도 없고 간역자도 없고 주권자도 없으되
Hana akida, afisa au mtawala,
8 먹을 것을 여름 동안에 예비하며 추수 때에 양식을 모으느니라
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 게으른 자여 네가 어느 때까지 눕겠느냐? 네가 어느 때에 잠이 깨어 일어나겠느나?
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 좀더 자자, 좀더 졸자, 손을 모으고 좀더 눕자 하면
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 네 빈궁이 강도 같이 오며 네 곤핍이 군사 같이 이르리라
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 불량하고 악한 자는 그 행동에 궤휼한 입을 벌리며
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 눈짓을 하며 발로 뜻을 보이며 손가락질로 알게 하며
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 그 마음에 패역을 품으며 항상 악을 꾀하여 다툼을 일으키는 자라
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 그러므로 그 재앙이 갑자기 임한즉 도움을 얻지 못하고 당장에 패망하리라
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 여호와의 미워하시는 것 곧 그 마음에 싫어하시는 것이 육 칠 가지니
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
17 곧 교만한 눈과, 거짓된 혀와, 무죄한 자의 피를 흘리는 손과,
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
18 악한 계교를 꾀하는 마음과, 빨리 악으로 달려가는 발과,
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
19 거짓을 말하는 망령된 증인과, 및 형제 사이를 이간하는 자니라
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 내 아들아 네 아비의 명령을 지키며 네 어미의 법을 떠나지 말고
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 그것을 항상 네 마음에 새기며 네 목에 매라
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 그것이 너의 다닐 때에 너를 인도하며 너의 잘 때에 너를 보호하며 너의 깰 때에 너로 더불어 말하리니
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 대저 명령은 등불이요 법은 빛이요 훈계의 책망은 곧 생명의 길이라
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 이것이 너를 지켜서 악한 계집에게, 이방 계집의 혀로 호리는 말에 빠지지 않게 하리라
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 네 마음에 그 아름다운 색을 탐하지 말며 그 눈꺼풀에 홀리지 말라
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 음녀로 인하여 사람이 한조각 떡만 남게 됨이며 음란한 계집은 귀한 생명을 사냥함이니라
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 사람이 불을 품에 품고야 어찌 그 옷이 타지 아니하겠으며
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 사람이 숯불을 밟고야 어찌 그 발이 데지 아니하겠느냐?
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 남의 아내와 통간하는 자도 이와 같을 것이라 무릇 그를 만지기만 하는 자도 죄 없게 되지 아니하리라
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 도적이 만일 주릴 때에 배를 채우려고 도적질하면 사람이 그를 멸시치는 아니하려니와
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 들키면 칠배를 갚아야 하리니 심지어 자기 집에 있는 것을 다 내어주게 되리라
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 부녀와 간음하는 자는 무지한 자라 이것을 행하는 자는 자기의 영혼을 망하게 하며
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 상함과 능욕을 받고 부끄러움을 씻을 수 없게 되나니
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 그 남편이 투기함으로 분노하여 원수를 갚는 날에 용서하지 아니하고
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 아무 벌금도 돌아 보지 아니하며 많은 선물을 줄지라도 듣지 아니하리라
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.

< 잠언 6 >