< 예레미야애가 5 >

1 여호와여, 우리의 당한 것을 기억하시고 우리의 수욕을 감찰하옵소서
Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
2 우리 기업이 외인에게, 우리 집들도 외인에게 돌아갔나이다
Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
3 우리는 아비 없는 외로운 자식이오며 우리 어미는 과부 같으니
Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
4 우리가 은을 주고 물을 마시며 값을 주고 섶을 얻으오며
Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
5 우리를 쫓는 자는 우리 목을 눌렀사오니 우리가 곤비하여 쉴 수 없나이다
Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
6 우리가 애굽 사람과 앗수르 사람과 악수하고 양식을 얻어 배불리고자 하였나이다
Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
7 우리 열조는 범죄하고 없어졌고 우리는 그 죄악을 담당하였나이다
Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
8 종들이 우리를 관할함이여 그 손에서 건져낼 자가 없나이다
Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
9 광야에는 칼이 있으므로 죽기를 무릅써야 양식을 얻사오니
Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
10 주림의 열기로 인하여 우리의 피부가 아궁이처럼 검으니이다
Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
11 대적이 시온에서 부녀들을, 유다 각 성에서 처녀들을 욕보였나이다
Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
12 방백들의 손이 매어달리며 장로들의 얼굴이 존경을 받지 못하나이다
Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
13 소년들이 맷돌을 지오며 아이들이 섶을 지다가 엎드러지오며
Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
14 노인은 다시 성문에 앉지 못하며 소년은 다시 노래하지 못하나이다
Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
15 우리 마음에 희락이 그쳤고 우리의 무도가 변하여 애통이 되었사오며
Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
16 우리 머리에서 면류관이 떨어졌사오니 오호라! 우리의 범죄함을 인함이니이다
Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
17 이러므로 우리 마음이 피곤하고 이러므로 우리 눈이 어두우며
Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
18 시온산이 황무하여 여우가 거기서 노나이다
maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
19 여호와여, 주는 영원히 계시오며 주의 보좌는 세세에 미치나이다
Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
20 주께서 어찌하여 우리를 영원히 잊으시오며 우리를 이같이 오래 버리시나이까?
Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
21 여호와여, 우리를 주께로 돌이키소서 그리하시면 우리가 주께로 돌아가겠사오니 우리의 날을 다시 새롭게 하사 옛적 같게 하옵소서
Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
22 주께서 우리를 아주 버리셨사오며 우리에게 진노하심이 특심하시니이다
vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.

< 예레미야애가 5 >