< 욥기 41 >

1 네가 능히 낚시로 악어를 낚을 수 있겠느냐 노끈으로 그 혀를 맬수 있겠느냐
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 줄로 그 코를 꿸 수 있겠느냐 갈고리로 그 아가미를 꿸 수 있겠느냐
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 그것이 어찌 네게 연속 간구하겠느냐 유순한 말로 네게 이야기하겠느냐
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 어찌 너와 계약하고 영영히 네 종이 되겠느냐
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 네가 어찌 새를 놀리는것 같이 그것을 놀리겠으며 네 소녀들을 위하여 그것을 매어 두겠느냐
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 어찌 어부의 떼가 그것으로 상품을 삼아 상고들 가운데 나눌 수 있겠느냐
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 네가 능히 창으로 그 가죽을 찌르거나 작살로 그 머리를 찌를 수 있겠느냐
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 손을 그것에게 좀 대어 보라 싸울 일이 생각나서 다시는 아니하리라
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 잡으려는 소망은 헛것이라 그것을 보기만 하여도 낙담하지 않겠느냐
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 아무도 그것을 격동시킬 용맹이 없거든 능히 나를 당할 자가 누구냐
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 누가 먼저 내게 주고 나로 갚게 하였느냐 온 천하에 있는 것이 다 내 것이니라
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 내가 악어의 지체와 큰 힘과 훌륭한 구조에 대하여 잠잠치 아니하리라
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 누가 그 가죽을 벗기겠으며 그 아가미 사이로 들어가겠는고
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 누가 그 얼굴의 문을 열 수 있을까 그 두루 있는 이가 두렵구나
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 견고한 비늘은 그의 자랑이라 서로 연함이 봉한 것 같구나
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 이것 저것이 한데 붙었으니 바람도 그 사이로 들어가지 못하겠고
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 서로 연하여 붙었으니 능히 나눌 수도 없구나
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 그것이 재채기를 한즉 광채가 발하고 그 눈은 새벽 눈꺼풀이 열림같으며
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 그 입에서는 횃불이 나오고 불똥이 뛰어나며
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 그 콧구멍에서는 연기가 나오니 마치 솥이 끓는 것과 갈대의 타는 것 같구나
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 그 숨이 능히 숯불을 피우니 불꽃이 그 입에서 나오며
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 힘이 그 목에 뭉키었고 두려움이 그 앞에서 뛰는구나
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 그 살의 조각들이 서로 연하고 그 몸에 견고하여 움직이지 아니하며
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 그 마음이 돌 같이 단단하니 그 단단함이 맷돌 아랫짝 같구나
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 그것이 일어나면 용사라도 두려워하며 경겁하여 창황하며
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 칼로 칠지라도 쓸데없고 창이나 살이나 작살도 소용이 없구나
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 그것이 철을 초개 같이, 놋을 썩은 나무 같이 여기니
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 살이라도 그것으로 도망하게 못하겠고 물매돌도 그것에게는 겨같이 여기우는구나
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 몽둥이도 검불 같이 보고 창을 던짐을 우습게 여기며
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 그 배 아래는 날카로운 와륵 같으니 진흙 위에 타작 기계 같이 자취를 내는구나
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 깊은 물로 솥의 물이 끓음 같게 하며 바다로 젖는 향기름 같게 하고
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 자기 뒤에 광채나는 길을 내니 사람의 보기에 바닷물이 백발 같구나
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 땅 위에는 그것 같은 것이 없나니 두려움 없게 지음을 받았음이라
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 모든 높은 것을 낮게 보고 모든 교만한 것의 왕이 되느니라
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< 욥기 41 >