< 욥기 39 >

1 산 염소가 새끼 치는 때를 네가 아느냐 암사슴의 새끼 낳을 기한을 네가 알 수 있느냐
“Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake?
2 그것이 몇 달만에 만삭되는지 아느냐 그 낳을 때를 아느냐
Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo? Je, unajua majira yao ya kuzaa?
3 그것들은 몸을 구푸리고 새끼를 낳아 그 괴로움을 지내어 버리며
Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao; utungu wa kuzaa unakoma.
4 그 새끼는 강하여져서 빈 들에서 길리우다가 나가고는 다시 돌아오지 아니하느니라
Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani; huenda zao wala hawarudi tena.
5 누가 들나귀를 놓아 자유하게 하였느냐 누가 빠른 나귀의 매인 것을 풀었느냐
“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake?
6 내가 들로 그 집을, 짠 땅으로 그 사는 처소를 삼았느니라
Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.
7 들나귀는 성읍의 지꺼리는 것을 업신여기니 어거하는 자의 지르는 소리가 그것에게 들리지 아니하며
Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.
8 초장이 된 산으로 두루 다니며 여러 가지 푸른 것을 찾느니라
Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.
9 들소가 어찌 즐겨 네게 복종하며 네 외양간에 머물겠느냐
“Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?
10 네가 능히 줄로 들소를 매어 이랑을 갈게 하겠느냐 그것이 어찌 골짜기에서 너를 따라 쓰레를 끌겠느냐
Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?
11 그것의 힘이 많다고 네가 그것을 의지하겠느냐 네 수고하는 일을 그것에게 맡기겠느냐
Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?
12 그것이 네 곡식을 집으로 실어오며 네 타작 마당에 곡식 모으기를 그것에게 의탁하겠느냐
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
13 타조는 즐거이 그 날개를 친다마는 그 깃과 털이 인자를 베푸느냐
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
14 그것이 알을 땅에 버려두어 모래에서 더워지게 하고
Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
15 발에 깨어질 것이나 들짐승에게 밟힐 것을 생각지 아니하고
bila kujali kuwa mguu waweza kuyaponda, kwamba baadhi ya wanyama wa porini wanaweza kuyakanyaga.
16 그 새끼에게 무정함이 제 새끼가 아닌 것처럼 하며 그 구로한 것이 헛되게 될지라도 괘념치 아니 하나니
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
17 이는 하나님 내가 지혜를 품부하지 아니하고 총명을 주지 아니함이니라
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
18 그러나 그 몸을 떨쳐 뛰어갈 때에는 말과 그 탄 자를 경히 여기느니라
Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.
19 말의 힘을 네가 주었느냐 그 목에 흩날리는 갈기를 네가 입혔느냐
“Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?
20 네가 그것으로 메뚜기처럼 뛰게 하였느냐 그 위엄스러운 콧소리가 두려우니라
Je, wewe humfanya farasi aruke kama nzige, akistaajabisha kwa tishio la mlio wake wa majivuno?
21 그것이 골짜기에서 허위고 힘 있음을 기뻐하며 앞으로 나아가서 군사들을 맞되
Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.
22 두려움을 비웃고 놀라지 아니하며 칼을 당할지라도 물러나지 아니하니
Huicheka hofu, haogopi chochote, wala haukimbii upanga.
23 그 위에서는 전동과 빛난 작은 창과 큰 창이 쟁쟁하며
Podo hutoa sauti kando yake, pamoja na mkuki unaongʼaa na fumo.
24 땅을 삼킬듯이 맹렬히 성내며 나팔 소리를 들으면 머물러 서지 아니하고
Bila woga na kwa ghadhabu huimeza nchi, wala tarumbeta iliapo yeye hawezi kusimama.
25 나팔 소리 나는대로 소소히 울며 멀리서 싸움 냄새를 맡고 장관의 호령과 떠드는 소리를 듣느니라
Asikiapo sauti ya baragumu yeye hulia, ‘Aha!’ Hunusa harufu ya vita toka mbali, sauti ya mtoa amri na ukelele wa vita.
26 매가 떠올라서 날개를 펼쳐 남방으로 향하는 것이 어찌 네 지혜로 말미암음이냐
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
27 독수리가 공중에 떠서 높은 곳에 보금자리를 만드는 것이 어찌 네 명령을 의지함이냐
Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
28 그것이 낭떠러지에 집을 지으며 뾰족한 바위 끝이나 험준한데 거하며
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
29 거기서 움킬만한 것을 살피나니 그 눈이 멀리 봄이며
Kutoka huko hutafuta chakula chake; macho yake hukiona kutoka mbali.
30 그 새끼들도 피를 빠나니 살륙 당한 자 있는 곳에는 그것도 거기있느니라
Makinda yake hujilisha damu, na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”

< 욥기 39 >