< 욥기 18 >

1 수아 사람 빌닷이 대답하여 가로되
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 너희가 어느 때까지 말을 찾겠느냐 깨달으라 그 후에야 우리가 말하리라
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 어찌하여 우리를 짐승으로 여기며 부정하게 보느냐
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 너 분하여 스스로 찢는 자야 너를 위하여 땅이 버림을 당하겠느냐 바위가 그 자리에서 옮기겠느냐
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 악인의 빛은 꺼지고 그 불꽃은 빛나지 않을 것이요
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 그 장막 안의 빛은 어두워지고 그 위의 등불은 꺼질 것이요
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 그 강한 걸음이 곤하여지고 그 베푼 꾀에 스스로 빠질 것이니
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 이는 그 발이 스스로 그물에 들어가고 얽는 줄을 밟음이며
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 그 발뒤꿈치는 창애에 치이고 그 몸은 올무에 얽힐 것이며
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 그를 동일 줄이 땅에 숨겼고 그를 빠뜨릴 함정이 길에 베풀렸으며
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 무서운 것이 사방에서 그를 놀래고 그 뒤를 쫓아올 것이며
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 그 힘은 기근을 인하여 쇠하고 그 곁에는 재앙이 기다릴 것이며
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 그의 백체가 먹히리니 곧 사망의 장자가 그 지체를 먹을 것이며
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 그가 그 의뢰하던 장막에서 뽑혀서 무서움의 왕에게로 잡혀가고
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 그에게 속하지 않은 자가 그 장막에 거하리니 유황이 그 처소에 뿌려질 것이며
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 아래서는 그 뿌리가 마르고 위에서는 그 가지가 찍힐 것이며
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 그의 기념이 땅에서 없어지고 그의 이름이 거리에서 전함이 없을것이며
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 그는 광명 중에서 흑암으로 몰려 들어가며 세상에서 쫓겨날 것이며
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 그는 그 백성 가운데서 아들도 없고 손자도 없을 것이며 그의 거하던 곳에는 한 사람도 남은 자가 없을 것이라
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 그의 날을 인하여 뒤에 오는 자가 앞선 자의 두려워 하던 것 같이 놀라리라
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 불의한 자의 집이 이러하고 하나님을 알지 못하는 자의 처소도 그러하니라
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< 욥기 18 >