< 욥기 17 >

1 나의 기운이 쇠하였으며 나의 날이 다하였고 무덤이 나를 위하여 예비되었구나
Moyo wangu umevunjika, siku zangu zimefupishwa, kaburi linaningojea.
2 나를 조롱하는 자들이 오히려 나와 함께 있으므로 내 눈이 그들의 격동함을 항상 보는구나
Hakika wenye mizaha wamenizunguka; macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
3 청컨대 보증물을 주시고 친히 나의 보주가 되옵소서 주 외에 나로 더불어 손을 칠 자가 누구리이까
“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
4 주께서 그들의 마음을 가리워 깨닫지 못하게 하셨사오니 그들을 높이지 아니 하시리이다
Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
5 친구를 지적하여 해를 받게 한 자의 자식들은 눈이 멀지니라
Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 하나님이 나로 백성의 이야기거리가 되게 하시니 그들이 내 얼굴에 침을 뱉는구나
“Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
7 내 눈은 근심으로 하여 어두워지고 나의 온 지체는 그림자 같구나
Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi; umbile langu lote ni kama kivuli.
8 정직자는 이를 인하여 놀라고 무죄자는 사곡한 자를 인하여 분을 내나니
Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.
9 그러므로 의인은 그 길을 독실히 행하고 손이 깨끗한 자는 점점 힘을 얻느니라
Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao, nao wale wenye mikono safi wataendelea kupata nguvu.
10 너희는 다 다시 올지니라 내가 너희 중에서 지혜자를 찾을 수 없느니라
“Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.
11 나의 날이 지나갔고 내 경영 내 마음의 사모하는 바가 다 끊어졌구나
Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika, vivyo hivyo shauku za moyo wangu.
12 그들은 밤으로 낮을 삼고 빛이 어두운데 가깝다 하는구나
Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana, kwenye giza wao husema, ‘Mwanga u karibu.’
13 내 소망이 음부로 내 집을 삼음에 있어서 침상을 흑암에 베풀고 (Sheol h7585)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol h7585)
14 무덤더러 너는 내 아비라 구더기더러 너는 내 어미, 내 자매라 할진대
kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’
15 나의 소망이 어디 있으며 나의 소망을 누가 보겠느냐
liko wapi basi tarajio langu? Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?
16 흙 속에서 쉴 때에는 소망이 음부 문으로 내려갈 뿐이니라 (Sheol h7585)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol h7585)

< 욥기 17 >