< 욥기 13 >

1 나의 눈이 이것을 다 보았고 나의 귀가 이것을 듣고 통달하였느니라
“Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
2 너희 아는 것을 나도 아노니 너희만 못한 내가 아니니라
Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
3 참으로 나는 전능자에게 말씀하려 하며 하나님과 변론하려 하노라
Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
4 너희는 거짓말을 지어내는 자요 다 쓸데 없는 의원이니라
Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
5 너희가 잠잠하고 잠잠하기를 원하노라 이것이 너희의 지혜일 것이니라
Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
6 너희는 나의 변론을 들으며 내 입술의 변명을 들어 보라
Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
7 너희가 하나님을 위하여 불의를 말하려느냐 그를 위하어 궤휼을 말하려느냐
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8 너희가 하나님의 낯을 좇으려느냐 그를 위하여 쟁론하려느냐
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9 하나님이 너희를 감찰하시면 좋겠느냐 너희가 사람을 속임 같이 그를 속이려느냐
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10 만일 가만히 낯을 좇을진대 그가 정녕 너희를 책망하시리니
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
11 그 존귀가 너희를 두렵게 하지 않겠으며 그 위엄이 너희에게 임하지 않겠느냐
Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
12 너희 격언은 재 같은 속담이요 너희의 방어하는 것은 토성이니라
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
13 너희는 잠잠하고 나를 버려두어 말하게 하라 무슨 일이 임하든지 내가 당하리라
“Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
14 내가 어찌하여 내 살을 내 이로 물고 내 생명을 내 손에 두겠느냐
Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
15 그가 나를 죽이시리니 내가 소망이 없노라 그러나 그의 앞에서 내 행위를 변백하리라
Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
16 사곡한 자는 그의 앞에 이르지 못하나니 이것이 나의 구원이 되리라
Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
17 너희는 들으라 내 말을 들으라 나의 설명을 너희 귀에 담을지니라
Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
18 보라 내가 내 사정을 진술하였거니와 내가 스스로 의로운 줄 아노라
Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
19 나와 변론할 자가 누구이랴 그러면 내가 잠잠하고 기운이 끊어지리라
Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
20 오직 내게 이 두 가지 일을 행하지 마옵소서 그리하시면 내가 주의 얼굴을 피하여 숨지 아니하오리니
“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
21 곧 주의 손을 내게 대지 마옵시며 주의 위엄으로 나를 두렵게 마옵실 것이니이다
Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
22 그리하시고 주는 나를 부르소서 내가 대답하리이다 혹 나로 말씀하게 하옵시고 주는 내게 대답하옵소서
Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
23 나의 불법과 죄가 얼마나 많으니이까 나의 허물과 죄를 내게 알게 하옵소서
Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
24 주께서 어찌하여 얼굴을 가리우시고 나를 주의 대적으로 여기시나이까
Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
25 주께서 어찌하여 날리는 낙엽을 놀래시며 마른 검불을 따르시나이까
Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
26 주께서 나를 대적하사 괴로운 일들을 기록하시며 나로 나의 어렸을 때에 지은 죄를 받게 하시오며
Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
27 내 발을 착고에 채우시며 나의 모든 길을 살피사 내 발자취를 한정하시나이다
Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
28 나는 썩은 물건의 후패함 같으며 좀먹은 의복 같으니이다
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.

< 욥기 13 >