< 역대상 6 >

1 레위의 아들들은 게르손과, 그핫과, 므라리요,
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
2 그핫의 아들들은 아므람과, 이스할과, 헤브론과, 웃시엘이요,
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
3 아므람의 자녀는 아론과 모세와 미리암이요 아론의 아들들은 나답과, 아비후와, 엘르아살과, 이다말이며
Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
4 엘르아살은 비느하스를 낳았고, 비느하스는 아비수아를 낳았고,
Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
5 아비수아는 북기를 낳았고, 북기는 웃시를 낳았고,
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
6 웃시는 스라히야를 낳았고, 스라히야는 므라욧을 낳았고,
Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
7 므라욧은 아마랴를 낳았고, 아마랴는 아히둡을 낳았고,
Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
8 아히둡은 사독을 낳았고, 사독은 아히마아스를 낳았고,
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
9 아히마아스는 아사랴를 낳았고, 아사랴는 요하난을 낳았고,
Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
10 요하난은 아사랴를 낳았으니 이 아사랴는 솔로몬이 예루살렘에 세운 전에서 제사장의 직분을 행한 자며
Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
11 아사랴는 아마랴를 낳았고, 아마랴는 아히둡을 낳았고,
Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
12 아히둡은 사독을 낳았고, 사독은 살룸을 낳았고,
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
13 살룸은 힐기야를 낳았고, 힐기야는 아사랴를 낳았고,
Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
14 아사랴는 스라야를 낳았고, 스라야는 여호사닥을 낳았으며,
Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
15 여호와께서 느부갓네살의 손으로 유다와 예루살렘 백성을 옮기실 때에 여호사닥도 갔었더라
Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
16 레위의 아들들은 게르손과, 그핫과, 므라리며
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
17 게르손의 아들의 이름은 립니와, 시므이요,
Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
18 그핫의 아들들은 아므람과, 이스할과, 헤브론과, 웃시엘이요,
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
19 므라리의 아들들은 말리와, 무시라 이 레위 사람의 집들이 그 종족을 따라 이러하니
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
20 게르손에게서 난 자는 곧 그 아들 립니요, 그 아들은 야핫이요, 그 아들은 심마요,
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
21 그 아들은 요아요, 그 아들은 잇도요, 그 아들은 세라요, 그 아들은 여아드래며,
Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
22 그핫에게서 난 자는 곧 그 아들 암미나답이요, 그 아들은 고라요, 그 아들은 앗실이요,
Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
23 그 아들은 엘가나요, 그 아들은 에비아삽이요, 그 아들은 앗실이요,
Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
24 그 아들은 다핫이요, 그 아들은 우리엘이요, 그 아들은 웃시야요, 그 아들은 사울이며,
Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
25 엘가나의 아들들은 아마새와, 아히못이라
Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
26 엘가나로 말하면 그 자손은 이러하니 그 아들은 소배요, 그 아들은 나핫이요,
Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
27 그 아들은 엘리압이요 그 아들은 여로함이요, 그 아들은 엘가나며,
Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
28 사무엘의 아들들은 맏아들 요엘이요, 다음은 아비야며,
Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
29 므라리에게서 난 자는 말리요, 그 아들은 립니요, 그 아들은 시므이요, 그 아들은 웃사요,
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
30 그 아들은 시므아요, 그 아들은 학기야요, 그 아들은 아사야더라
Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
31 언약궤가 평안한 곳을 얻은 후에 다윗이 이 아래의 무리를 세워 여호와의 집에서 찬송하는 일을 맡게 하매
Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
32 솔로몬이 예루살렘에서 여호와의 전을 세울 때까지 저희가 회막 앞에서 찬송하는 일을 행하되 그 반열대로 직무를 행하였더라
Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
33 직무를 행하는 자와 그 아들들이 이러하니 그핫의 자손 중에 헤만은 찬송하는 자라 저는 요엘의 아들이요, 요엘은 사무엘의 아들이요,
Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
34 사무엘은 엘가나의 아들이요, 엘가나는 여로함의 아들이요, 여로함은 엘리엘의 아들이요, 엘리엘은 도아의 아들이요,
mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35 도아는 숩의 아들이요, 숩은 엘가나의 아들이요, 엘가나는 마핫의 아들이요, 마핫은 아마새의 아들이요,
mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36 아마새는 엘가나의 아들이요, 엘가나는 요엘의 아들이요, 요엘은 아사랴의 아들이요, 아사랴는 스바냐의 아들이요,
mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
37 스바냐는 다핫의 아들이요, 다핫은 앗실의 아들이요, 앗실은 에비아삽의 아들이요, 에비아삽은 고라의 아들이요,
mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38 고라는 이스할의 아들이요, 이스할은 그핫의 아들이요, 그핫은 레위의 아들이요, 레위는 이스라엘의 아들이며,
mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
39 헤만의 형제 아삽은 헤만의 우편에서 직무를 행하였으니 저는 베레갸의 아들이요, 베레갸는 시므아의 아들이요,
na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
40 시므아는 미가엘의 아들이요, 미가엘은 바아세야의 아들이요, 바아세야는 말기야의 아들이요,
mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
41 말기야는 에드니의 아들이요, 에드니는 세라의 아들이요,
mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42 아다야는 에단의 아들이요, 에단은 심마의 아들이요, 심마는 시므이의 아들이요,
mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
43 시므이는 야핫의 아들이요, 야핫은 게르손의 아들이요, 게르손은 레위의 아들이며,
mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44 저희의 형제 므라리의 자손 중 그 좌편에서 직무를 행하는 자는 에단이라 에단은 기시의 아들이요, 기시는 압디의 아들이요 압디는 말룩의 아들이요,
Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
45 말룩은 하사뱌의 아들이요, 하사뱌는 아마시야의 아들이요, 아마시야는 힐기야의 아들이요,
mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
46 힐기야는 암시의 아들이요, 암시는 바니의 아들이요, 바니는 세멜의 아들이요,
mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
47 세멜은 말리의 아들이요, 말리는 무시의 아들이요, 무시는 므라리의 아들이요, 므라리는 레위의 아들이며,
mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
48 저희의 형제 레위 사람들은 하나님의 집 장막의 모든 일을 맡았더라
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
49 아론과 그 자손들은 번제단과 향단 위에 분향하며 제사를 드리며 지성소의 모든 일을 하여 하나님의 종 모세의 모든 명대로 이스라엘을 위하여 속죄하니
Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
50 아론의 자손들은 이러하니라 그 아들은 엘르아살이요, 그 아들은 비느하스요, 그 아들은 아비수아요
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
51 그 아들은 북기요, 그 아들은 웃시요, 그 아들은 스라히야요
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
52 그 아들은 므라욧이요, 그 아들은 아마랴요, 그 아들은 아히둡이요
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
53 그 아들은 사독이요, 그 아들은 아히마아스더라
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
54 저희의 거한 곳은 사방 지경 안에 있으니 그 향리는 아래와 같으니라 아론 자손 곧 그핫 족속이 먼저 제비 뽑았으므로
Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
55 저희에게 유다 땅의 헤브론과 그 사방 들을 주었고
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
56 그 성의 밭과 향리는 여분네의 아들 갈렙에게 주었으며
Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 아론 자손에게 도피성을 주었으니 헤브론과 립나와 그 들과 얏딜과 에스드모아와 그 들과
Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
58 힐렌과 그 들과 드빌과 그 들과
Hileni, Debiri,
59 아산과 그 들과 벧세메스와 그 들이며
Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
60 또 베냐민 지파 중에서는 게바와 그 들과 알레멧과 그 들과 아나돗과 그 들을 주었으니 그핫 족속의 얻은 성이 모두 열 셋이었더라
Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
61 그핫 자손의 남은 자에게는 므낫세 반 지파 족속 중에서 제비뽑아 열 성을 주었고
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
62 게르손 자손에게는 그 족속대로 잇사갈 지파와 아셀 지파와 납달리 지파와 바산에 있는 므낫세 지파 중에서 열 세 성을 주었고
Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 므라리 자손에게는 그 족속대로 르우벤 지파와 갓 지파와 스불론 지파 중에서 제비 뽑아 열 두 성을 주었더라
Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
64 이스라엘 자손이 이 모든 성과 그 들을 레위 자손에게 주되
Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
65 유다 자손의 지파와 시므온 자손의 지파와 베냐민 자손의 지파 중에서 이 위에 기록한 여러 성을 제비 뽑아 주었더라
Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
66 그핫 자손의 몇 족속은 에브라임 지파 중에서 성을 얻어 영지를 삼았으며
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
67 또 저희에게 도피성을 주었으니 에브라임 산중 세겜과 그 들과 게셀과 그 들과
Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
68 욕므암과 그 들과 벧호론과 그 들과
Yokmeamu, Beth-Horoni,
69 아얄론과 그 들과 가드림몬과 그 들이며
Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70 또 그핫 자손의 남은 족속에게는 므낫세 반 지파중에서 아넬과 그 들과 빌르암과 그 들을 주었더라
Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
71 게르손 자손에게는 므낫세 반 지파 족속 중에서 바산의 골란과 그 들과 아스다롯과 그 들을 주었고
Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
72 또 잇사갈 지파 중에서 게데스와 그 들과 다브랏과 그 들과
Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
73 라못과 그 들과 아넴과 그 들을 주었고
Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
74 아셀 지파 중에서 마살과 그 들과 압돈과 그 들과
Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
75 후곡과 그 들과 르홉과 그 들을 주었고
Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76 납달리 지파 중에서 갈릴리의 게데스와 그 들과 함몬과 그 들과 기랴다임과 그 들을 주었더라
Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
77 므라리 자손의 남은 자에게는 스불론 지파 중에서 림모노와 그 들과 다볼과 그 들을 주었고
Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
78 또 요단 건너 동편 곧 여리고 맞은편 르우벤 지파 중에서 광야의 베셀과 그 들과 야사와 그 들과
Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
79 그데못과 그 들과 메바앗과 그 들을 주었고
Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
80 또 갓 지파 중에서 길르앗의 라못과 그 들과 마하나임과 그 들과
Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
81 헤스본과 그 들과 야셀과 그 들을 주었더라
Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

< 역대상 6 >